Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Jesca Kitambaa Cheupe aliacha kazi ya Airhostess ili akajiajiri

Ungenyooka tu na agenda yako ya kuwatukana walimu kenge mwenye madoa wewe.

Maelezo yako tu ni ushuzi mtupu. Et analipwa zaidi ya $3000kl kwa mwezi alafu amefungua Grosari ambayo mtaji haufiki hata sh laki tano. Kwa akili yako yenye ukurutu hapo unaona sawa
Tichaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu alikuwa na sponsor, sema hongera kwake maana alijiongeza.Katumia pesa za sponsor kuinvest. Baadae kampiga chini sponsor na kaibuka na kiben ten.
Hata masogange alikuwa anadai ni mwanamIki na pia ni model.
Mpa tuliposikia kakamatwa na mzigo wa thamani 6bn.

Chapeni kazi stori zingine tuishie kupumzikia tu ila sio za kuchukulia serious sana
 
,😅😅😅Kama yule alijiitaga Super woman

Sorry kwa wanawake kwa kusema hivi ila wanawake wengi wenye mafanikio wameboostiwa na wanaume/mipango yao ya kando/wamewezeshwa kwa ajili ya uhusiano....Maduka/Grocery/Bars/Butique/Restaurants etc wamefunguliwa na mabwana zao ,wachache sana ndiyo wamepambana wao kama wao lakini kuna % mwanaume pia amehusika kwenye hayo mapambano yao waliobaki wengi msingi kiuno.
 
Haya unayosema yanaweza kuwa sawa lakini Huoni kama una exaggerate sana?Hivi mwalimu, police, nurses,bwanashamba,katibukata Wana tofauti gani kimshahara Hadi mwalimu ndio aonekane ananuka shida?
Hapa tunaongelea walimu sio polisi Wala nurse, kwanini mnapenda kuingiza kada ambazo hazipo kwenye mada.

We Dada angu bhnaa unanipinga tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mwalimu mkongwe nilimkuta shuleni tulipoenda kuripoti kuanza kazi ya ualimu. Yule mwalimu akawa anatushangaa na kutuuliza nyie vijana mmefuata nini huku? Kama vipi kimbieni haraka sana hii kazi mngali mna nguvu, la sivyo mtakuwa mmesaini umasikini wa kujitakia nyie pamoja na watoto wenu. Alisema huko kuna hela za kula tu, kama tunapenda kula tu ni hiyari kusubiri huo mshahara wa kula kila baada ya wiki nne tukijua hiyo sio kazi bali tumeajiriwa kama mayaya wa kulea watoto wa watu wanaofanya kazi. Kauli hiyo iliniacha hoi nisijue niache kazia au niendelee nikitumainia pensheni ya uzeeni.
 
Sorry kwa wanawake kwa kusema hivi ila wanawake wengi wenye mafanikio wameboostiwa na wanaume/mipango yao ya kando/wamewezeshwa kwa ajili ya uhusiano....Maduka/Grocery/Bars/Butique/Restaurants etc wamefunguliwa na mabwana zao ,wachache sana ndiyo wamepambana wao kama wao lakini kuna % mwanaume pia amehusika kwenye hayo mapambano yao waliobaki wengi msingi kiuno.
Shilole nani kambusti zaidi ya akina uchebe na Mziwanda kwenda kumfilisi tu msosi wake
 
Kuna mwalimu mkongwe nilimkuta shuleni tulipoenda kuripoti kuanza kazi ya ualimu. Yule mwalimu akawa anatushangaa na kutuuliza nyie vijana mmefuata nini huku? Kama vipi kimbieni haraka sana hii kazi mngali mna nguvu, la sivyo mtakuwa mmesaini umasikini wa kujitakia nyie pamoja na watoto wenu. Alisema huko kuna hela za kula tu, kama tunapenda kula tu ni hiyari kusubiri huo mshahara wa kula kila baada ya wiki nne tukijua hiyo sio kazi bali tumeajiriwa kama mayaya wa kulea watoto wa watu wanaofanya kazi. Kauli hiyo iliniacha hoi nisijue niache kazia au niendelee nikitumainia pensheni ya uzeeni.
@Joannah njoooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.

Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.

Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.

Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.

View attachment 2708851
$3000 airhostess hapa TZ?
 
Sorry kwa wanawake kwa kusema hivi ila wanawake wengi wenye mafanikio wameboostiwa na wanaume/mipango yao ya kando/wamewezeshwa kwa ajili ya uhusiano....Maduka/Grocery/Bars/Butique/Restaurants etc wamefunguliwa na mabwana zao ,wachache sana ndiyo wamepambana wao kama wao lakini kuna % mwanaume pia amehusika kwenye hayo mapambano yao waliobaki wengi msingi kiuno.
99%. Hata kama ni Tigo pesa ujue kuna mwanaume. Awe wake au hata kwa kuuza nyapu.

Hata kwenye vyeo ni hivyo hivyo awe amesoma au hajasoma.

Wahenga tunaelewana
 
Shilole nani kambusti zaidi ya akina uchebe na Mziwanda kwenda kumfilisi tu msosi wake

Mkuu ukiwaelewa wanawake utaamini maneno yangu ,fedha ya mwanamke ni ya mwanamke ,sisi kwa nje ndiyo tunaona kwamba Uchebe na mziwanda walikuwa wanamfilisi lakini ukiwahoji chamber hao kina uchebe na Mziwanda watakwambia ukweli ,m/ke tena mjasiliamalia atoe fedha ahonge m/me? Wanawake wanaohonga ni wale ambao wanamichepuko mizee ambayo inawahonga na wao wanaenda kutafuta viserengeti vya kuwahonga.
 
Back
Top Bottom