imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sasa wewe una Data weka sources tuone mimi nimesema sijui.Hahahah, unalooo, hutaki tu ukweli..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe una Data weka sources tuone mimi nimesema sijui.Hahahah, unalooo, hutaki tu ukweli..
Kizimkazi ataamua.Tz atakua upande gani sasa
Hata Rwanda ni hivyo.Burundi nafikiri ni serikali ya wahutu, wameingia kikabila hakuna sababu nyingine, sio security yao au wanawapenda Wacongo ni ukabila tuu
Tulia huko kwenye flag ya Burundi ndiko mission ya wanaume ya SADC inatekelezwa under false flag.Tutarajie Burundi kuwezeshwa na kuwa na uwezo mkubwa wa kijeshi.
Rwanda hapigani vita Congo, M23 ni congoleseHata Rwanda ni hivyo.
Warundi washaingia, wanyarwanda washaingia., waganda wapo mipakani na DRC.Wa mbali hawana sababu ya kuingia direct......hapo zitapigwa proxy tu.....na akiingia burundi direct basi atafanya Rwanda na Uganda nao kuingia direct ndo maana jamaa wamesem kama wanataka vita ije tu.........kila upande wameshajipanga ila upepo upo kwa M23 zaidi
M23 ni wanyarwanda.Rwanda hapigani vita Congo, M23 ni congolese
Wanajua Kagame akimalizana na Wacongo watafuata wao, heli wapambane mapema kwenye aridhi ya Congo, kabla hawajafuatwa wao.Warundi nao Bwana,chuki yao kwa Watutsi ndo maana wamekuwa Pro Congo.
On your mindM23 ni wanyarwanda.
Tshisekedi ndio amekumbuka kuandika Vijana wake kuwa Askari wakati ametumia mabilioni ya Dolar kuleta "Wagner" kumbe ni Waromani 😆Warundi nao Bwana,chuki yao kwa Watutsi ndo maana wamekuwa Pro Congo.
Ndio hivyo hata Jumuia zote za kimataifa zinajua M23 ni wanyarwanda.On your mind
Kama hutaki kuelewa hutaelewa, good lucky boyNdio hivyo hata Jumuia zote za kimataifa zinajua M23 ni wanyarwanda.
SureeeeeeBurundi ni katoto kasikivu ka Tz hivyo kama kameenda front ujue kanajiamini kana back up ya baba lao bingwa wa mabingwa.
Kua nchi moja 🤔hujui unachokitafutaCongo na Tanzania zinapaswa kua Nchi moja
SADC wametoa azimio gani?Hawezi kukimbia, kwa Sababu Burundi imeingia basi naamini Tanzania itaingia kupeleka wajenda, hata Zimbabwe itaingia.
Wamelaani wavamizi.SADC wametoa azimio gani?