MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Borned? Hiki kiingereza cha wapi mkuu?Leaders are borned, is a gift. Si kitu unasoma darasani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Borned? Hiki kiingereza cha wapi mkuu?Leaders are borned, is a gift. Si kitu unasoma darasani
Kwa hiyo kisa Mimi Nina msapotiii LISU ndo mnataka kunifanyia ivo?Amemimina😂😂😂😂😂😂 utabubujikwa na chozi ukisikia Lucas ametwaa malikia manake na yy huwa wa kumiminia😂😂🤣🤣🥲
Yule ni liCCM mm ni team Lissu. Team Lissu ndie mshindi. Kura umepata, na kwa hilo utakubali uniachie Jesica? 😂😂😂😂Kwa hiyo kisa Mimi Nina msapotiii LISU ndo mnataka kunifanyia ivo?
Ukiambiwa upige kura kati yangu Mimi na Lucas utampa nani achukue Jimbo 😂
🤣Borned? Hiki kiingereza cha wapi mkuu?
Ndugu yangu kwani si Mimi ndo umenipa baraka zote hapa niwe na jesicaaaaa? Mkuu mbona unataka kunigeukaaa 🥹Yule ni liCCM mm ni team Lissu. Team Lissu ndie mshindi. Kura umepata, na kwa hilo utakubali uniachie Jesica? 😂😂😂😂
Hatutaki tena wa kuanzisha kiwanda cha kusindika chai chato uwanja unatoshaBora atulie tu. Tanzania sio monarch country.
ukiwa mtoto wa kiongoz , huna haki ya kushiriki siasa za nchi yako ?Bora atulie tu. Tanzania sio monarch country.
Ndugu yangu kwani si Mimi ndo umenipa baraka zote hapa niwe na jesicaaaaa? Mkuu mbona unataka kunigeukaaa 🥹
Naanza kesho kufunga Saba kavuuuu ili nimpate jesicaaaaaaaa 🥹😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unacheza na siasa. Ni give or take. niachie nipigiwe mm kura basi.
Titi for tat, I mean tit for tat😅😁
Andika kiswahili kiingereza ni matatzoLeaders are borned, is a gift. Si kitu unasoma darasani
Nimesema ikibidi. Mimi haijabidi.Na wewe pia ni mke wa Yesu?
Hilo jibu litamfaa aliyeuliza swali.Umeshapotosha pakubwa mkuu.huu siyo mktadha sahihi
Wahuni nimeona fursaSasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Huyu si alifeli form iv shule ya St.Thomas?.Sasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Unamsema Magufuli Mungu wako?Watoto wa kambo mna gubu
Haijaondoa uzuri wake wala kuondoa kuwa ni mtoto wa Rais.Huyu si alifeli form iv shule ya St.Thomas?.
CC:Jesca ni mtu smart hana arrogance similar to all Magufuli children. Wako very calm