Jeshi la Ethiopia laingia Kenya na kuua wakenya

Jeshi la Ethiopia laingia Kenya na kuua wakenya

Kwani Somalia hatukuenda mission ya kudegrade capability ya Alshabab? Tulifanikiwa kwenye hio mission na sasa Shabab haina nguvu kama ilivyokuwa nayo hapo mbeleni. Wewe hujui maana ya mission. Wewe pengine unadhani tulienda Somalia kusalimia watu na kuwajulia hali.
Mbeleni?? Una andika nini... Hujui kiswahili basi tumia kijaluo....
 
Ninyi mlichofanya cha maana ni kuwapa hao rebels wa Mozambique makao ila hamkutuma jeshi lenu kupigana na Wareno. Mliwachia Frelimo hio kazi ya kupigana na Wareno.
Nchi ya ukombozi kusini mwa jangwa la sahara... Utaletewa historia hapa kurasa zisizo na mwisho... Bahati mbaya kiswahili hujui...
 
Hapo tunakubaliana kidogo. Hata mimi nataka jeshi lirudi liwekwe kwenye mipaka kwani kumaliza ugaidi kabisa halijawahi kutokea mahali popote. Tukubali tu kuwa Shabab ni dhaifu na turudi nyumbani kulinda mipaka. Lakini tatizo moja la kurudi nyumbani ni kuwa Shabab watapata mwanya wa kuimarisha nguvu yao tena halafu wakamate Kismayu kisha wakamate Mogadishu na miji midogo kama Ras Kamboni na Afmadow halafu warudi kutawala Somalia nzima kama zamani.
Somali ni nchi yako? Una taka kuitawala kimabavu somalia? Waachwe wenyewe wapambane na nchi yao na wewe Linda nchi yako... Sisi tuna imarisha mpaka wa msumbiji lakini hatuingii msumbiji na kwenda kusaka waalifu kiholela... Ile nchi yenye mamlaka yake lazima tuheshimu....
 
Kwa hivyo jeshi la Kenya halijapata mafanikio yoyote Somalia. Hii ni kwa mujibu wa profesa mmoja JF.
Profesa ni nini? Ndio hawa wakina profesa Lumumba? Hawa maprofesa watendelea kuwa watu masikini zaidi duniani... Masikini wa akili masikini wa kipato masikini haswa... Wanazani elimu ndio basic needs...
 
Nimeshawahi kuenda Ethiopia mwaka wa 2017. Ulinzi uliopo ndani ya nchi hio ni ya maajabu. Nilitumia basi kusafiri kutoka Moyale hadi Addis kwa siku mbili. Tulisimamishwa na polisi kila baada ya kilomita kama thelathini na kuagizwa kushuka ili bag zetu zifanywe search. Hamna Alshabab anayeweza kubeba bomb au bunduki kupitia basi au hata gari huko. Kenya na Tanzania sote tufuate mkondo huo. Pia wana nyumba kumi. Security yao iko sawa. Natumai umepata jibu.
Kuenda ndio nini mzee...? Miaka yote ya uzee bado kiswahili shida? Alafu mnadai kiswahili kimelala Kenya...
 
Vita ni nguvu na nguvu lazima uwe unapata chakula, Kenya ni njaa kila kona watapata wapi nguvu za kupigana?, kumbuka hakuna komandoo wa njaa, " Adui muombee njaa, atakua mnyonge ata awe shujaa".

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo sisi hatupandi mahindi. Wewe unawaza kama mtoto mdogo. Sisi tunapanda mahindi gunia zaidi ya milioni kumi kila mwaka. Uwezo wako wa kufikiria uko chini sana.
 
Russia ya sasa japo ni hatari na moto wa kuotea mbali lakini pia wanaeza chezea kichapo wakija na kifua. Gaidi hapendi watu wa vifua. Gaidi unamshinda tu kwa kutumia inteligensia sio silaha pekee. Ndiposa marekani wameanza kutumia inteligensia kuua Al Baghdadi na gaidi wengine wakuu. Huu mchezo hautaki kukingiana kifua inataka careful planning and execution.
Oya una tuharibia kiswahili jamaa...
 
Urusi na China ni among top three of the most powerful countries in the World, huyo hajitambui. Tanzania tukipigana na Kenya, tutakalofanya ni kuhakikisha hakuna meli zinatoingia bandari ya Mombasa, na Uganda haingizi chakula Kenya, ndani ya kipindi cha mwezi mmoja lazima Kenya ita- surrender tu kwa sababu ya njaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kumbe huna akili. Nilikuwa nimekupa heshima kumbe nilikosea mahali. Kwa hivyo unadhani sisi bila kuimport chakula tutakufa njaa? Sisi tunapanda mahindi mengi kushinda Uganda. Sisi tunapanda mahindi mengi sana. Jambo linalofanya saa zingine mahindi yaagizwe kutoka nje ni kwa sababu Wakenya wamekwama kwenye mahindi. Serikali ya Kenya imejaribu kuhamasisha watu wale wali au hata viazi vitamu lakini Wakenya na ugali ni chanda na pete. Nyie mnakula chakula tofauti tofauti sisi ni ugali kila siku. Fungeni tu port. Tutakula ugali yetu na ikiisha pia tunapanda mchele kwa wingi huko Mwea irrigation scheme na huko Nyanza. Ndizi za kupikwa pia zipo Kisii na Meru. Ngano inapandwa Nakuru na Narok. Wakenya ambao wanakwama kwenye ugali ndio itabidi wabadilishe mlo. Ila kwa akili yako hiyo finyu unasahau kuwa Agricultural sector ni 30 percent of Kenya's Gdp.Yaani hiyo ni sector worth around 30 billion dollars. Halafu kwenye hii sector maua na chai ni chini ya 30 percent ya hii sector. Zaidi ya 70 percent ni upandaji wa vyakula ikiongozwa na upandaji wa mahindi huko Rift-valley na Western province. Unadhani msaada wa dollar milioni tatu kutoka America au dola milioni moja kutoka Russia inaweza lisha Wakenya hata kwa siku moja? Wacha mchezo. Sisi tunakula mahindi kila siku zaidi ya hiyo wanayotoa. Hiyo msaada wanayotupa hata tukinunua mahindi nayo haiwezi lisha Wakenya hata kwa siku moja. Sisi tunaangusha ugali sana hata kuwashinda. Hayo magunia mia moja wanayotoa ni ya kulisha county au district moja hapa Kenya. Tuna wakulima hodari hata sisi, msije mkajipiga kifua sana.
 

Tony254 babayao255 Rich Ze Best Kosugi joto la jiwe


Msumbiji
Vita isiyojulikana sana wakati wake ilikuwa kuingilia kwa JWTZ katika nchi jirani ya Msumbiji kwa shabaha ya kusaidia serikali ya chama cha Frelimo. Kulikuwa na vipindi viwili vya usaidizi huu.

Kipindi cha kwanza kilikuwa 1977-78 wakati jeshi la Rhodesia iliingia ndani ya Msumbiji. Rhodesia (leo:Zimbabwe) ilitawaliwa wakati ule na serikali ya walowezi Wazungu chini ya Ian Smith. Warhodesia walijaribu kuangamiza vikundi vya wapinzani kutoka kwao waliotafuta kupindua serikali ya walowezi wakijificha katika Msumbiji na kushambulia kutoka huku. Hapo vikosi vya Rhodesia viliingia mara kadhaa ndani ya Msumbiji halafu Rhodesia ilianzisha harakati ya Renamo kwa kukusanya wapinzani dhidi ya Frelimo na kuwapa silaha. Baada ya kuenea kwa vita ndani ya Rhodesia jeshi lake lilishambulia kambi kubwa ya wapinzani chini ya Robert Mugabe katika Mkoa wa Manica wa Msumbiji. Hapo Tanzania ilituma wanajeshi wake kwa shabaha ya kuimarisha utawala wa Frelimo wakarudi kwao mwaka ufuatao 1978.[10]

Baada ya Mapatano ya Lancaster House ya mwaka 1979 vita ya Rhodesia - Zimbabwe ilikwisha. Sasa ilikuwa serikali ya apartheid ya Afrika Kusini iliyochukua nafasi ya mdhamini wa Renamo. Miaka iliyofuata iliona vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Msumbiji kati ya Frelimo iliyosaidiwa na Urusi ikifaulu kutetea miji na Renamo iliyosaidiwa na Afrika Kusini ikifaulu kutawala sehemu kubwa ya mashambani na vijiji vingi. Mwaka 1982 maraisi Machel wa Msumbiji na Nyerere walipatana kutumwa kwa kikosi kidogo cha askari 200 wa JWTZ kwa kazi ya washauri kwenda Msumbiji.[11] Mwaka 1987 Tanzania iliamua tena kutuma askari wengi wa JWTZ hasa kwa kusudi la kutetea Mkoa wa Zambezia dhidi ya Renamo. Waliondoka tena mwaka 1988.[12]
 
Kuenda ndio nini mzee...? Miaka yote ya uzee bado kiswahili shida? Alafu mnadai kiswahili kimelala Kenya...
Sina haja ya kuzungumza kiswahili duni na hafifu cha Tanzania. Niwache na kiswahili changu cha Kenya.
 

Tony254 babayao255 Rich Ze Best Kosugi joto la jiwe


Msumbiji
Vita isiyojulikana sana wakati wake ilikuwa kuingilia kwa JWTZ katika nchi jirani ya Msumbiji kwa shabaha ya kusaidia serikali ya chama cha Frelimo. Kulikuwa na vipindi viwili vya usaidizi huu.

Kipindi cha kwanza kilikuwa 1977-78 wakati jeshi la Rhodesia iliingia ndani ya Msumbiji. Rhodesia (leo:Zimbabwe) ilitawaliwa wakati ule na serikali ya walowezi Wazungu chini ya Ian Smith. Warhodesia walijaribu kuangamiza vikundi vya wapinzani kutoka kwao waliotafuta kupindua serikali ya walowezi wakijificha katika Msumbiji na kushambulia kutoka huku. Hapo vikosi vya Rhodesia viliingia mara kadhaa ndani ya Msumbiji halafu Rhodesia ilianzisha harakati ya Renamo kwa kukusanya wapinzani dhidi ya Frelimo na kuwapa silaha. Baada ya kuenea kwa vita ndani ya Rhodesia jeshi lake lilishambulia kambi kubwa ya wapinzani chini ya Robert Mugabe katika Mkoa wa Manica wa Msumbiji. Hapo Tanzania ilituma wanajeshi wake kwa shabaha ya kuimarisha utawala wa Frelimo wakarudi kwao mwaka ufuatao 1978.[10]

Baada ya Mapatano ya Lancaster House ya mwaka 1979 vita ya Rhodesia - Zimbabwe ilikwisha. Sasa ilikuwa serikali ya apartheid ya Afrika Kusini iliyochukua nafasi ya mdhamini wa Renamo. Miaka iliyofuata iliona vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Msumbiji kati ya Frelimo iliyosaidiwa na Urusi ikifaulu kutetea miji na Renamo iliyosaidiwa na Afrika Kusini ikifaulu kutawala sehemu kubwa ya mashambani na vijiji vingi. Mwaka 1982 maraisi Machel wa Msumbiji na Nyerere walipatana kutumwa kwa kikosi kidogo cha askari 200 wa JWTZ kwa kazi ya washauri kwenda Msumbiji.[11] Mwaka 1987 Tanzania iliamua tena kutuma askari wengi wa JWTZ hasa kwa kusudi la kutetea Mkoa wa Zambezia dhidi ya Renamo. Waliondoka tena mwaka 1988.[12]
Haya ni mapambano madogo sana. Eti vita ya mwaka mmoja kisha mnarudi nyumbani. KDF ipo Somalia kwa miaka tisa sasa na hatuna mpango wa kutoka. Nyie ni waoga sana.
 
Haya ni mapambano madogo sana. Eti vita ya mwaka mmoja kisha mnarudi nyumbani. KDF ipo Somalia kwa miaka tisa sasa na hatuna mpango wa kutoka. Nyie ni waoga sana.
Tz can't get to where the battle is fiercest kazi ya wanajeshi wao Ni kubangua Korosho na kuzuia wananchi wasibadilishe fedha kwenye duja za kubadilishia fedha na pia kunajisi wanawake kule Congo.
 
Wewe kumbe huna akili. Nilikuwa nimekupa heshima kumbe nilikosea mahali. Kwa hivyo unadhani sisi bila kuimport chakula tutakufa njaa? Sisi tunapanda mahindi mengi kushinda Uganda. Sisi tunapanda mahindi mengi sana. Jambo linalofanya saa zingine mahindi yaagizwe kutoka nje ni kwa sababu Wakenya wamekwama kwenye mahindi. Serikali ya Kenya imejaribu kuhamasisha watu wale wali au hata viazi vitamu lakini Wakenya na ugali ni chanda na pete. Nyie mnakula chakula tofauti tofauti sisi ni ugali kila siku. Fungeni tu port. Tutakula ugali yetu na ikiisha pia tunapanda mchele kwa wingi huko Mwea irrigation scheme na huko Nyanza. Ndizi za kupikwa pia zipo Kisii na Meru. Ngano inapandwa Nakuru na Narok. Wakenya ambao wanakwama kwenye ugali ndio itabidi wabadilishe mlo. Ila kwa akili yako hiyo finyu unasahau kuwa Agricultural sector ni 30 percent of Kenya's Gdp.Yaani hiyo ni sector worth around 30 billion dollars. Halafu kwenye hii sector maua na chai ni chini ya 30 percent ya hii sector. Zaidi ya 70 percent ni upandaji wa vyakula ikiongozwa na upandaji wa mahindi huko Rift-valley na Western province. Unadhani msaada wa dollar milioni tatu kutoka America au dola milioni moja kutoka Russia inaweza lisha Wakenya hata kwa siku moja? Wacha mchezo. Sisi tunakula mahindi kila siku zaidi ya hiyo wanayotoa. Hiyo msaada wanayotupa hata tukinunua mahindi nayo haiwezi lisha Wakenya hata kwa siku moja. Sisi tunaangusha ugali sana hata kuwashinda. Hayo magunia mia moja wanayotoa ni ya kulisha county au district moja hapa Kenya. Tuna wakulima hodari hata sisi, msije mkajipiga kifua sana.
Haaaaa, typical stupid Kunyaman. Tukisema uwezo wenu wa akili ni mdogo mnasema tunawadharau. Haiwezikani watu wanakufa kwa njaa kwa kukosa chakula, eti unasema wanachagua chakula. Kenya can't feed itself, you import your food year in year out, nearly you import all staple food from Tanzania and Uganda
1)Maize = Tanzania, Uganda, Mexico
2)Rice = Tanzania
3)Wheat = Tanzania
4)Fruits =Tanzania
5)Onions =Tanzania
What you produce in Kenya, is below 20% of your requirements


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom