Hayatengenezwi at Zero Cost but at a very higher cost na kwahiyo always zitakuwa kwenye limited supply hata kama bajeti yao ya kijeshi yote watahamishia huko!Unahishiwaje wakati wenyewe ndio wanatengeneza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayatengenezwi at Zero Cost but at a very higher cost na kwahiyo always zitakuwa kwenye limited supply hata kama bajeti yao ya kijeshi yote watahamishia huko!Unahishiwaje wakati wenyewe ndio wanatengeneza!
Labda jeshi la kirohoKwa mujibu wa msemaji wa jeshi letu, JWTZ inashika namba 6 kati ya majeshi bora duniani.
Swali langu, ikitokea tumerushiwamakombora angani tunao mfumo wa kuyazuia na kuyaharibu?
Nimeuliza hivi baada ya kuona jeshi la Israel ambalo ni namba 17 kwa ubora duniani linajitahidi sana kwenye upande huo.
Je sisi ni zaidi yao?