Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Yaani hicho kipande billion 17.6 au mm sijaelewaMbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto.
Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la maendeleo.
Hakika wananchi wa jimbo la Ukonga wamepata Mbunge mchapakazi na mzalendo anayefanya miradi ya maendeleo kwa bei nafuu.
View attachment 2786231