Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #101
Lete ushahidi sio empty setWahudumu wa ndege Mishahara yao ni kiduchu.
Wanaambulia offer kutoka kwa wageni tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete ushahidi sio empty setWahudumu wa ndege Mishahara yao ni kiduchu.
Wanaambulia offer kutoka kwa wageni tu
Jibu hilo hapoHao wanawake wenzako wana contingency plan between their legs in case mambo hayaendi vile wanataka
Alishaandika humu kuwa anatamani kuwa mwanamkeJibu hilo hapo
Wahudumu wa Air Tanzania wanalipwa sh. Zisizozodi laki 5 .Lete ushahidi sio empty set
Emu nisogezee hio link ya huo uzi niusome tenaAlishaandika humu kuwa anatamani kuwa mwanamke
Eti akafungua grocery hata laki tano haifiki, mnajua kudanganya sana watoto wa wenzenu nyie watu.Kama wewe ni mwanaume acha kabisa kutamani mafanikio ya wanawake, wameumbwa kupokea!
Labda nikwambie.[emoji23][emoji23][emoji23], mkuu ana Prado mbili, range tatu, hivyo vigari vidogo dogo kama upupu ana nyumba sio chini ya tano utasemaje anajisell
Ukiendekeza sana umotivesheno spika na uferirensa Derm House 7th floor inakuhusuHalafu acha kusikiliza stori za motivation speakers, 95% ya wafanyabiashara waliofanikiwa huwa hawaelezi uhalisia walivyotoboa,
Hiyo hapoEmu nisogezee hio link ya huo uzi niusome tena
Of course mkuu, hapo i agree. Anatufundisha tuchukue risk kama we really need to attain true financial freedom.Mkuu kitendo tu cha kuwa stable kwenye biashara yake ni ushindi tosha. Haijalishi alipitia mangapi kufika hapo
😆😆😆Eti akafungua grocery hata laki tano haifiki, mnajua kudanganya sana watoto wa wenzenu nyie watu.
Mpwayungu Village anamsifia huyo dada Kwa kuwa naye anatamani kuwa mwanamkeLabda nikwambie.
Kuna watu wanajua kushikwa mkono na wakashikika sio kama akina Wema.
Hasa wanawake wa kichaga, wakishikwa mkono watakushangaza.
98% ya wanawake wenye mafanikio ndani yake kuna mikono na sio mkono...ya wanaume.
Hasa hawa wenye bar wanajua sana kutengeneza michongo kupitia wateja wao wa kudumu.
Utakuta ana eneo maalum la kukaa na wateja wake wa kila siku na kupiga nao stori huku wa kinywa taratubu, mkilewa mnaanza kutoa ahadi za kumjengea mara kusomesha watoto, mara wengine kuongezea mtaji wa kreti za bia.
Imejini kila siku apewe kreti 2 ..3 za bia ndani ya mwaka yuko wapi?
Endelea kuwatukana walimu lkn mjini shule...walimwengu ndio waalimu wenyewe🤣🤣
Anatoboa ulimi na pua au anatoboa nini tundu la chini kwenye kikapumwanamke mzuri na asiye na bwana akifungua min bar anatoboa
Kwa sasa ni kama 6MUlipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? 😂 😂 😂 ONLY IN TIZED MAZEE
Inasoma 7,459,948.95 = $3,000Kwa sasa ni kama 6M
Subiri matusi ya walimuOf course mkuu, hapo i agree. Anatufundisha tuchukue risk kama we really need to attain true financial freedom.