ludacris86
Member
- Jul 22, 2022
- 22
- 122
Kwa hyo alikuwa analipwa dola 3000 takriban milion 6 plus then akafungua biashara ya vinywaji ambayo haifiki laki 5?
Hv ulijifunza kweli LOGIC darasani?
Hv ulijifunza kweli LOGIC darasani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu wasiache kazi ila selikari iwekeze kwenye elimu ikiwemo kuwalipa vizuri.yaan mwalimu leo hii analipwa laki 2 au 4 au 7 alipe nauli avae ale asomeshe..bado anawazazi duSasa walimu wakiacha kazi watoto wetu watafundishwa na nani? Sio kila mtu anaweza fanya biashara ndugu!
Hiyo dolar yenyewe kaandika tu hajui hata thamani yake kwa pesa za TanzaniaUlipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? 😂 😂 😂 ONLY IN TIZED MAZEE
Hajui mafanikio ya wanawake hayaji kwa njia moja tu.Yeye anaweza hizo njia nyengine ?Kama wewe ni mwanaume acha kabisa kutamani mafanikio ya wanawake, wameumbwa kupokea!
Ninajua Hilo ila ninakuuliza wewe ni Kampuni ipi Tanzania inamlipa air hostess Dola 3000Nashangaa hilo??, kazi za kuvuka border unafikili wanapewa pesa za mbuzi kama walimu??, Kuna mataifa hiyo pesa inalipwa unskilled laborer
NimeshangaaUlipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? [emoji23] [emoji23] [emoji23] ONLY IN TIZED MAZEE
Ni kichaa pekee wa kuamini hilo. Waseme tu mkataba wake uliisha akaamua afungue biashara hapo itaeleweka. Hakuna mtu wa kuacha million 7 kwa mwezi akafungue business ya kitoto kama grocery.Nimeshangaa
Yani mtu aache milion 6 + Kwa mwezi aende Kuanzisha biashara ya kusumbuana na tra na osha
Unaijua bhana...Hio biashara ya bar ni extension ya biashara yake kuu ambayo mimi na wewe hatuijui🤣!
Watu biashara wanazichukulia simpleNi kichaa pekee wa kuamini hilo. Waseme tu mkataba wake uliisha akaamua afungue biashara hapo itaeleweka. Hakuna mtu wa kuacha million 7 kwa mwezi akafungue business ya kitoto kama grocery.
Mtoto mzuri Kama huyo, kwenye ndege kapata vingapi kwa abiria,? amuulize kajala, Paula kaanzia na mtaji kiasi gani wa kufungua duka la nguo?[emoji16]Ulipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? [emoji23] [emoji23] [emoji23] ONLY IN TIZED MAZEE