Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Nashangaa hilo??, kazi za kuvuka border unafikili wanapewa pesa za mbuzi kama walimu??, Kuna mataifa hiyo pesa inalipwa unskilled laborer
Kim Jong Jr kakuuliza swali zuri sana ulipaswa kuja na Data sio ushubwada
Screenshot_20230805-090734.png
 
Sasa Mkuu ukianza kuchukua inspiration kwa wadada utapotea. Huyo ukute aliachishwa kazi na sponsor lake, akajipumzikia zake, after the mentioned years akapewa mtaji wake ndo saivi anatikisa mjini. Hao wanawake wenzako wana contingency plan between their legs in case mambo hayaendi vile wanataka, wewe sasa jichanganye uache kazi ukaskume guta alafu ukose mizigo ya kubeba kwenye hilo guta, uone kama hujavuliwa ubingwa mjini hapo😅
Umemaliza kila kitu wasipokuelewa hawataelewa chochote maishani
 
Sasa Mkuu ukianza kuchukua inspiration kwa wadada utapotea. Huyo ukute aliachishwa kazi na sponsor lake, akajipumzikia zake, after the mentioned years akapewa mtaji wake ndo saivi anatikisa mjini. Hao wanawake wenzako wana contingency plan between their legs in case mambo hayaendi vile wanataka, wewe sasa jichanganye uache kazi ukaskume guta alafu ukose mizigo ya kubeba kwenye hilo guta, uone kama hujavuliwa ubingwa mjini hapo😅
Waache wapoteane. Hamna demu anaacha kazi bila kuwa na uhakika wa sponsorship ya kibabe. Na hapo lazma awe kajihakikishia kachuma vya kutosha.
 
Kama wewe ni mwanaume acha kabisa kutamani mafanikio ya wanawake, wameumbwa kupokea!
Usimshangae. Maana hata huko nyuma alishawahi kutamani kuwa mwanamke/kuzaliwa mwanamke

By the way, kila mtu ana mtazamo wake wa kimaisha. Sidhani kama ni sahihi sana kwake kuwapangia watu maisha yao. Akiacha yeye inatosha. Na siyo kumlazimisha mtu kufanya vile apendavyo yeye.
 
Walimu ndiyo kada pekee hapa Tanzania inayo tukanwa, kudharauriwa, kutwezwa na kukalipiwa hata na mlevi.

Ukizingatia mshahara mdogo na hakuna allowance wanaonekana hopeless. Ualimu tz ni laana.
Laana lakini wanakula hadi milioni 2 kwa mwezi wakati wewe uko huko mwaka wa 3 huu very jobless.
 
Walimu ndiyo kada pekee hapa Tanzania inayo tukanwa, kudharauriwa, kutwezwa na kukalipiwa hata na mlevi.

Ukizingatia mshahara mdogo na hakuna allowance wanaonekana hopeless. Ualimu tz ni laana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ualimu ni laana bora ubake baba mzazi ila sio kuwa mwalimu
 
Back
Top Bottom