Tatizo nyie mlio pro kagame kosa mnalo fanya ni kumpa sifa nyingi kagame zio sio mstahiri over rating kageme ni propaganda nyingine inao fanywa na vipenyo vya watusi walio sabaa mpaka Tanzania.
Domestic politics kagema amefail hamna stability ndani ya Rwanda zaidi ya kuua au kufunga wapinzani wake, la pili hao watusi unao sema hawana umoja kama unavo sema na hawaminiani kabisa.
Kagema alicho nacho kuliko viongozi wengine ni kwamba anaweza akauua bila huruma ana roho ya kunchwa damu ya watu wake na majirani homicidal dictator ni mtu anae anzisha vita bila kuhesabu madhara yake, kwa mfano hi vita ya Congo ina mcost sanaa mpaka vikosi visio vya watusi vimeingilia kati kusaidia.
Suala la Burundi kutawaliwa na mtusi ni gumu hiyo vita haiwezi kuisha leo na warundi ni wapiganaji wazuri hata kuliko hao watsi wa Rwanda mpaka leo mpaka wa Rwanda na Burudi ulishwa fungwa na kagame ameshindwa kulitataua hilo.
Hakina hija ya msingi kwa Tanzania ķuingilia kati kwenye vita hi isio tuhusu, nikjmpa kagame fursa ya kupenyeza watu wake ndani ya nchi, na kumpa umuhimi usio hitajika hao tilisha wazea mwishowe watakuja Arusha kutatuliwa tatizo lao through dialogue