Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Huwezi kuelewa kwa sababu timu yako Haina makombe 30 na hauna medali ya kafu kama unayo tuoneshe Yanga unataka wapate mafanikio mara ngapi kimataifa kichaka chenu cha robo fainali kimefyekwa ongeza kilio ndugu ubwela fc tarehe 8 jiandae kizikwa Cc ephen_Hizo nyota tatu wameweka kwa kipi hasa? Au ni kuamua tu unabandika nyota bila hata mafanikio ya kimataifa!
Sema CCM**** haja Serikali ifanye hii iwe mtoko wa taifa🙌
Jeziiii nzuriiiiiiii kinoumaaa