Jeshi la Congo na Burundi yaanzisha mashumbulizi jijini Goma dhidi ya M23.

Jeshi la Congo na Burundi yaanzisha mashumbulizi jijini Goma dhidi ya M23.

Mtutsi huyo na anafahamika humu ila anajificha kwa vazi la uraia wa Tanzania.
Kweni Utanzania umeanzishwa lini?! Mimi ni Mtanganyika "Tanzania" imeanzishwa baada watumwa kumuondoa Sultani wa Kiarabu na kuja Tanganyika kuomba waungane.

Tanzania saa yoyote inaweza kufa na tukabaki na Tanganyika territory.
 
kumbe basi nisijisumbue kumuelimisha
Huyo usijisumbue!

Kwa namna yoyote yupo pamoja na PK na Tutsi.

Maswali ambayo yatakayomkaba atajifanya hayajui ili akupotezee muda huku aking'ata na kupuliza.
 
Tusipoteze muda wewe si mtanzania.
Wewe Myemen unauhalali gani wa kuhoji uraia wangu mimi Mwafrika ndani ya Bara langu la Afrika?!🤔

Ningekuwa niko Yemen ungenihoji sio huku kusini mwa jangwa la Sahara mimi ndio natakiwa nikuhoji.
 
Wewe unauhalali gani wa kuhoji uraia wangu mimi Mwafrika ndani ya Bara langu la Afrika?!🤔

Ningekuwa niko Yemen ungenihoji sio huku kusini mwa jangwa la Sahara mimi ndio natakiwa nikuhoji.
Baina yangu na wewe ni nani anayeonyesha anayeipigania Tz?

Kama tukiwekwq kwenye vipimo vya mhaini ni nani kati ya mimi na wewe atakayehukumiwa kama mhaini?

Hata siku moja likija suala la Rwanda na Tanzania sijawahi kukuona ukilipigania hili Taifa la Tanzania.

Wewe ni Rwanda tu! Mara zote Rwanda tu!

Na Salam zimfikie huyo aliyekupa like, Bw. Richard

Kama naye anakuunga mkono naye ni mhaini tu kama wewe!
 
Baina yangu na wewe ni nani anayeonyesha anayeipigania Tz?

Kama tukiwekwq kwenye vipimo vya mhaini ni nani kati ya mimi na wewe atakayehukumiwa kama mhaini?

Hata siku moja likija suala la Rwanda na Tanzania sijawahi kukuona ukilipigania hili Taifa la Tanzania.

Na Salam zimfikie huyo aliyekupa like, Bw. Richard

Kama naye anakuunga mkono naye ni mhaini tu kama wewe!
Mkuu, nimeunga mkono hoja yake maana kuanza kuhoji uraia wa mtu ni jambo zito.

Jenerali Nkunda ameishasema juu la hili la raia haramu ambao tunao humuhumu Tanzania.

Ila kwa ujinga wa watanganyika wamefunika kikombe ili mwanaharamu apite.
 
Hata siku moja likija suala la Rwanda na Tanzania sijawahi kukuona ukilipigania hili Taifa la Tanzania.
Utanzania hauna maana ya kufuatana kama Kondoo sisi CHADEMA kama walivyo wenzetu EFF tuna mawazo tofauti.
 
Mkuu, nimeunga mkono hoja yake maana kuanza kuhoji uraia wa mtu ni jambo zito.

Jenerali Nkunda ameishasema juu la hili la raia haramu ambao tunao humuhumu Tanzania.

Ila kwa ujinga wa watanganyika wamefunika kikombe ili mwanaharamu apite.
Mtu kama wewe, kama wewe! Nilitaraji ungelikuwa mstari wa mbele kuunga mkono watu ambao wanaowaambia ukweli jamii ya watutsi jinsi walivyo na mienendo mibaya dhidi ya jamii nyenginezo na hapa Tz imedhihirika hilo!

Watutsi ambao tuliwachukulia kama jamii yetu na tukawapa uraia kama watanzania.

Ila wengi wao angalia malipo wanayotupatia: Wapo watiifu sana kwa Rwanda kuliko Tanzania. Lolote litakalozuka baina ya Rwanda na Tanzania mara zote wapo upande wa Rwanda.

Na mfano ni huyo Bw. imhotep
Sijaanza kumfuatilia leo wala jana! Bali miaka.

Na mara ra zote msimamo wake upo upande wa Rwanda popote patakapokuwa na msuguano na Tanzania. Na mara zote hajifichi kumsifu PK.

Halafu unanihoji mimi kuutilia mashaka uraia wake?

Tunaweza tukatofautiana kwenye misimamo kwenye siasa za ndani ya nchi lakini linapofika suala la vitisho vya nje kwa taifa raia halisi atapambania taifa lake na si vinginevyo!

Huyo si mtanzania. Ikiwa kama wewe unakubaliana na misimamo yake basi na wewe ni miongoni mwao! Wewe pia si mtanzania.
 
Mtu kama wewe, kama wewe! Nilitaraji ungelikuwa mstari wa mbele kuunga mkono watu ambao wanaowaambia ukweli jamii ya watutsi jinsi walivyo na mienendo mibaya dhidi ya jamii nyenginezo na hapa Tz imedhihirika hilo!

Watutsi ambao tuliwachukulia kama jamii yetu na tukawapa uraia kama watanzania.

Ila wengi wao angalia malipo wanayotupatia: Wapo watiifu sana kwa Rwanda kuliko Tanzania. Lolote litakalozuka baina ya Rwanda na Tanzania mara zote wapo upande wa Rwanda.

Na mfano ni huyo Bw. imhotep
Sijaanza kumfuatilia leo wala jana! Bali miaka.

Na mara ra zote msimamo wake upo upande wa Rwanda popote patakapokuwa na msuguano na Tanzania. Na mara zote hajifichi kumsifu PK.

Halafu unanihoji mimi kuutilia mashaka uraia wake?

Tunaweza tukatofautiana kwenye misimamo kwenye siasa za ndani ya nchi lakini linapofika suala la vitisho vya nje kwa taifa raia halisi atapambania taifa lake na si vinginevyo!

Huyo si mtanzania. Ikiwa kama wewe unakubaliana na misimamo yake basi na wewe ni miongoni mwao! Wewe pia si mtanzania.
Mimi binafsi siungi mkono kwa wanokifanya Rwanda kutumia military superiority kuchukua maeneo kinguvu na ndo maana tangia mwanzo nilileta uchambuzi wangu juu ya matatizo ya msingi na nini kifanyike.

Kinopaswa kufanyika kwa sasa ni pande zote kuketi kufanya mazungumzo (jambo ambalo Tshisekedi amekataa) na kuweka framework juu ya kushirikiana katika matumizi ya rasilimali zinogombewa.
 
Na mfano ni huyo Bw. @imhotep
Sijaanza kumfuatilia leo wala jana! Bali miaka.
Kila mtu ashinde mechi zake mbona wewe unawasifia Alshababu na Hamas na magaidi wengine ambao wanasambaza Idiolojia za Waarabu lakini unashutumu yeyote ayayetaka Watutsi wa Kongo wapewe haki zao kitu ambacho hata Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere alikiweka WAZI.

Je nimfuate Samia au Baba wa Taifa mimi namfuata Baba wa Taifa.
 
Back
Top Bottom