Jeshi la Congo na Burundi yaanzisha mashumbulizi jijini Goma dhidi ya M23.

Jeshi la Congo na Burundi yaanzisha mashumbulizi jijini Goma dhidi ya M23.

Wa mbali hawana sababu ya kuingia direct......hapo zitapigwa proxy tu.....na akiingia burundi direct basi atafanya Rwanda na Uganda nao kuingia direct ndo maana jamaa wamesem kama wanataka vita ije tu.........kila upande wameshajipanga ila upepo upo kwa M23 zaidi
Warundi washaingia, wanyarwanda washaingia., waganda wapo mipakani na DRC.
 
unavyoenda kuwasaidia wakongo lazima uwe na historia zuri ya wacheza rumba ...achimenengule

Kuna umuhimu wa kutafuta maandiko ya che quvala
 
Sisi ngozi nyeusi ni matope. Raia Wazungu wanalaumu na kulaani viongozi waliosababisha vita ulaya (Ukraine-Russia war). Sisi humu tunashabikia weusi wenzetu wanavyotoana roho
 
Back
Top Bottom