Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

100 others

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
4,766
Reaction score
16,191
"Tunatangaza leo kwamba popote Wamarekani walipo, tuko karibu nao, na watahisi uwepo wetu hata zaidi katika siku za usoni" yalikuwa ni maneno ya mkuu wa walinzi wa maji wa Iran bw Alireza Tangsiri katika sherehe huko kusini mwa Iran.
Pia alieleza kwa msisitizo kuwa "Iran hatamwabudu adui yoyote"

"Kujipanua kiulinzi wakati unabaki kujitetea ni asili ya kazi yetu" alisema kamanda mkuu wa Meja Jenerali Hossein Salami

Kulingana na Salami, jeshi la Walinzi lilikuwa limeelekezwa kupanua nguvu ya majini ya Iran vya kutosha hivyo kuruhusu uhuru wa nchi na uadilifu, kulinda masilahi ya majini na hatimaye kumwangamiza adui(US).

Ikiwa ni Meli ya nne imeingia Iran kati ya 5, US amezionya nchi ambazo zitajihusisha na kutoa msaada ya juu usafirishaji huo wa mafuta toka Iran to Venezuela. Ikiwa US aliweka vikwazo juu ya Venezuela na Iran, lakini Irani na Venezuela wamesema hapana kwa Amerika kwa niaba ya ulimwengu wote kwa kupuuza vikwazo vya Amerika na hivyo kufanya biashara huru.

Iran inaongeza nguvu ya ulinzi wa majini, vumbi lita timka majini.

c528baf4ca5ffd69ef8598467d379032492031e7.webp


960x0.jpg


1079446558_0:49:1001:590_1000x541_80_0_0_494f6d6875c8d0ae4379357aab647adb.jpg
 
US wakisikia Neno IRAN wanatamani wajifiche sehemu[emoji4][emoji23][emoji3][emoji16][emoji2]

IRAN na VENEZUELA wameionesha DUNIA namna yakukabiliana nawaoneaji wanyonyaji mawaonevu wakimagharibi wakiongozwa nabwana wao US.....
 
Hata iraq walikuwa na hizo hizo kelele sasa hivi imekuwa kama Somalia tu
Endelea kujidanganya ... Hii sio dunia ya miaka ya kiza.. Nchi nyingi zime elimisha watu wao na zimesha develop kiuchumi ...so huyo USA akijichanganya tu atageuzwa mbuzi wa sikukuu

Wenzie wana mtega aingie kwenye 18 wampige mande

Halafu wewe haujiulizi baada ya kukumbwa na mafuriko ya covid 19 hawajapata hata suluhisho ghafla yameibuka maandamano so unadhani mambo yana tokea kwa bahati mbaya eeeh !!!?

Hujui kuwa uchumi wake una simama na maadui zake wana zidi kujiimarisha zaidi
 
US imeyumba kwa awamu hii ya Trump,Trump amekuwa kama chambo na hata kuingia madarakani aliwatumia hao hao kwahiyo wanaifahamu US nje ndani kwa kupitia Trump,subiri kipindi mwingine akiingia
Endelea kujidanganya ... Hii sio dunia ya miaka ya kiza.. Nchi nyingi zime elimisha watu wao na zimesha develop kiuchumi ...so huyo USA akijichanganya tu atageuzwa mbuzi wa sikukuu

Wenzie wana mtega aingie kwenye 18 wampige mande

Halafu wewe haujiulizi baada ya kukumbwa na mafuriko ya covid 19 hawajapata hata suluhisho ghafla yameibuka maandamano so unadhani mambo yana tokea kwa bahati mbaya eeeh !!!?

Hujui kuwa uchumi wake una simama na maadui zake wana zidi kujiimarisha zaidi
 
Hahaa kumbe unakubali kuwa wame yumba !? Sasa wajua ni gharama kiasi gani zitakazo kuja kuwa gharimu mpaka kuja kuufix huo mfumo

Then una uhakika upi kuwa raisi ajaye hatokuwa puppet

Hahah kama na waona vile Russia na China wanavyo gonga tano
 
US wakisikia Neno IRAN wanatamani wajifiche sehemu[emoji4][emoji23][emoji3][emoji16][emoji2]

IRAN na VENEZUELA wameionesha DUNIA namna yakukabiliana nawaoneaji wanyonyaji mawaonevu wakimagharibi wakiongozwa nabwana wao US.....
Iran na Venezuela wanaweza kukabiliana na USA? ahahahaha iko siku ataingia Rais wa action itakuwa ni balaa.
 
Trump Russia ilimsaidia kudukua matokeo ya uchaguzi,Trump hayupo pale kwa maslahi ya nchi kama kina Bush ma Obama walivyofanya,Trump yuko pale kwa ajili ya madaraka
Hahaa kumbe unakubali kuwa wame yumba !? Sasa wajua ni gharama kiasi gani zitakazo kuja kuwa gharimu mpaka kuja kuufix huo mfumo

Then una uhakika upi kuwa raisi ajaye hatokuwa puppet

Hahah kama na waona vile Russia na China wanavyo gonga tano
 
Hizo boat mimi ni mrefu kuzizidi ndizo mnasema wametoa onyo kwa Marekani. Hizo zina hata uwezo wa kutoka Mombasa hadi Unguja?
Hizo underwater vehicles US anazo miaka mingi. Russia ndo wanatisha na Poseidon zao.
Mtazame US hapa.
images%20-%202020-06-01T173759.126.jpg
 
Back
Top Bottom