Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Ndio uache kazi ya milion 6 ukafungue business ya laki 5Yes you can, iyo kazi utalipwa paka lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio uache kazi ya milion 6 ukafungue business ya laki 5Yes you can, iyo kazi utalipwa paka lini?
Umelopoka tuUnasemaje kuhusu wafanyakazi waliokopa Benji hela ndefu na kuingiza kwenye biashara Kisha zikafeli na wakayumba Sana
Unasemaje kuhusu watu walioacha kazi wakaingia kwenye biashara Kisha biashara zikafeli na wakatamani warudi kwenye kazi na ikashindikana kabisa??
Maisha hayana formula, acha kila mmoja apambane kwa namna inavyompendeza
Watu wanapambana ila hawatoboi
Sio kila aliye maskini hafanyi kazi kwa bidii
Sio kila aliyefanikiwa amefanya kazi bidii.
[emoji1430]Unasemaje kuhusu wafanyakazi waliokopa Benji hela ndefu na kuingiza kwenye biashara Kisha zikafeli na wakayumba Sana
Unasemaje kuhusu watu walioacha kazi wakaingia kwenye biashara Kisha biashara zikafeli na wakatamani warudi kwenye kazi na ikashindikana kabisa??
Maisha hayana formula, acha kila mmoja apambane kwa namna inavyompendeza
Watu wanapambana ila hawatoboi
Sio kila aliye maskini hafanyi kazi kwa bidii
Sio kila aliyefanikiwa amefanya kazi bidii.
IkwetaHio biashara ya bar ni extension ya biashara yake kuu ambayo mimi na wewe hatuijui🤣!
Mwalimu yupi mwenye million mbili Kwa mwezi?? Anyway achana na Kwa mwezi we nionyeshe ticha mwenye million mbili cash mm nikuambie mpemba ambae hali samakiLaana lakini wanakula hadi milioni 2 kwa mwezi wakati wewe uko huko mwaka wa 3 huu very jobless.
Mtabaki hivyo hivyoHalafu alikuwa na sponsor, sema hongera kwake maana alijiongeza.Katumia pesa za sponsor kuinvest. Baadae kampiga chini sponsor na kaibuka na kiben ten.
Watu wote hawawezi kufungua bar. Wengine lazima wafanye issue zingine. Walimu wengi tu wana miradi sio lazima itangazwe kama kitambaa cheupe.Hio biashara ya bar ni extension ya biashara yake kuu ambayo mimi na wewe hatuijui[emoji1787]!
Wewe unaona million Sita pesa kubwaaaaaaNdio uache kazi ya milion 6 ukafungue business ya laki 5
Good observationWatu wote hawawezi kufungua bar. Wengine lazima wafanye issue zingine. Walimu wengi tu wana miradi sio lazima itangazwe kama kitambaa cheupe.
Kwani bar ngapi zimeanzishwa zikavuma na zikafa? Mtoa mada anafikiri kitambaa cheupe ndio bar ya kwanza Dar. Atakuwa mgeni wa starehe.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwenye biashara kile kinachooekana kinafanyika hua ni kihalalisho ila kuna mengi sana yanaendelea behind the scenesHio biashara ya bar ni extension ya biashara yake kuu ambayo mimi na wewe hatuijui🤣!
Tuonyeshe yakoWewe unaona million Sita pesa kubwaaaaaa
GoodWahudumu wa ndege Mishahara yao ni kiduchu.
Wanaambulia offer kutoka kwa wageni tu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]usijilinganishe na mwanamke utabakwa
[emoji23][emoji23][emoji23], mkuu ana Prado mbili, range tatu, hivyo vigari vidogo dogo kama upupu ana nyumba sio chini ya tano utasemaje anajisellHuyu mwenyewe mjini ni mtaji....
Mshahara mnaopewa ni against human dignity sema tu mnaona mpo Sawa kumbe sisi hatuwaoni ni binadamuMkuu we endelea kulipa Kodi ili tuile kupitia mishahara yetu ya Kila mwezi
Aahaaaa