Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa hivyo hata bar za antiezekiel na amber lulu zingejaza wangekuwa matajiri wa kufa mtu tena ukilewa tu unataka kumjengea nyumba antiezekiel unatoa offer ya cret hamsiniLabda nikwambie.
Kuna watu wanajua kushikwa mkono na wakashikika sio kama akina Wema.
Hasa wanawake wa kichaga, wakishikwa mkono watakushangaza.
98% ya wanawake wenye mafanikio ndani yake kuna mikono na sio mkono...ya wanaume.
Hasa hawa wenye bar wanajua sana kutengeneza michongo kupitia wateja wao wa kudumu.
Utakuta ana eneo maalum la kukaa na wateja wake wa kila siku na kupiga nao stori huku wa kinywa taratubu, mkilewa mnaanza kutoa ahadi za kumjengea mara kusomesha watoto, mara wengine kuongezea mtaji wa kreti za bia.
Imejini kila siku apewe kreti 2 ..3 za bia ndani ya mwaka yuko wapi?
Endelea kuwatukana walimu lkn mjini shule...walimwengu ndio waalimu wenyewe[emoji1787][emoji1787]
Ndounavyojidanganya?Air hostess ina uzuri gani dogo tena fastjet? ? hiyo kazi ni sawa na kuwa kondacta wa bus tu Ila we unapita angani
HahahahEti aliacha kazi.Aseme tu alipungunzwa kazini baada ya fast jet kupungua ndege na kupotea kabisa.
Hakuna mwl mwenye ml 2 cash.Mwalimu yupi mwenye million mbili Kwa mwezi?? Anyway achana na Kwa mwezi we nionyeshe ticha mwenye million mbili cash mm nikuambie mpemba ambae hali samaki
Brooh unaandikaga vitu vimenyooka unakitu nakuona mbali.Air hostess ina uzuri gani dogo tena fastjet? ? hiyo kazi ni sawa na kuwa kondacta wa bus tu Ila we unapita angani na haudandii ndege ikiwa imeanza kuondoka kama basi hiyo ndo tofauti
Milion 6 Kwa mwezi ni milion 72 Kwa mwaka.Wewe unaona million Sita pesa kubwaaaaaa
Mkuu sure?Kama million 7 kwa mwezi ni ndogo acha nishoboke tu mkuu. Wapo watu budget ya kuwalipa ofisi nzima haizidi hio figure. Na wananyonga tai kama kawa.
Mkuu Mpwayungu Village ni mwalimu reject,alipoona maisha magumu akaona atapata kamserereko Kwa kubadilisha jinsiaHakuna mwl mwenye ml 2 cash.
Huyu c jui n mtu gani.
Itakua ndo hawa walikulia machakani ghafla wakasoma mjini waka kutana na motivational speakers wakawaambia professional zao hawata fanikiwa wauze jicho wanakuja ku shtuka wenzake wenye professional hizo hizo wametoboa yy na jicho lake kila mda liko wazi analiziba na tambala anakua na hasira za bila sababu.
Kuna walimu wanaweza kukulisha ww na familia yako mbaka ukafa shida ww n mshamba sana hujui maisha ata kidogo ndo maana ukaliwa jicho kwa ujinga wako fanya tafiti za kueleweka.
Kuna gari za zaidi ya ml30 wanamiliki walimu au hata hizo pia hizionagi.
In comparison to other profession, teachers are less paid that is the only point the lest is life experience which drives ones life you jerk
WabungeMilion 6 Kwa mwezi ni milion 72 Kwa mwaka.
Lete mishahara ya serikali au Tanzania tuone ni watumishi wangapi wanafunga na milion 72 Kwa mwaka.
Wanakula MPAKA 2M? hilo neno MPAKA linaonesha ndiyo hela ya juu wanayokula, kuna mtu anawaza apanueje mradi wake aingize 1M daily then wewe unahemea 2M monthly?Laana lakini wanakula hadi milioni 2 kwa mwezi wakati wewe uko huko mwaka wa 3 huu very jobless.
Sponsor haachwi anaacha. Sema sponsor alishamchoka huyo dada tu naye so akaamua amuache tu akapambane na vibenteni.Halafu alikuwa na sponsor, sema hongera kwake maana alijiongeza.Katumia pesa za sponsor kuinvest. Baadae kampiga chini sponsor na kaibuka na kiben ten.
Mkuu mbona unaongea maneno mazito mno?[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ualimu ni laana bora ubake baba mzazi ila sio kuwa mwalimu
Watumishi wa umma wapo laki 5.Wabunge
Huyu jamaa n zero brain kabisa mantiki anazo ziongea itakua kachanganyikia na bira shaka aliyapaparukia maisha bila kua na formulaMkuu Mpwayungu Village ni mwalimu reject,alipoona maisha magumu akaona atapata kamserereko Kwa kubadilisha jinsia
tena vinywaji havifiki hata laki Tano.niUlipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? 😂 😂 😂 ONLY IN TIZED MAZEE
Kumbe sponsor huwa haachwi?Ikute sponsor hana nguvu za kiume na bibi kaona anaweza kusimama kwa miguu yake akaamua sasa atafute mtu wa kumsugua vizuri,baada ya mihangaiko ya kila siku katika kusaka noti.Sponsor haachwi anaacha. Sema sponsor alishamchoka huyo dada tu naye so akaamua amuache tu akapambane na vibenteni.
Rudia kusoma post yangu vizuri.Ingekuwa hivyo hata bar za antiezekiel na amber lulu zingejaza wangekuwa matajiri wa kufa mtu tena ukilewa tu unataka kumjengea nyumba antiezekiel unatoa offer ya cret hamsini
Kama unakuja hivi mkuu! Kwamba ana place maalumu ya kuwakongoa hela malofa au siyo? Na mathematically malofa wanazaliwa kila siku sema wanapungua tu hawaishi, sivyo?Labda nikwambie.
Kuna watu wanajua kushikwa mkono na wakashikika sio kama akina Wema.
Hasa wanawake wa kichaga, wakishikwa mkono watakushangaza.
98% ya wanawake wenye mafanikio ndani yake kuna mikono na sio mkono...ya wanaume.
Hasa hawa wenye bar wanajua sana kutengeneza michongo kupitia wateja wao wa kudumu.
Utakuta ana eneo maalum la kukaa na wateja wake wa kila siku na kupiga nao stori huku wa kinywa taratubu, mkilewa mnaanza kutoa ahadi za kumjengea mara kusomesha watoto, mara wengine kuongezea mtaji wa kreti za bia.
Imejini kila siku apewe kreti 2 ..3 za bia ndani ya mwaka yuko wapi?
Endelea kuwatukana walimu lkn mjini shule...walimwengu ndio waalimu wenyewe[emoji1787][emoji1787]