Ila wabongo mna matatizo ya akili unnandika jibu alafu unauliza swali?Je Burundi wanatafuta nini Congo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wabongo mna matatizo ya akili unnandika jibu alafu unauliza swali?Je Burundi wanatafuta nini Congo?
Dogo tutolee hapa hizi stori za kwenye gahawa na tangawizi.Njoo na facts acha mbwembwe.Hamna kazi hapo.
Hakuna nchi yeyote ukanda huu anaeweza kukabilisna na Rwanda. Kwa SADC angalau Angola peke ake ndie mwenye afadhali kupiga beto na mnyarwanda. Nje ya SADc ni Ethiopia tu mwenye uwezo huo. Hao wengine ni kelele tu na mbwembwe na tambo za kitoto.
Burundi tayari yuko DRC kitambo kumsaidia Tshesekedi lakini wameishia kukamatwa mateka na m23.
Tatizo jingine ni kuwa 35% ya askari wa kirundi ni watusi ambao Wana mapenzi ya moyoni kwa watusi wenzao wa Rwanda. Kumbuka mgogoro huu kiini chake ni ukabira hivyo ni vigumu kwa watusi wa pande mbili kuuana.
toa ujinga wako hapa hao WAHUTU walio Congo walikuwa wakimbizi wa ile genocide anaowasaka ni akina nani???hakandamizi kabila lingine. hamjui mnayosema, pk ni kichaa hana cha kabila lake yeye ukizingua anakuua tu
RWANDA ni mlowezi hapo CONGO mashariki.Rwanda hapigani vita Congo, M23 ni congolese
kwa akili ndogo na za hovyo zilizojaa ukabila kama wewe na Congolese, I hope M23 washinde vitaRWANDA ni mlowezi hapo CONGO mashariki.
RWANDA ANAENDA KUPOTEZA,SOMA ALAMA ZA NYAKATI NA MABEBERU WAMESHAMCHOKA HUYO KIBARAKA DIKITETA.kwa akili ndogo na za hovyo zilizojaa ukabila kama wewe na Congolese, I hope M23 washinde vita
AiseeAisee, nimecheka sana, halafu ni kweli, usukumani sungusungu ni kama JWTZ wanaogopeka sana, ukiwa sungusungu ni title hata vimanzi unapata..., Mwenyekiti wa kijiji anaogopeka utasema mkuu wa mkoa...
Keep hoping,,,,,,kwa akili ndogo na za hovyo zilizojaa ukabila kama wewe na Congolese, I hope M23 washinde vita
Sisi kama wazee wao hatutakiwi kukaa kimya mtoto miyeyusho lazima akandweHuko pamoto sana..mimi naona kinachoendelea ni vita ya wahutu na watusu nothing more tuwe makini sana tusije kuunga upande wowote ule acheni wamalizane wenyewe huko..
NA AKANDWEEEEE,MKAIDI AKANDWE TU HAKUNA NAMNA.THIS IS NOT MIDDLE EAST!!!Sisi kama wazee wao hatutakiwi kukaa kimya mtoto miyeyusho lazima akandwe
KiendeleeWarundi washaingia, wanyarwanda washaingia., waganda wapo mipakani na DRC.
DRC, Tanzania na Burundi hazipo EAC? We unavyoina hawa watakuwa upande wa Rwanda?Nchi za EAC haziwezi kukaa na kuangalia member wao mmoja anavamiwa na SADC.
Unapoambiwa Jeshi la Wananchi wa Tz, na mimi ni mwananchi wa Tz pia.., umeelewa logic hapo?Kumbe unaongea na huna jeshi nilijua unajeshi kumbe hamna kitu 🤣🤣🤣🤣
Haya , 99% kwenye jeshi la Rwanda ni WaMatusi..Sasa wewe una Data weka sources tuone mimi nimesema sijui.
Rwanda izuiwe kuanzisha vita vya kikanda.Source : DW Swahili leo mchana.
Vikosi Vingi na vifaa vya kijeshi vimeonekana kuvuka mipaka ya Burundi na kuingia Congo kuungana vikosi vingine kuinyakua Goma.
Tayari hayo yakijiri, jeshi lingine la Burundi nchini Congo linapambana na waasi wa M23 wakishirikiana vikosi maalumu vya Congo.
Maelfu ya watu wanaripotiwa kuukimbia mji huo.
Je Burundi wanatafuta nini Congo?
Tanzania mbona kimya?
😆😆Dogo tutolee hapa hizi stori za kwenye gahawa na tangawizi.Njoo na facts acha mbwembwe.
Kua suluhu inafanyiwa kazi, ikiwa tayari wote mtashangaaRwanda izuiwe kuanzisha vita vya kikanda.
Tuache unafiki, Mmatusi hachangamaniki na binadamu mwingine yeyote hapa duniani.., they are too full of themselves, wabaki Rwanda kwa amani. Wasivamie nchi zingine.., kipindi kile waliitwa coakroaches, and rightly so, ona wanavyomiminika kwa ukorofi kwenye nchi ya watu, kama mende toka chooni, warudi chooni kwao!kwa akili ndogo na za hovyo zilizojaa ukabila kama wewe na Congolese, I hope M23 washinde vita
Ngoja na Burundi zianze ethnic wars kwasababu Burundi ni Bomu linaloenda kupasuka Burundi pia kuna mgogoro uliopoa wa Hutu na Tutsi itakayoathirika ni Tanzania kwa sababu ya Maelfu ya Wakimbizi watavuka mpaka.DRC, Tanzania na Burundi hazipo EAC? We unavyoina hawa watakuwa upande wa Rwanda?