Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Good, if you mean so💪🙏This is strictly business
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good, if you mean so💪🙏This is strictly business
Liquid ya Dom au?Sikulijua hili la liquid kumbe mwenye bar ni polis ndio maana hawa majamaa wa road patrol wanapitaga tu pale bila kufanya lolote
Wauza k tuWengi hawapo serious wapo kwa mambo mengine
Wamiliki ni wanawake?Mbona hata mmliki wa Kibo Zone na Kibbys hamuwapi maua yao?
Picha ya Lillian wa liquid ana tako kubwa huyo hilo jicho sasa[emoji1787]Weka picha. Jf rule No 1
Alikua NMB last time namfahamu sijui siku hizi
Mawazo ya watu masikini haya.Niwashirikina sana hamtaamini
Una uhakika Gani kuwa hakuna wanaume nyuma Yao?
Iko good sana ni ya nani?Kuna SAWA SAWA chugastan apo noma sana
[emoji114]Picha ya Lillian wa liquid ana tako kubwa huyo hilo jicho sasa[emoji1787]
Wakizitoa niko Paleee.......nawakubali baadhi ya wana wake lakini nakubali pia 97% ni sponsors bussnessWanawake washoka, watoe code kwa wadada wenzao
AiseeWashirikina
😅😅😅😅kuna wale wa kwenda Dubai na China kununua Nguo na viatu.Wadada wa vigrocery hawafiki mbali sabb wanakuwa kama wamejiegesha tu
Kigrocery kina bia 5 kuna kitu hapo
Taratibu, usije mtafuna kimasihara
Na ni washirikina haswa, mmoja ana masharti ya kutovaa Pichu na ndio maana huwa akienda kwenye bar yake Kuna shazi linaongezeka kutokana na harufu dawa ya KWashirikina
Sikulijua hili la liquid kumbe mwenye bar ni polis ndio maana hawa majamaa wa road patrol wanapitaga tu pale bila kufanya lolote