Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Kwa mfano wa diamond. Watu karibu wote humu tumewai mchangia hela kwa kununua mziki wake bila sisi kujijua kama tunanua hizo nyimbo.

Diamond anakusanya hela nyingi sana kwenye digital platforms kama youtube, boom play etc.

Mimi ama wewe tukidownload wimbo wa diamond kwenye hizo digital ama tukisikiliza hizo nyimbo hapo ndipo tunakuwa tumemchangia diamond hela. Maana analipwa mapato kutokana na idadi yetu tuliosikiliza nyimbo zake
Kumbe uki download wimbo YouTube unakuwa umemchangia msanii mapato.

[emoji3]
 
Ndivyo alivyokwambia hivyo??
Wanaofanikiwa hawaweki wazi njia zao.

Acha hiyo kazi yako na wewe ukafungue grocery ya vinywaji vya laki 5.

Wewe na hao walimu ni sawa tu, na huenda wamekuzidi maarifa.
 
Walimu ni watu muhimu.
Tatizo lao wameruhusu njaa ifanye haya:
1. Njaa imewagawa...hawawezi kudai haki psmoja.

2. Njaa iwatumie...wanaiba kura, katika hili siwezi kuwasamehe.


Wangeungana wasingedharaulika na wangelipwa vizuri.

Umewahi kusikia mgomo wa waalimu uliofanikiwa?

Wakiongezwa tu 20k kwa salary wanamvalia Rais tsheti za shukrani kama vile zawadi kumbe ni haki yao.

Walimu nchi hii safari ni ndefu na hawafiko leo
My friend,
kuwalaumu eti hawajaungana kuongezewa mishahara huko ni kuwaonea,kumbuka Kuna miaka mitano hapo nyuma hakuna mfanyakazi wa serikali wameongezewa mshahara.

Kuhusu kutumika kuiba kura,mwalimu sio malaika,ana familia na majukumu ya kuyatekeleza,hawezi chezea kazi yake inayompatia hicho kidogo....

Kuhusu migomo mnataka migomo gani tena?walimu wa serikali Wana migomo baridi mbona Ina maana hulijui hili?

Hizi lawama za maisha ya walimu tafadhali acheni kuita laana,lawama zielekezwe Kwa serikali ya CCM ndio yenye laana.
 
Walimu ni watu muhimu.
Tatizo lao wameruhusu njaa ifanye haya:
1. Njaa imewagawa...hawawezi kudai haki psmoja.

2. Njaa iwatumie...wanaiba kura, katika hili siwezi kuwasamehe.


Wangeungana wasingedharaulika na wangelipwa vizuri.

Umewahi kusikia mgomo wa waalimu uliofanikiwa?

Wakiongezwa tu 20k kwa salary wanamvalia Rais tsheti za shukrani kama vile zawadi kumbe ni haki yao.

Walimu nchi hii safari ni ndefu na hawafiko leo
Yeah sure [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
My friend,
kuwalaumu eti hawajaungana kuongezewa mishahara huko ni kuwaonea,kumbuka Kuna miaka mitano hapo nyuma hakuna mfanyakazi wa serikali wameongezewa mshahara.

Kuhusu kutumika kuiba kura,mwalimu sio malaika,ana familia na majukumu ya kuyatekeleza,hawezi chezea kazi yake inayompatia hicho kidogo....

Kuhusu migomo mnataka migomo gani tena?walimu wa serikali Wana migomo baridi mbona Ina maana hulijui hili?

Hizi lawama za maisha ya walimu tafadhali acheni kuita laana,lawama zielekezwe Kwa serikali ya CCM ndio yenye laana.
Ni kukwama kwenyewe
 
Na wewe una support walimu Wana tatizo, serious?
Walimu hawana tatizo lolote, walimu wamesahaulika na mfumo,wa kulaumiwa hapa labda ni serikali yetu inayowapa salary ndogo....lakini Kwa Nini walimu tu ndio waonekane wanalipwa kidogo na ikiwa police,manesi,mahakimu wote wanalipwa almost the same,tatizo walimu hawana mianya ya kutengeneza kipato Cha ziada kama wenzao ambacho ni RUSHWA...
Dada Joannah walimu wana shida kichwani huwa hawawezi kudai haki zao, ili serikali nikufanyie jambo lazima uparangane Sasa wao hawagomi, hawasemi, hawahoji Wala kulaumu serikali

Maisha Yao yamekuwa ya msoto alpha na omega, wanakumbukwa kwenye visensa na uchaguzi tu na pesa yenyewe niyakifeisali. Sasa kweli wangekuwa timamu wangekubali kupangishwa foleni wafanyiwe interview za sensa?? Mbona hatuwaoni madaktar, wanajeshi, na wanasheria wanaomba kazi za sensa na uchaguzi?, Yani walimu hawawazi kabisa kuhusu human dignity wao bora liende tu
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851
Wewe umetajirika..?? Mambo ya motivation speaker sio ya kuyaamini saana kwa maana hawezi kusema njia zake zote katika kufikia alipo
 
Dada Joannah walimu wana shida kichwani huwa hawawezi kudai haki zao, ili serikali nikufanyie jambo lazima uparangane Sasa wao hawagomi, hawasemi, hawahoji Wala kulaumu serikali

Maisha Yao yamekuwa ya msoto alpha na omega, wanakumbukwa kwenye visensa na uchaguzi tu na pesa yenyewe niyakifeisali. Sasa kweli wangekuwa timamu wangekubali kupangishwa foleni wafanyiwe interview za sensa?? Mbona hatuwaoni madaktar, wanajeshi, na wanasheria wanaomba kazi za sensa na uchaguzi?, Yani walimu hawawazi kabisa kuhusu human dignity wao bora liende tu
Haya unayosema yanaweza kuwa sawa lakini Huoni kama una exaggerate sana?Hivi mwalimu, police, nurses,bwanashamba,katibukata Wana tofauti gani kimshahara Hadi mwalimu ndio aonekane ananuka shida?
 
Walimu ni watu muhimu.
Tatizo lao wameruhusu njaa ifanye haya:
1. Njaa imewagawa...hawawezi kudai haki psmoja.

2. Njaa iwatumie...wanaiba kura, katika hili siwezi kuwasamehe.


Wangeungana wasingedharaulika na wangelipwa vizuri.

Umewahi kusikia mgomo wa waalimu uliofanikiwa?

Wakiongezwa tu 20k kwa salary wanamvalia Rais tsheti za shukrani kama vile zawadi kumbe ni haki yao.

Walimu nchi hii safari ni ndefu na hawafiko leo
Walimu wanaovaa Tshet siku ya mei mosi ni wale wenye vyeo ambao hata Chaki hawashiki
 
Back
Top Bottom