Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
kwamba ana ugomvi na walimu sio! [emoji23][emoji23][emoji23]Ni wakati Sasa wakukaa na walimu meza Moja myamalize
Nashangaa hilo??, kazi za kuvuka border unafikili wanapewa pesa za mbuzi kama walimu??, Kuna mataifa hiyo pesa inalipwa unskilled laborerAir hostess Gani anaelipwa Dola 3000
Hujui walimu ndo wanawaambukiza watoto wetu ujinga wao?Sasa walimu wakiacha kazi watoto wetu watafundishwa na nani? Sio kila mtu anaweza fanya biashara ndugu!
Mkuu nikae Meza moja na hawa gorilla??Ni wakati Sasa wakukaa na walimu meza Moja myamalize
Ona akili za maticha?? Nyie kweli mmeozaKama wewe ni mwanaume acha kabisa kutamani mafanikio ya wanawake, wameumbwa kupokea!
TrueNashangaa hilo??, kazi za kuvuka border unafikili wanapewa pesa za mbuzi kama walimu??, Kuna mataifa hiyo pesa inalipwa unskilled laborer
usijilinganishe na mwanamke utabakwa