Jeshi la 6 kwa ubora duniani linaweza kujilinda dhidi ya mashambulizi ya anga?

Jeshi la 6 kwa ubora duniani linaweza kujilinda dhidi ya mashambulizi ya anga?

Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.
Interception ya makombora kwa sasa haipo kwenye vigezo vya majeshi bora duniani. Kwanza kwa huu mfumo wa Israel, umeanza kutumika majuzi tu hapa na ulitengenezwa kwa pamoja kati ya US na Israel. Na kwa upande mwingine, mfumo wenyewe sio sustainable kwa sababu, kwa mujibu wa gazeti la Guardian UK, ambao walimnukuu Afisa wa IDF, wanadai wakati Iran gharama ya kutengeneza makombora yao ni Pound 80K kwa Kombola, gharama ya Kombora la kutungua hilo kombora moja ni Pound 800K! Yaani Mara 10. Halafu kuna aina nyingine ya interceptor wanayoitumia, yenyewe ni ya muda mrefu kidogo! Hiyo gharama yake ndo balaa manake inagharimu Pound 3.5M ku-intercept kombora la Pound 80K! Baada ya kusoma hii habari ndo nikajua kwanini US always atam-support Israel kwa misaada ya kijeshi kwa sababu unatengeneza single interceptor kwa gharama kubwa hivyo, lazima uwe na practical use ya kuthibitisha ubora wake ili uweze kushawishi majeshi mengine duniani kulipa pesa nyingi yote hiyo! Ujinga ni kwamba, ukikutana na jeshi lenye missiles nyingi, kwa hiyo gharama lazima utaishiwa pumzi tu kwa sababu ni very costful kuwa kiasi kikubwa cha hizo interceptors.
 
jeshi la sita kwa ubora katika kipengele kipi?
 
Asante kwa maelezo, sasa naomba jibu, jeshi namba 6 duniani lina uwezo wa kujilinda dhidi ya mashambulizi ya anga?
Kwanza mimi maelezo yangu wala sikutaka kujikita kwenye hizo porojo za kusema eti tupo #6 kwa sababu hatuwezi kuwepo hata kwenye Top 20 duniani labda kama alimaanisha Afrika! Lakini kuhusu kuweza kujilinda na hayo makombora, who knows?! Ingawaje possibility ya kuwa na missile defence sysyem ni ndogo kutokana na gharama zake, lakini siwezi kuapiza kwamba hatuna hiyo mifumo kwa sababu mambo mengi ya kijeshi ni confidentia; na ndo maana hizi reports za strongest armies huwa siziamini!! Kuna ndugu yangu mmoja ni Mjeda yupo kambi fulani hivi Dar. Kwa mujibu wa maelezo yake, anadai hapo kambini kwao ndo ilipo roho ya JWTZ na mara nyingi mizigo yao ikifika bandarini huwa inatolewa usiku wa manane! Sasa sijui ni kweli au kanifunga kamba, ni mwenyewe ndie ajuae
 
Yani hao iyo 6 ukiatoa USA, Russia, China,uingereza,na ujeruman ndo anafata jw ama?🤔🤔
 
Kwa vile mnadanganywa wanaokula dona ndio wana nguvu , jaribuni muone ...Ule mziki wa congo tu ni balaa.
 
images.jpeg
 
Mungu apishilie mbali,.wenzio wanaanza siku kwa maombi ati wanalindwa na jina lipotalo majina yote
 
Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi letu, JWTZ inashika namba 6 kati ya majeshi bora duniani.

Swali langu, ikitokea tumerushiwamakombora angani tunao mfumo wa kuyazuia na kuyaharibu?

Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.

Je sisi ni zaidi yao?
3387.jpg

Taifa teule la Mungu limeshindwa kujilinda katandikwa kama mbwa koko tutaweza sisi kweli.
 
Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi letu, JWTZ inashika namba 6 kati ya majeshi bora duniani.

Swali langu, ikitokea tumerushiwamakombora angani tunao mfumo wa kuyazuia na kuyaharibu?

Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.

Je sisi ni zaidi yao?
Hata jeshi letu kiakili halikubali.
 
TZ ijitahidi inunue Iron Dome kama ya taifa teule la ISRAEL ijilinde hata tukila nyasi poa tu, Ulinzi ni muhimu
Iron Dome kiboko ya magaidi

 
Hahahahahaha kwamba JWTZ ni Jeshi la 6 Dunia ??. Hahahahahahahhah.


Mnabahati Kagame mnamshinda Kwa Manpower Ilo tu.
 
Kuna wanajeshi fulani huwa wanavunja tofali kwa mikono
Na kubeba magogo sasa hiyo teknik sijui ikitokea vita wana I apply

Ova
Kwani ukichukua tifali ukapiga bomu si linahama uelekeo
 
Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi letu, JWTZ inashika namba 6 kati ya majeshi bora duniani.

Swali langu, ikitokea tumerushiwamakombora angani tunao mfumo wa kuyazuia na kuyaharibu?

Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.

Je sisi ni zaidi yao?
Labda tuko namba 6 kwa uchawi na roho mbaya
 
Back
Top Bottom