Jerry Slaa akagua daraja la Bilioni 17 jimboni kwake

Jerry Slaa akagua daraja la Bilioni 17 jimboni kwake

Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Yaani hicho kipande billion 17.6 au mm sijaelewa
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Upigaji wa safari hii,maninaaaa
 
Hivi viongozi wa hii nchi wana laana? au kwa kuwa wanajua wanaondoka madakani ndo maana wanafanua hivi,
Hivi kweli ili ni daraja la bilion na point , hii ni too much
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Nchi yangu Upigaji kwenda mbele.
Mkuu wa nchi kule Tabora anawaambia waTanzania Serikali haisemi uongo!!
Kweli!!
Hajiulizi kwa nini watu wake wanalia kwenye hadhara ya wananchi! Nini shida?
Kama wameshindwa kubanana na kuwajibika kwenye pesa za wananchi si waachie.
Katiba Katiba iwe mwiba wa ujinga huu..
 
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.

Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.

Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.

View attachment 2786231
Hapo hela halali usikute ni bilioni moja tu. Hiyo iloyobakia yote usikute imeishia mifukoni mwa wajanja.
 
Back
Top Bottom