Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Rudia kusoma post yangu vizuri.
Sio kila mwanamke akibebwa hubebeka wengine wanakukojolea mgongoni.

Wanawake asilimia kubwa...rudia...sema asilimia kubwa wanaobebeka nchi hii ni wa kaskazini...wachaga

Asili yao ni biashara tangu tumboni mwao. Wanaweza kujenereti laki moja ikawa bilionz of money...+ wakibebwa kidogo wanabebeka sana...the rest ni majaliwa, ukimbeba showoff kibao na matanuzi makubwa kiasi kwamba kibebeo kinaishia kujikwatua.

Mimi sio mchaga, sina ukaribu nao but ni aina ya mbegu ya kipekee katika kutengeneza pesa.

Wanawake wa kichaga ni wajanja mnoo mbele ya pesa, wana midomo ya kuvuta pesa, so humble mbele ya pesa.

Akikutana na Mgogo kama wewe unaweza kuuza hadi pumbu umpatie pesa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukiiishiwa wala hakukumbuki hata jina lako, I know them in/out.

Hasa ukakuta mrembo wa kichaga ana ki grocery chake lazima atengeneze base ya wateja wake tena wenye majina.

Snakuwa na ki vip lounge/room maalum cha kukaa nao hadi usiku wa manane.

Wewe mgogo uliyezaliwa kwenye vumbi la Dodoma huwezi nielewa maana ndio ushamba unaanza kukutoka ( natania usi mind mkuu[emoji1787])

Kwa kifupi Wachaga ni Waisrael wa Tanzania sawa na Kikuyu wa Kenya...hawa watu mimi nawajua mnoo.

Jesca kamwe hajafika pale peke yake..

But ...ninampa credit kwa kubebeka hilo nalo NENO
Mkuu why unadhani Mpwayungu ni weak hivyo kwa wanawake hasa wa kichagga?

Hayo yanaweza kuwakuta wanaume wengi washamba, aidha wa mapenzi au pesa.

Kuwafananisha Wakikuyu na Wachagga kama Wayahudi wa Tanzania na wa Kenya umetumia vigezo vipi Mr. Glenn?
 
.
Screenshot_20230805-101608_1.jpg
 
Ukiwa sponsor hakikisha unamtumia sly queen as much as possible kabla hajaenda kwa Rika lake na sponsor kurudi kwa mama watoto.
Usije ukamnunulia mchepuko gari, mpe hela ya bolt hata Kama Ni kila siku.
Usije ukamjengea mwanamke wa nje nyumba utakuja kulia. Mkodishie nyumba hata Kama Kodi Ni laki moja.
Mwisho epuka mchepuko mwenye tabia za kiswahili.
Unazingua, una pesa unatamka kodi...eti hata kodi ya laki moja?

Sasa nyumba ya laki moja utaenda kupaki gari uingie kumtafuna?

Hii ni level ya kijana ambaye bado anajitafuta sio level ya kuhonga gari
 
Ukiwa sponsor hakikisha unamtumia sly queen as much as possible kabla hajaenda kwa Rika lake na sponsor kurudi kwa mama watoto.
Usije ukamnunulia mchepuko gari, mpe hela ya bolt hata Kama Ni kila siku.
Usije ukamjengea mwanamke wa nje nyumba utakuja kulia. Mkodishie nyumba hata Kama Kodi Ni laki moja.
Mwisho epuka mchepuko mwenye tabia za kiswahili.
Wewe ni mzoefu mno aisee! Dah[emoji23]
 
Mkuu why unadhani Mpwayungu ni weak hivyo kwa wanawake hasa wa kichagga?

Hayo yanaweza kuwakuta wanaume wengi washamba, aidha wa mapenzi au pesa.

Kuwafananisha Wakikuyu na Wachagga kama Wayahudi wa Tanzania na wa Kenya umetumia vigezo vipi Mr. Glenn?
Anafikili mm boya hajui mm ni mtoto WA town nimezaliwa dodoma mjini nikakulia mjini nikasoma mjini na saizi nipo dar kupiga pesa na kula bata kila jumapili nipo kidimbwi sehemu ambayo hukuti uchafu wowote wa washika vumbi la chaki.
 
kwamba ana ugomvi na walimu sio! [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu alikuwa kilaza sana shuleni, matokeo yake akaamua kuwachukia walimu!! Sijui watoto wake kama anao wanafundishwa na nani!! Mwalimu ni baba wa elimu, ukidharau mwalimu ni sdawa na kudharau baba yako, matokeo yake ni laana tu!!
 
Huyu alikuwa kilaza sana shuleni, matokeo yake akaamua kuwachukia walimu!! Sijui watoto wake kama anao wanafundishwa na nani!! Mwalimu ni baba wa elimu, ukidharau mwalimu ni sdawa na kudharau baba yako, matokeo yake ni laana tu!!
Huyu ni mwalimu,bifu lake na siye tuliyo kazini ni yeye kukosa ajira
 
Unasemaje kuhusu wafanyakazi waliokopa Benji hela ndefu na kuingiza kwenye biashara Kisha zikafeli na wakayumba Sana

Unasemaje kuhusu watu walioacha kazi wakaingia kwenye biashara Kisha biashara zikafeli na wakatamani warudi kwenye kazi na ikashindikana kabisa??

Maisha hayana formula, acha kila mmoja apambane kwa namna inavyompendeza


Watu wanapambana ila hawatoboi

Sio kila aliye maskini hafanyi kazi kwa bidii

Sio kila aliyefanikiwa amefanya kazi bidii.
Well said
 
Huyu jamaa na walimu wakae chini wazungumze
Mpwayungu vilage ana maisha magumu!! Anaamini maisha yake magumu yametokana na kufeli shule maana bila shaka alikuwa ni kilaza!! Anaona walimu ndo wanahusika na kufeli kwake kwa hiyo ameamua kuwa adui wa walimu maisha yake yote!! Anajifariji kuwa walimu wana maisha magumu kama yeye alivyo na maisha magumu!!
 
Unazingua, una pesa unatamka kodi...eti hata kodi ya laki moja?

Sasa nyumba ya laki moja utaenda kupaki gari uingie kumtafuna?

Hii ni level ya kijana ambaye bado anajitafuta sio level ya kuhonga gari
Law number 3.
Usije ukamtafunia mchepuko nyumbani kwake. Kama huna hela ya lodge, Mbagala Kuna gesti za elfu tano (self).
Kifupi usije kulala nyumba ya mchepuko, wanawake sio watu wema.
 
Mkuu why unadhani Mpwayungu ni weak hivyo kwa wanawake hasa wa kichagga?

Hayo yanaweza kuwakuta wanaume wengi washamba, aidha wa mapenzi au pesa.

Kuwafananisha Wakikuyu na Wachagga kama Wayahudi wa Tanzania na wa Kenya umetumia vigezo vipi Mr. Glenn?
Kuhusu Mpwayungu Village nimeandika kwenye mabano kuwa nimemtania.

Kuhusu Kikuyu na Mchaga...kuwafananisha na Waisrael.

Israel ni watafutaji sana wa pesa, wanatumia mbinu nyingi.

Ukimleta Mwisrael hapa Tanzania aje tu na bag lake bila mtaji, atakushangaza baada ya miaka mitano, atakuuzia akili, maarifa namna ya kulima kisasa au kubuni chochote.

Mchaga kwenye pesa sio mtaji pekee.

Kinywa/mdomo wa mchaga unaweza kugeuka mtaji
Wewe mwajiri kufanya lolote yaani mbele ya pesa ni mnyenyekevu sana yuko tayari kumuosha boss miguu tena kiroho safi maadamu tu pesa ni uhakika.
Ndio maana anafanikiwa.

Je..kijana wa KINYAKYUSA anaweza kujishuklsha kiasi hicho?
 
Huyu alikuwa kilaza sana shuleni, matokeo yake akaamua kuwachukia walimu!! Sijui watoto wake kama anao wanafundishwa na nani!! Mwalimu ni baba wa elimu, ukidharau mwalimu ni sdawa na kudharau baba yako, matokeo yake ni laana tu!!
Sio kweli yani Hawa maticha wanaolewa mpaka wanajikojolea ufananishe na baba angu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]usifananishe faza na walimu wajaa laana makapuku wananuka njaa
 
Unasemaje kuhusu wafanyakazi waliokopa Benji hela ndefu na kuingiza kwenye biashara Kisha zikafeli na wakayumba Sana

Unasemaje kuhusu watu walioacha kazi wakaingia kwenye biashara Kisha biashara zikafeli na wakatamani warudi kwenye kazi na ikashindikana kabisa??

Maisha hayana formula, acha kila mmoja apambane kwa namna inavyompendeza


Watu wanapambana ila hawatoboi

Sio kila aliye maskini hafanyi kazi kwa bidii

Sio kila aliyefanikiwa amefanya kazi bidii.
Sahihi kabisa
 
Anafikili mm boya hajui mm ni mtoto WA town nimezaliwa dodoma mjini nikakulia mjini nikasoma mjini na saizi nipo dar kupiga pesa na kula bata kila jumapili nipo kidimbwi sehemu ambayo hukuti uchafu wowote wa washika vumbi la chaki.
Unamdanganya nani, wewe ni mlala hoi tu uliyeamua kuishi maisha ya kujitekenya na kucheka mwenyewe!! Kuchukia walimu kwa kuwa ulifeli shule hakutakusaidia kukupunguzia ugumu wa maisha uliyonayo!
 
Sio kweli yani Hawa maticha wanaolewa mpaka wanajikojolea ufananishe na baba angu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]usifananishe faza na walimu wajaa laana makapuku wananuka njaa
Una hoja lakini uwasilishaji wako juu ya walimu ni mbovu kuliko ubovu wenyewe.

Unageuka kuwa unachuki binafsi na walimu.

Ungekuwa na uwasilishaji mzuri ungegeuka kuwa mkombozi wa walimu kifikra
 
Back
Top Bottom