political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Amna siyo izo ila ni zile ambazo Ahmed ally anasema zikisemwa adharani umeme utakatika[emoji16][emoji16]Utakuwa una zile habari za kina Haji manara[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amna siyo izo ila ni zile ambazo Ahmed ally anasema zikisemwa adharani umeme utakatika[emoji16][emoji16]Utakuwa una zile habari za kina Haji manara[emoji16][emoji16]
Tena Kwa kuanza na mtaji wa laki 5 [emoji23][emoji23][emoji23]Ulipwe $3000 uache ukafungue grocery ya vinywaji? [emoji23] [emoji23] [emoji23] ONLY IN TIZED MAZEE
Nakuomba PMLakini akumbuke jehanamu inamsubiri!! Wengi hujitoa ufahamu na kujifanya hawalijui hili japo dhamiri zao huwashuhudia sana kuwa wayatendayo yanawapeleka kwenye hukumu ya Mungu!!
Unajua fika nina jicho la 3Umemuelewa eh?
With due respect,Tutake radhi wagogoRudia kusoma post yangu vizuri.
Sio kila mwanamke akibebwa hubebeka wengine wanakukojolea mgongoni.
Wanawake asilimia kubwa...rudia...sema asilimia kubwa wanaobebeka nchi hii ni wa kaskazini...wachaga
Asili yao ni biashara tangu tumboni mwao. Wanaweza kujenereti laki moja ikawa bilionz of money...+ wakibebwa kidogo wanabebeka sana...the rest ni majaliwa, ukimbeba showoff kibao na matanuzi makubwa kiasi kwamba kibebeo kinaishia kujikwatua.
Mimi sio mchaga, sina ukaribu nao but ni aina ya mbegu ya kipekee katika kutengeneza pesa.
Wanawake wa kichaga ni wajanja mnoo mbele ya pesa, wana midomo ya kuvuta pesa, so humble mbele ya pesa.
Akikutana na Mgogo kama wewe unaweza kuuza hadi pumbu umpatie pesa🤣🤣🤣🤣
Ukiiishiwa wala hakukumbuki hata jina lako, I know them in/out.
Hasa ukakuta mrembo wa kichaga ana ki grocery chake lazima atengeneze base ya wateja wake tena wenye majina.
Snakuwa na ki vip lounge/room maalum cha kukaa nao hadi usiku wa manane.
Wewe mgogo uliyezaliwa kwenye vumbi la Dodoma huwezi nielewa maana ndio ushamba unaanza kukutoka ( natania usi mind mkuu🤣)
Kwa kifupi Wachaga ni Waisrael wa Tanzania sawa na Kikuyu wa Kenya...hawa watu mimi nawajua mnoo.
Jesca kamwe hajafika pale peke yake..
But ...ninampa credit kwa kubebeka hilo nalo NENO
Hamna Mkuu, sema liliwahi nitunukia kishikaji shikaji basiMkuu wewe haupo miongoni mwa malofa?
Ni Chaga hilo She?Hamna Mkuu, sema liliwahi nitunukia kishikaji shikaji basi
karibu!Nakuomba PM
Kiben 10 ndio kilivujisha zile picha ?Halafu alikuwa na sponsor, sema hongera kwake maana alijiongeza.Katumia pesa za sponsor kuinvest. Baadae kampiga chini sponsor na kaibuka na kiben ten.
Nilijua mna msingizia aisee. Kumbe kuna watu wanatamani kubleed kila mwezi na kupigwa miti kinoma?Mtu mwanamume akifika pahala akatamani kuwa ingekuwa vizuri kama angezaliwa mwanamke, ila anajuta kwa kuwa haiwezekani tena, hapo ujue amepigika!! Anawaonea wivu wanawake maana wao wana plan 2 katikati ya miguu yao!! Ushahidi wa Mpwayungu kutamani kuwa mwanamke huu hapa!! Kwa nini watu wasiamini kuwa huyu jamaa ni shoga?
View attachment 2709027
Kila nikijaribu kuwaomba radhi...najaribu kuwasha taa kubwa na kuwamulika Malecela, Ndugai na Kibajaji...nakosa maneno.With due respect,Tutake radhi wagogo
Naunga mkono hojaNi wakati Sasa wakukaa na walimu meza Moja myamalize
Dah🙆🙆🙆tumesikitishwa sanaKila nikijaribu kuwaomba radhi...najaribu kuwasha taa kubwa na kuwamulika Malecela, Ndugai na Kibajaji...nakosa maneno.
Mnastahili nilichowapa🤣🤣
acha soga wewe, hakuna air hostess anaepata fedha hio kwa mwezi$3000 kwa air hostess inawezekana ila kwa Fastjet sijui.
Betty Ajenta air hostess aliyeacha kazi Doha, Qatar na kwenda kufa njaa Shakahola kwa Pastor Mackenzie ilisemekana alikuwa anakunja $41,000/month baada ya miaka 11 kwenye ajira hiyo.
Badilikeni kimtazamo. Sina chuki binafsi nao.Dah🙆🙆🙆tumesikitishwa sana
mishahara yao ni midogo sana, wanachotegemea, kule wanakoenda kufikia, ni kudanga. ndio maana waliojaa mle wengi ni wanawake, na ukiona mwanaume ni shoga. kwa ulaya ipo hivyo, sijui kwa bongo.Asikudanganye mtu kuwa hawa wafanyakazi wa kwenye ndege au wa airports wana mishahara mizuri.
Once my daughter worked at JKNIP alikimbia kisa pay iko chini,