raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Yap akipata kichwa anafunga kabisa mpaka kesho tena jioni 😂Hao ni professional dangas, wameweka kabiashara chakuvutia wanunua uchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap akipata kichwa anafunga kabisa mpaka kesho tena jioni 😂Hao ni professional dangas, wameweka kabiashara chakuvutia wanunua uchi
Hivi kumbe Royal Oven inamilikiwa na mwanamke? Huku mwanza wana maduka mawili makubwa (moja mkabla ya Gold Crest na lingine maeneo ya Nyegezi kona), na yote ni very classic.Royal Oven ndio noma sana yule dada
Angesema mwanajeshi ungeelewa ,polisi imekupoteza
Dahh, we dada ww, [emoji1][emoji1][emoji1]Washirikina
Hata Rock City Mall ipo. Dar es Salaam ndio zimejaa Posta, Mwenge Survey nk..Hivi kumbe Royal Oven inamilikiwa na mwanamke? Huku mwanza wana maduka mawili makubwa (moja mkabla ya Gold Crest na lingine maeneo ya Nyegezi kona), na yote ni very classic.
Dodoma pia wapo, sijajua mikoa mingine.
Habari wadau.
Wadada wameamua kuleta ubishi kwenye biashara za Bar na wanakimbiza kweli kweli mifano hai ni jesca kikumbi mmiliki wa kitambaa cheupe former cabin crew wa fast jet na mwenzie Lilian Gumbo mmiliki wa Liquid Bar former police officer.
Hawa wadada waliamua kujiajiri kwenye biashara za bar na wamezimudu kweli kweli
Hongera kwao na ni vizuri watoe darasa kwa wadada wenzao wanaopenda biashara za vinywaji lakini hawazimudu. Vi glocery mitaani vya wadada vinafilisika daily.
Wadada wa kitambaa cheupe na liquid wanatumia mbinu gani kutoboa.
Wote ni wadogo kiumri ila balaa za bar zao ni kubwa sana kwenye miji tofauti.
Royal Oven ndio noma sana yule dada
Royal Oven ninazozijua mm mfano hiyo ya Survey haimilikiwi na mwnamke..,Hata Rock City Mall ipo. Dar es Salaam ndio zimejaa Posta, Mwenge Survey nk
😂😂sio bar ni restaurant wanauza bites na drinks kama coffee, tea! Very classic aisee! Kwa dodoma wapo opposite na soko la sabasabaNayo ni bar?Iko wapi tukamwagilie moyo?
Labda amefanya imekuwa na franchise hivi, kama McDonaldsRoyal Oven ninazozijua mm mfano hiyo ya Survey haimilikiwi na mwnamke..,
Wamiliki ni kutoka South Africa.Labda amefanya imekuwa na franchise hivi, kama McDonalds
Njoo na proposal yako kuna million 12 hapa zimekaa zinataka uwekezajiMi natamani nifungue migahawa kama shishi vile, coz napenda kupika
Fungua kitu kama ya samaki samaki hasa dodoma unaweza ukapiga pesaMi natamani nifungue migahawa kama shishi vile, coz napenda kupika
Taratibu, usije mtafuna kimasiharaNjoo na proposal yako kuna million 12 hapa zimekaa zinataka uwekezaji
This is strictly businessTaratibu, usije mtafuna kimasihara