Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Kuna kitu very fundamental ambacho wengi humu wanashindwa kuelewa, wakielewa M23 sio Rwandese na ni wacongo halisi wanaopigania haki zao solution itapatikana kirahisi sana, na vita vitaishi na clip moja Nyerere ameeleza vizuri sana, mwenye nayo aiweke