mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo haifanyi kazi kwenye uwanja wa vita.Kuna wanajeshi fulani huwa wanavunja tofali kwa mikono
Na kubeba magogo sasa hiyo teknik sijui ikitokea vita wana I apply
Ova
MasiharaKwa mujibu wa msemaji wa jeshi letu, JWTZ inashika namba 6 kati ya majeshi bora duniani.
Swali langu, ikitokea tumerushiwamakombora angani tunao mfumo wa kuyazuia na kuyaharibu?
Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.
Je sisi ni zaidi yao?
Kwa nini turushiwe makombora .?Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi letu, JWTZ inashika namba 6 kati ya majeshi bora duniani.
Swali langu, ikitokea tumerushiwamakombora angani tunao mfumo wa kuyazuia na kuyaharibu?
Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.
Je sisi ni zaidi yao?
Tz huwez kuelewa tofauti ya skauti na mwanajeshiUwezo tunao ukibisha una yako🤣View attachment 3113177
Battle ground inawezekana tukawashinda.ikifika kwenye anga na makombora mtapoteana,utakuta mabaka chamazi wenginne chanika,ununio na boko basihayaKwa mujibu wa msemaji wa jeshi letu, JWTZ inashika namba 6 kati ya majeshi bora duniani.
Swali langu, ikitokea tumerushiwamakombora angani tunao mfumo wa kuyazuia na kuyaharibu?
Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.
Je sisi ni zaidi yao?
Ndio tunayoKwa mujibu wa msemaji wa jeshi letu, JWTZ inashika namba 6 kati ya majeshi bora duniani.
Swali langu, ikitokea tumerushiwamakombora angani tunao mfumo wa kuyazuia na kuyaharibu?
Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.
Je sisi ni zaidi yao?
Kwa mlio pita jeshi hata kama ni mgambo tu hii ina maana gani kwenye uwanja wa vita?Uwezo tunao ukibisha una yako🤣View attachment 3113177
ninavyojua kunaYani hao iyo 6 ukiatoa USA, Russia, China,uingereza,na ujeruman ndo anafata jw ama?🤔🤔

Nimeshasema jeshi letu limeshageuka kuwa jeshi la siasa ndo kama hivyo. viogozi wa juu jeshini karibia wote wana vitambiKwa mujibu wa msemaji, tunamzidi.
Na wewe ukamwamini??Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi letu, JWTZ inashika namba 6 kati ya majeshi bora duniani.
Swali langu, ikitokea tumerushiwamakombora angani tunao mfumo wa kuyazuia na kuyaharibu?
Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.
Je sisi ni zaidi yao?
Unahishiwaje wakati wenyewe ndio wanatengeneza!Interception ya makombora kwa sasa haipo kwenye vigezo vya majeshi bora duniani. Kwanza kwa huu mfumo wa Israel, umeanza kutumika majuzi tu hapa na ulitengenezwa kwa pamoja kati ya US na Israel. Na kwa upande mwingine, mfumo wenyewe sio sustainable kwa sababu, kwa mujibu wa gazeti la Guardian UK, ambao walimnukuu Afisa wa IDF, wanadai wakati Iran gharama ya kutengeneza makombora yao ni Pound 80K kwa Kombola, gharama ya Kombora la kutungua hilo kombora moja ni Pound 800K! Yaani Mara 10. Halafu kuna aina nyingine ya interceptor wanayoitumia, yenyewe ni ya muda mrefu kidogo! Hiyo gharama yake ndo balaa manake inagharimu Pound 3.5M ku-intercept kombora la Pound 80K! Baada ya kusoma hii habari ndo nikajua kwanini US always atam-support Israel kwa misaada ya kijeshi kwa sababu unatengeneza single interceptor kwa gharama kubwa hivyo, lazima uwe na practical use ya kuthibitisha ubora wake ili uweze kushawishi majeshi mengine duniani kulipa pesa nyingi yote hiyo! Ujinga ni kwamba, ukikutana na jeshi lenye missiles nyingi, kwa hiyo gharama lazima utaishiwa pumzi tu kwa sababu ni very costful kuwa kiasi kikubwa cha hizo interceptors.