Mjomba ntu Kalemani sasaaa......Sasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Kaisha lamba asali ,Odinga wa sasa akikutana na Odinga wa miaka 10 iliyopita lazima wapiganeSasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Bora ungeandika kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili ungeeleweka. Exactly what did you mean by " leaders are borned, is a gift"?Leaders are borned, is a gift. Si kitu unasoma darasani
Sure but present time you can't get gifted born leader, hapa kurasini chuo cha diplomasua tunazalisha viongozi wengi na wapo kwenye taasisi mbalix2 na hata nje ya nchi.Leaders are borned, is a gift. Si kitu unasoma darasani
Hahaha leaders are born, leadership is a gift, you either have it in you or notBora ungeandika kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili ungeeleweka. Exactly what did you mean by " leaders are borned, is a gift"?
Ataweza siasa za ushindani, au naye atafanya siasa kama za baba yake ya kupita bila kupingwa?Sasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Umeshapotosha pakubwa mkuu.huu siyo mktadha sahihiKila mwanamke ameolewa. Yesu Kristo, mume wa wote, yupo ikibidi.
Ww.Ameolewaaa???? π€
Non sequitir.Kiingereza ni shida.
Kati ya Odinga na huyo binti nani amempa baraka mwenzake kwa mujibu wa maandishi?mleta mada muwahi rasi simba
Labda anasema wanadinda? Cjui.Bora ungeandika kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili ungeeleweka. Exactly what did you mean by " leaders are borned, is a gift"?
Huyo leila yeye kama naniSasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato View attachment 3230723kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Amezaa tu hajaolewaAmeolewaaa???? π€
Sio woteKila mwanamke ameolewa. Yesu Kristo, mume wa wote, yupo ikibidi.
Asantee mkuu ... Msalimie sanaAmezaa tu hajaolewa