Jesca Magufuli amemtembelea Odinga ili kumtakia heri katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC)

Jesca Magufuli amemtembelea Odinga ili kumtakia heri katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC)

Jesca ilitakiwa arithi mikoba ya baba yake ili kuendeleza uzalendo wa baba yake Kwa kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka.Naamini tusingekuwa na mamikopo ya ajabuajabu kama alivyosema mzalendo ndugai we have ninety eight trillion of debt under tyrant regime of lice mother.its not fair.
 
Leaders are borned, is a gift. Si kitu unasoma darasani
Sure but present time you can't get gifted born leader, hapa kurasini chuo cha diplomasua tunazalisha viongozi wengi na wapo kwenye taasisi mbalix2 na hata nje ya nchi.
 
Kiingereza ni shida.
Kati ya Odinga na huyo binti nani amempa baraka mwenzake kwa mujibu wa maandishi?mleta mada muwahi rasi simba
Non sequitir.
Kuwa mbunge ni lazima uwe unajua kiingereza?😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom