Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851
Hili kijana lipumbafu kweli kweli..umesema alikua na salary $3000 kwa mwezi, Almost 7m kwa mwezi,,sasa aliwezaje kufungua grosary ya 500k
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851a
Ndio ile bar iliyoungua?

Duuh yanasemwa mengi
 
Walimu ndiyo kada pekee hapa Tanzania inayo tukanwa, kudharauriwa, kutwezwa na kukalipiwa hata na mlevi.

Ukizingatia mshahara mdogo na hakuna allowance wanaonekana hopeless. Ualimu tz ni laana.
Hahaha duh....Mkuu acha dharau
 
Regardless alianza na sh ngapi au alidanga etc..lakin all in all now anatengeneza utajiri sana kwenye bar zake....Kipi hasa kinafanya bar zake zijae kila siku maana zinajaa huwezi kutofautisha jumamosi na jumatatu. Mbona bar zingine nzuri zaidi lakini zinakufa ? Ni market strategy au nn kipo nyuma yake?
Biashara zina siri nyingi sana
 
"Nilianza na mtaji wa elfu 10" - Shamim Mwasha Zeze 8020 Fashion
"Nilianza na mtaji wa Elfu 40" -Niffer
 
"Nilianza na mtaji wa elfu 10" - Shamim Zeze

"Nilianza na mtaji wa afu arobaini" - Niffer

"Nilianza na uaHouse girl" -Joyce Kiria
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851
Hujui ya nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom