Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Wengine mishahara yetu unazifisha mara 30 ndo unaipata hiyoWewe unaona million Sita pesa kubwaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine mishahara yetu unazifisha mara 30 ndo unaipata hiyoWewe unaona million Sita pesa kubwaaaaaa
Tichaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungenyooka tu na agenda yako ya kuwatukana walimu kenge mwenye madoa wewe.
Maelezo yako tu ni ushuzi mtupu. Et analipwa zaidi ya $3000kl kwa mwezi alafu amefungua Grosari ambayo mtaji haufiki hata sh laki tano. Kwa akili yako yenye ukurutu hapo unaona sawa
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Kwa hili la kuwabeza walimu sidhani kama ni sawa!wote tukitaka kufanya biashara nani atakuwa muelimishaji?Walimu waheshimiwa
Hata masogange alikuwa anadai ni mwanamIki na pia ni model.Halafu alikuwa na sponsor, sema hongera kwake maana alijiongeza.Katumia pesa za sponsor kuinvest. Baadae kampiga chini sponsor na kaibuka na kiben ten.
Very contadictingUngenyooka tu na agenda yako ya kuwatukana walimu kenge mwenye madoa wewe.
Maelezo yako tu ni ushuzi mtupu. Et analipwa zaidi ya $3000kl kwa mwezi alafu amefungua Grosari ambayo mtaji haufiki hata sh laki tano. Kwa akili yako yenye ukurutu hapo unaona sawa
Kujiajiri ni priority kwakeKama mtu alikuwa analipwa zaidi ya Mil 6 per month ilikuaje akafungua kigrocery chenye vinywaj hata Laki 5 haifik?
Tumia akili
,😅😅😅Kama yule alijiitaga Super womanKuzaliwa mwanamke ni mtaji tosha ,tena mzuri hivyo,nyuma ya mafanikio ya mwanamke kuna njemba za kutosha hapo zimemboost.
Hapa Script ilikwaruza kidogoKama mtu alikuwa analipwa zaidi ya Mil 6 per month ilikuaje akafungua kigrocery chenye vinywaj hata Laki 5 haifik?
Tumia akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walimu wanaovaa Tshet siku ya mei mosi ni wale wenye vyeo ambao hata Chaki hawashiki
Asante aisee kidogo tusahauReasoning capacity yetu Watanzania ina mashaka.
Ninawakumbusha bandari zinaenda
,😅😅😅Kama yule alijiitaga Super woman
Hapa tunaongelea walimu sio polisi Wala nurse, kwanini mnapenda kuingiza kada ambazo hazipo kwenye mada.Haya unayosema yanaweza kuwa sawa lakini Huoni kama una exaggerate sana?Hivi mwalimu, police, nurses,bwanashamba,katibukata Wana tofauti gani kimshahara Hadi mwalimu ndio aonekane ananuka shida?
Shilole nani kambusti zaidi ya akina uchebe na Mziwanda kwenda kumfilisi tu msosi wakeSorry kwa wanawake kwa kusema hivi ila wanawake wengi wenye mafanikio wameboostiwa na wanaume/mipango yao ya kando/wamewezeshwa kwa ajili ya uhusiano....Maduka/Grocery/Bars/Butique/Restaurants etc wamefunguliwa na mabwana zao ,wachache sana ndiyo wamepambana wao kama wao lakini kuna % mwanaume pia amehusika kwenye hayo mapambano yao waliobaki wengi msingi kiuno.
@Joannah njoooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwalimu mkongwe nilimkuta shuleni tulipoenda kuripoti kuanza kazi ya ualimu. Yule mwalimu akawa anatushangaa na kutuuliza nyie vijana mmefuata nini huku? Kama vipi kimbieni haraka sana hii kazi mngali mna nguvu, la sivyo mtakuwa mmesaini umasikini wa kujitakia nyie pamoja na watoto wenu. Alisema huko kuna hela za kula tu, kama tunapenda kula tu ni hiyari kusubiri huo mshahara wa kula kila baada ya wiki nne tukijua hiyo sio kazi bali tumeajiriwa kama mayaya wa kulea watoto wa watu wanaofanya kazi. Kauli hiyo iliniacha hoi nisijue niache kazia au niendelee nikitumainia pensheni ya uzeeni.
$3000 airhostess hapa TZ?Fikiria kazi nzuri ya kuwa mhudumu wa ndege za Fastjet lakini huyu Dada akaona anapoteza muda kwani hatatajirika kwa kuajiriwa ikabidi akafungua glocery akaweka vinywaji hata vya laki tano havifiki.
Baada ya miaka mitano akaanza kukua kibiashara mwisho wa siku bar za kitambaa cheupe zinatikisa Dar nzima.
Inahitaji commitment na dedication kuacha kazi unayolipwa zaidi ya $3000 Kwa mwezi ukaenda kufungua kigrocery ukiwa na ndoto ipo siku itakuwa bar kubwa.
Lakini akili za walimu ukiwaambia vitu kama hivi wanaishia kudondosha udenda tu ila kufanya maamuzi kama haya hawawezi. Walimu mtabaki makapuku mpaka kaburini, mnaona hiyo kazi ni alpha na omega, mimi bora nikaendeshe guta sokoni.
View attachment 2708851
Kumbe uki download wimbo YouTube unakuwa umemchangia msanii mapato.
[emoji3]
99%. Hata kama ni Tigo pesa ujue kuna mwanaume. Awe wake au hata kwa kuuza nyapu.Sorry kwa wanawake kwa kusema hivi ila wanawake wengi wenye mafanikio wameboostiwa na wanaume/mipango yao ya kando/wamewezeshwa kwa ajili ya uhusiano....Maduka/Grocery/Bars/Butique/Restaurants etc wamefunguliwa na mabwana zao ,wachache sana ndiyo wamepambana wao kama wao lakini kuna % mwanaume pia amehusika kwenye hayo mapambano yao waliobaki wengi msingi kiuno.
Shilole nani kambusti zaidi ya akina uchebe na Mziwanda kwenda kumfilisi tu msosi wake