mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Mkuu why unadhani Mpwayungu ni weak hivyo kwa wanawake hasa wa kichagga?Rudia kusoma post yangu vizuri.
Sio kila mwanamke akibebwa hubebeka wengine wanakukojolea mgongoni.
Wanawake asilimia kubwa...rudia...sema asilimia kubwa wanaobebeka nchi hii ni wa kaskazini...wachaga
Asili yao ni biashara tangu tumboni mwao. Wanaweza kujenereti laki moja ikawa bilionz of money...+ wakibebwa kidogo wanabebeka sana...the rest ni majaliwa, ukimbeba showoff kibao na matanuzi makubwa kiasi kwamba kibebeo kinaishia kujikwatua.
Mimi sio mchaga, sina ukaribu nao but ni aina ya mbegu ya kipekee katika kutengeneza pesa.
Wanawake wa kichaga ni wajanja mnoo mbele ya pesa, wana midomo ya kuvuta pesa, so humble mbele ya pesa.
Akikutana na Mgogo kama wewe unaweza kuuza hadi pumbu umpatie pesa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiiishiwa wala hakukumbuki hata jina lako, I know them in/out.
Hasa ukakuta mrembo wa kichaga ana ki grocery chake lazima atengeneze base ya wateja wake tena wenye majina.
Snakuwa na ki vip lounge/room maalum cha kukaa nao hadi usiku wa manane.
Wewe mgogo uliyezaliwa kwenye vumbi la Dodoma huwezi nielewa maana ndio ushamba unaanza kukutoka ( natania usi mind mkuu[emoji1787])
Kwa kifupi Wachaga ni Waisrael wa Tanzania sawa na Kikuyu wa Kenya...hawa watu mimi nawajua mnoo.
Jesca kamwe hajafika pale peke yake..
But ...ninampa credit kwa kubebeka hilo nalo NENO
Hayo yanaweza kuwakuta wanaume wengi washamba, aidha wa mapenzi au pesa.
Kuwafananisha Wakikuyu na Wachagga kama Wayahudi wa Tanzania na wa Kenya umetumia vigezo vipi Mr. Glenn?