Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Hizo boat mimi ni mrefu kuzizidi ndizo mnasema wametoa onyo kwa Marekani. Hizo zina hata uwezo wa kutoka Mombasa hadi Unguja?
Hizo underwater vehicles US anazo miaka mingi. Russia ndo wanatisha na Poseidon zao.
Mtazame US hapa. View attachment 1465792
Hayo yasikutishe MKUU ukubwa wabure tu huo
FB_IMG_15906099061471389.jpg
 
Hata huyu mpuuzi aliepo mlisema wa action ila kumbe niwa twita tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna sheria sasa hivi hakuna mmarekani anataka nchi yake iingie kwenye vita na taifa lolote.
.
Tatizo hamfatilii Marekani ilitaka kuingia vitani na Syria ikaendeshwa kampeni kubwa sana ya No war with Syria! Rais akiwa Obama Sasa hivi walitaka waichambange Iran ikaibuka tena campaign ya No war with Iran na bahati nzuri Rais aliitaka sana hii vita bad lucky kwake ni Congress ikamminya.

Siku America ikisimama ogopa sana hiyo siku Sir.
 
Kuna sheria sasa hivi hakuna mmarekani anataka nchi yake iingie kwenye vita na taifa lolote.
.
Tatizo hamfatilii Marekani ilitaka kuingia vitani na Syria ikaendeshwa kampeni kubwa sana ya No war with Syria! Rais akiwa Obama Sasa hivi walitaka waichambange Iran ikaibuka tena campaign ya No war with Iran na bahati nzuri Rais aliitaka sana hii vita bad lucky kwake ni Congress ikamminya.

Siku America ikisimama ogopa sana hiyo siku Sir.
Kwahio atakapoluja huyo mzee mnaemuita wavutendo hio sheria itakua haipo ama itakua ipo likizo ?!

Waliosimama kupinga vita ni RAIA kiasi kwamba hawana mamlaka yamwisho yakuamua kama taifa lao liende vitani ama laa

Washawaonea waliowaonea kama IRAN walimshindwa toka mwaka 1979 hawatakaa wamuweze 2020 hilo sahau....
 
Hizo boat mimi ni mrefu kuzizidi ndizo mnasema wametoa onyo kwa Marekani. Hizo zina hata uwezo wa kutoka Mombasa hadi Unguja?
Hizo underwater vehicles US anazo miaka mingi. Russia ndo wanatisha na Poseidon zao.
Mtazame US hapa. View attachment 1465792
Ambacho hujui ni kwamba aircraft carrier hazijatengenezwa kwa ajili ya ku launch ballistic missiles, hizo tunasema ni air base iliyoko majini, zimetengenezwa kwa lengo kuwa mahala popote duniani wakihitaji kufika hilo dude liki tulia, hio ni sawa na base ya ndege.
Mfano wakitaka kutumaliza Tanzania wanakuja nalo hadi bahari ya hindi, then ndege vita kama f22 zinakuwa zinakuja dar hapo mnanyewa moto halafu zinakwenda ku load mzigo na mafuta mpaka uombe msamaha.

Carrier zikiwa na missile au silaha za mashambulizi, haziwezi kuwa kama hizo warships, au usifikiri itaweza battle kwa muda mrefu.

Ndio maana hizi meli zinakuwa na escort ya warships, hizi warships ndio zinakabiliana na adui, hata carrier ikiwa na missiles za kujilinda lazima itabidi wabane space kwa ajili ya missiles, kumbuka missiles zinachukua space, ndege zinahitaji fuel na silaha.
Ndege hio ni kama tanker ya mafuta, airport, ghala la silaha na pia sehemu ya maintanace, sasa uongeze na kitengo cha mashambulizi? you cant be serious.

Ku launch missile ni process, ikitokea wakirusha missile toka kwenye carrier, basi ndege itabidi zisimame zisiruke, imagine hicho kipindi mna andaa missile then adui ana wakuta, mnakuwa mmekwisha.

Boat za Iran ni kwa ajili ya kuongeza eneo la ulinzi na roots fupi za kwenye maji kwa ajili ya ulinzi, ila endapo hio carrier ikiwa ni threat usifikiri itapambana na boats, itapambana na missile za kutosha kama zile zilizotua kule Iraq, pia hadi kutumia hilo dude USA atakuwa karibu na maji ya Iran, na Iran atakuwa nyumbani, hapo USA carrier itaangamizwa.

Kumbuka hilo li carrier ni base tu kama ile iliyopigwa kule Iraq ila katika ulinzi linategemea warships.
 
Endelea kujidanganya ... Hii sio dunia ya miaka ya kiza.. Nchi nyingi zime elimisha watu wao na zimesha develop kiuchumi ...so huyo USA akijichanganya tu atageuzwa mbuzi wa sikukuu

Wenzie wana mtega aingie kwenye 18 wampige mande

Halafu wewe haujiulizi baada ya kukumbwa na mafuriko ya covid 19 hawajapata hata suluhisho ghafla yameibuka maandamano so unadhani mambo yana tokea kwa bahati mbaya eeeh !!!?

Hujui kuwa uchumi wake una simama na maadui zake wana zidi kujiimarisha zaidi
Hakuna wa kumtisha USA 🇺🇸🇺🇸🇺🇸,hao wanaojiimarisha wanahitaji miaka zaidi ya 50 kumfikia Marekani.
 
Wakiona ile midude wanahisi ni kama ile ya mamovie, yaani inashambulia tu haishambuliwi [emoji23]
Ambacho hujui ni kwamba aircraft carrier hazijatengenezwa kwa ajili ya ku launch ballistic missiles, hizo tunasema ni air base iliyoko majini, zimetengenezwa kwa lengo kuwa mahala popote duniani wakihitaji kufika hilo dude liki tulia, hio ni sawa na base ya ndege.
Mfano wakitaka kutumaliza Tanzania wanakuja nalo hadi bahari ya hindi, then ndege vita kama f22 zinakuwa zinakuja dar hapo mnanyewa moto halafu zinakwenda ku load mzigo na mafuta mpaka uombe msamaha.

Carrier zikiwa na missile au silaha za mashambulizi, haziwezi kuwa kama hizo warships, au usifikiri itaweza battle kwa muda mrefu.

Ndio maana hizi meli zinakuwa na escort ya warships, hizi warships ndio zinakabiliana na adui, hata carrier ikiwa na missiles za kujilinda lazima itabidi wabane space kwa ajili ya missiles, kumbuka missiles zinachukua space, ndege zinahitaji fuel na silaha.
Ndege hio ni kama tanker ya mafuta, airport, ghala la silaha na pia sehemu ya maintanace, sasa uongeze na kitengo cha mashambulizi? you cant be serious.

Ku launch missile ni process, ikitokea wakirusha missile toka kwenye carrier, basi ndege itabidi zisimame zisiruke, imagine hicho kipindi mna andaa missile then adui ana wakuta, mnakuwa mmekwisha.

Boat za Iran ni kwa ajili ya kuongeza eneo la ulinzi na roots fupi za kwenye maji kwa ajili ya ulinzi, ila endapo hio carrier ikiwa ni threat usifikiri itapambana na boats, itapambana na missile za kutosha kama zile zilizotua kule Iraq, pia hadi kutumia hilo dude USA atakuwa karibu na maji ya Iran, na Iran atakuwa nyumbani, hapo USA carrier itaangamizwa.

Kumbuka hilo li carrier ni base tu kama ile iliyopigwa kule Iraq ila katika ulinzi linategemea warships.
 
Ambacho hujui ni kwamba aircraft carrier hazijatengenezwa kwa ajili ya ku launch ballistic missiles, hizo tunasema ni air base iliyoko majini, zimetengenezwa kwa lengo kuwa mahala popote duniani wakihitaji kufika hilo dude liki tulia, hio ni sawa na base ya ndege.
Mfano wakitaka kutumaliza Tanzania wanakuja nalo hadi bahari ya hindi, then ndege vita kama f22 zinakuwa zinakuja dar hapo mnanyewa moto halafu zinakwenda ku load mzigo na mafuta mpaka uombe msamaha.

Carrier zikiwa na missile au silaha za mashambulizi, haziwezi kuwa kama hizo warships, au usifikiri itaweza battle kwa muda mrefu.

Ndio maana hizi meli zinakuwa na escort ya warships, hizi warships ndio zinakabiliana na adui, hata carrier ikiwa na missiles za kujilinda lazima itabidi wabane space kwa ajili ya missiles, kumbuka missiles zinachukua space, ndege zinahitaji fuel na silaha.
Ndege hio ni kama tanker ya mafuta, airport, ghala la silaha na pia sehemu ya maintanace, sasa uongeze na kitengo cha mashambulizi? you cant be serious.

Ku launch missile ni process, ikitokea wakirusha missile toka kwenye carrier, basi ndege itabidi zisimame zisiruke, imagine hicho kipindi mna andaa missile then adui ana wakuta, mnakuwa mmekwisha.

Boat za Iran ni kwa ajili ya kuongeza eneo la ulinzi na roots fupi za kwenye maji kwa ajili ya ulinzi, ila endapo hio carrier ikiwa ni threat usifikiri itapambana na boats, itapambana na missile za kutosha kama zile zilizotua kule Iraq, pia hadi kutumia hilo dude USA atakuwa karibu na maji ya Iran, na Iran atakuwa nyumbani, hapo USA carrier itaangamizwa.

Kumbuka hilo li carrier ni base tu kama ile iliyopigwa kule Iraq ila katika ulinzi linategemea warships.
....👊👊👊...... Umejenga hoja nzuri sana.
 
Ambacho hujui ni kwamba aircraft carrier hazijatengenezwa kwa ajili ya ku launch ballistic missiles, hizo tunasema ni air base iliyoko majini, zimetengenezwa kwa lengo kuwa mahala popote duniani wakihitaji kufika hilo dude liki tulia, hio ni sawa na base ya ndege.
Mfano wakitaka kutumaliza Tanzania wanakuja nalo hadi bahari ya hindi, then ndege vita kama f22 zinakuwa zinakuja dar hapo mnanyewa moto halafu zinakwenda ku load mzigo na mafuta mpaka uombe msamaha.

Carrier zikiwa na missile au silaha za mashambulizi, haziwezi kuwa kama hizo warships, au usifikiri itaweza battle kwa muda mrefu.

Ndio maana hizi meli zinakuwa na escort ya warships, hizi warships ndio zinakabiliana na adui, hata carrier ikiwa na missiles za kujilinda lazima itabidi wabane space kwa ajili ya missiles, kumbuka missiles zinachukua space, ndege zinahitaji fuel na silaha.
Ndege hio ni kama tanker ya mafuta, airport, ghala la silaha na pia sehemu ya maintanace, sasa uongeze na kitengo cha mashambulizi? you cant be serious.

Ku launch missile ni process, ikitokea wakirusha missile toka kwenye carrier, basi ndege itabidi zisimame zisiruke, imagine hicho kipindi mna andaa missile then adui ana wakuta, mnakuwa mmekwisha.

Boat za Iran ni kwa ajili ya kuongeza eneo la ulinzi na roots fupi za kwenye maji kwa ajili ya ulinzi, ila endapo hio carrier ikiwa ni threat usifikiri itapambana na boats, itapambana na missile za kutosha kama zile zilizotua kule Iraq, pia hadi kutumia hilo dude USA atakuwa karibu na maji ya Iran, na Iran atakuwa nyumbani, hapo USA carrier itaangamizwa.

Kumbuka hilo li carrier ni base tu kama ile iliyopigwa kule Iraq ila katika ulinzi linategemea warships.
Unataka kusema sijui silaha? Hebu soma last 30 comments nilikuwa nazungumzia nini.
 
Ambacho hujui ni kwamba aircraft carrier hazijatengenezwa kwa ajili ya ku launch ballistic missiles, hizo tunasema ni air base iliyoko majini, zimetengenezwa kwa lengo kuwa mahala popote duniani wakihitaji kufika hilo dude liki tulia, hio ni sawa na base ya ndege.
Mfano wakitaka kutumaliza Tanzania wanakuja nalo hadi bahari ya hindi, then ndege vita kama f22 zinakuwa zinakuja dar hapo mnanyewa moto halafu zinakwenda ku load mzigo na mafuta mpaka uombe msamaha.

Carrier zikiwa na missile au silaha za mashambulizi, haziwezi kuwa kama hizo warships, au usifikiri itaweza battle kwa muda mrefu.

Ndio maana hizi meli zinakuwa na escort ya warships, hizi warships ndio zinakabiliana na adui, hata carrier ikiwa na missiles za kujilinda lazima itabidi wabane space kwa ajili ya missiles, kumbuka missiles zinachukua space, ndege zinahitaji fuel na silaha.
Ndege hio ni kama tanker ya mafuta, airport, ghala la silaha na pia sehemu ya maintanace, sasa uongeze na kitengo cha mashambulizi? you cant be serious.

Ku launch missile ni process, ikitokea wakirusha missile toka kwenye carrier, basi ndege itabidi zisimame zisiruke, imagine hicho kipindi mna andaa missile then adui ana wakuta, mnakuwa mmekwisha.

Boat za Iran ni kwa ajili ya kuongeza eneo la ulinzi na roots fupi za kwenye maji kwa ajili ya ulinzi, ila endapo hio carrier ikiwa ni threat usifikiri itapambana na boats, itapambana na missile za kutosha kama zile zilizotua kule Iraq, pia hadi kutumia hilo dude USA atakuwa karibu na maji ya Iran, na Iran atakuwa nyumbani, hapo USA carrier itaangamizwa.

Kumbuka hilo li carrier ni base tu kama ile iliyopigwa kule Iraq ila katika ulinzi linategemea warships.
Unatakiwa ujue kabla US akija kukushambulia anafanya aerial denial kwanza. Zile B-2 na B-1B Lancer hazipo kwa ajili ya kutalii angani.
1. Anashambulia kwa B-2 ambazo ni stealth anaua air defence batteries za Iran.
2. B-1B zinakuja kushambulia bases na vituo muhimu vya jeshi.
3. B-52 ndo zinakuja na tani za mabomu ya kutosha kuharibu factories za silaha na vituo vya umeme.
Hizo ndege zote hapo zina uwezo wa kutokea nyumbani kwenye airbases kibao kama Andersen na Guam.

Akimaliza anakuja majini.
1. Analeta aircraft carriers maeneo ya ghuba ya Aden na Mediterranean sea.
2. Akitoka hapo anatoa ndege zake kina E-2D kwa ajili ya early warning kulinda carrier group. Ndege zinatrack kila missile, boat, warship, na takataka yoyote iliyo umbali wa kutosha around carrier group.
3. Wakati huo ndege kama Poseidon na Sentry zipo angani karibu na Iran kucheki usalama, zina powerful sensors na systems za kutrack submarines na viboti vyao hivyo. Usinambie air defence systems zitazidondosha, zina range ya mbali ambako ground to air missiles hazifiki.

Hizo ndege za Poseidon zinatoa taarifa kwa carrier group kwamba kuna base flani inarusha ndege angani, carrier group inatoa air fighter kina F-16 na F-15, Iran ana ndege gani za kupambana na hizi?
Wakati huo E-2D Advanced Hawkeye inatoa taarifa kwa missiles zinazoifata carrier group, pale kwenye group lazima destroyers kama Arleigh Burke ziwepo. Kazi yake ndo hiyo, kazi ya Arrow 3 ni kutungua anti-ship missiles hizo. Ikishindwa kuna clone-in weapon system (CIWS) kazi yake ni ya mwisho kabisa. Hapa sijazungumzia kabisa masuala ya electronic warfare, F-16 na E-2D ndo kazi yake. Katika ndege zote tuachane na F-22 na F-35, hizi zitawaliza sana maana ni stealth.

Baada ya kuhakikisha hakuna msumbufu baharini, zinaletwa corvette na destroyers karibu na pwani. Amphibious assault ships zinaletwa ku-land wanajeshi. Wanatangulizwa marines na silaha zao complicated (marines wana silaha tofauti kabisa na navy). Wanahakikisha wanashika beach heads, badae ndo wanajeshi regular wanakuja kwa landing crafts.

Kazi ya submarines kama Virginia class hiyo inawekwa pending ikitokea kuna base inaleta usumbufu inachapwa makombora, Iran ana antisubmarine capability? Hana hata kidogo.
Kuna inventory ya silaha kibao hazijatajwa.

Utanambia mbona Iran yeye namponda? Sasa scenario nzima nakupa endapo Iran amepiga bases zote zinazomzunguka, kitu ambacho HAKIWEZEKANI KABISA ila ngoja nifanye kinawezekana. Yani kama unavyoona Saddam Hussein alitumia Scud missiles kushambulia bases around Iraq lakini alishindwa, basi tuamini Iran atashambulia bases zote sijui ziko 12 zilizoko Middle East azimalize. Akitoka hapo Iran atatumia mini kwenda kushambulia New York au Miami? Hapo ndo anapokea kichapo cha mbwa koko.

Hiyo nimetoa simplified scenario. Kuna silaha za Iran hazijulikani, lakini kuna inter US anazikusanya. Jiulize Trump alipata wapi picha iliyo clear kabisa pale rocket raunch ya Iran ilivyofeli? Ni kwakuwa wanaifatilia kwa satellite za kijeshi zenye uwezo mkali, Trump alivyo mjinga anatweet tu hata siri. Zipo silaha nyingi za US hazijulikani, Iran kwamba ataambiwa na Russia, haitomsaidia sana.
 
Unataka kusema sijui silaha? Hebu soma last 30 comments nilikuwa nazungumzia nini.
Sijasema hujui silaha, lakini ulitaka kama kujenga hoja ya kulinganisha boats za patrol za Iran na air craft carrier kitu ambacho hakina mashiko, kama hio carrier inalindwa na warships hata Iran wana warships ambazo zitakabiliana na USA warships, hizo ndege zikiruka kuingia anga ya Iran zitakutana na s 300 ukizingatia USA itakuwa karibu kabisa na maji ya Iran, hivyo Iran itakuwa na uwezo mkubwa wa kuzamisha hilo dude na ku intercept hizo ndege.
 
Sijasema hujui silaha, lakini ulitaka kama kujenga hoja ya kulinganisha boats za patrol za Iran na air craft carrier kitu ambacho hakina mashiko, kama hio carrier inalindwa na warships hata Iran wana warships ambazo zitakabiliana na USA warships, hizo ndege zikiruka kuingia anga ya Iran zitakutana na s 300 ukizingatia USA itakuwa karibu kabisa na maji ya Iran, hivyo Iran itakuwa na uwezo mkubwa wa kuzamisha hilo dude na ku intercept hizo ndege.
Hizo S-300 nishakwambia zinazimwa mapema, ndiyo kazi ya B-2 na ikiwezekana F-35 na F-22. Hizo S-300 zina range ya 400km kutrack ndege za kawaida na hazioni stealth. Zikiwasha radar tu zinasomeka na kushambulia, hebu soma Iraq na Bosnia kule walifanyaje. Ukiwasha radar unashambuliwa, kwani Libya ilivyowekewa no fly zone ilikuwaje? Kila air defence system ikiwasha transponder inapigwa makombora.
 
Nafkiri ingelikua Marekani anawaza kama ww basi ingelikua Ayatullah tushamzika tushamsahau
Hizo S-300 nishakwambia zinazimwa mapema, ndiyo kazi ya B-2 na ikiwezekana F-35 na F-22. Hizo S-300 zina range ya 400km kutrack ndege za kawaida na hazioni stealth. Zikiwasha radar tu zinasomeka na kushambulia, hebu soma Iraq na Bosnia kule walifanyaje. Ukiwasha radar unashambuliwa, kwani Libya ilivyowekewa no fly zone ilikuwaje? Kila air defence system ikiwasha transponder inapigwa makombora.
 
Unatakiwa ujue kabla US akija kukushambulia anafanya aerial denial kwanza. Zile B-2 na B-1B Lancer hazipo kwa ajili ya kutalii angani.
1. Anashambulia kwa B-2 ambazo ni stealth anaua air defence batteries za Iran.
2. B-1B zinakuja kushambulia bases na vituo muhimu vya jeshi.
3. B-52 ndo zinakuja na tani za mabomu ya kutosha kuharibu factories za silaha na vituo vya umeme.
Hizo ndege zote hapo zina uwezo wa kutokea nyumbani kwenye airbases kibao kama Andersen na Guam.

Akimaliza anakuja majini.
1. Analeta aircraft carriers maeneo ya ghuba ya Aden na Mediterranean sea.
2. Akitoka hapo anatoa ndege zake kina E-2D kwa ajili ya early warning kulinda carrier group. Ndege zinatrack kila missile, boat, warship, na takataka yoyote iliyo umbali wa kutosha around carrier group.
3. Wakati huo ndege kama Poseidon na Sentry zipo angani karibu na Iran kucheki usalama, zina powerful sensors na systems za kutrack submarines na viboti vyao hivyo. Usinambie air defence systems zitazidondosha, zina range ya mbali ambako ground to air missiles hazifiki.

Hizo ndege za Poseidon zinatoa taarifa kwa carrier group kwamba kuna base flani inarusha ndege angani, carrier group inatoa air fighter kina F-16 na F-15, Iran ana ndege gani za kupambana na hizi?
Wakati huo E-2D Advanced Hawkeye inatoa taarifa kwa missiles zinazoifata carrier group, pale kwenye group lazima destroyers kama Arleigh Burke ziwepo. Kazi yake ndo hiyo, kazi ya Arrow 3 ni kutungua anti-ship missiles hizo. Ikishindwa kuna clone-in weapon system (CIWS) kazi yake ni ya mwisho kabisa. Hapa sijazungumzia kabisa masuala ya electronic warfare, F-16 na E-2D ndo kazi yake. Katika ndege zote tuachane na F-22 na F-35, hizi zitawaliza sana maana ni stealth.

Baada ya kuhakikisha hakuna msumbufu baharini, zinaletwa corvette na destroyers karibu na pwani. Amphibious assault ships zinaletwa ku-land wanajeshi. Wanatangulizwa marines na silaha zao complicated (marines wana silaha tofauti kabisa na navy). Wanahakikisha wanashika beach heads, badae ndo wanajeshi regular wanakuja kwa landing crafts.

Kazi ya submarines kama Virginia class hiyo inawekwa pending ikitokea kuna base inaleta usumbufu inachapwa makombora, Iran ana antisubmarine capability? Hana hata kidogo.
Kuna inventory ya silaha kibao hazijatajwa.

Utanambia mbona Iran yeye namponda? Sasa scenario nzima nakupa endapo Iran amepiga bases zote zinazomzunguka, kitu ambacho HAKIWEZEKANI KABISA ila ngoja nifanye kinawezekana. Yani kama unavyoona Saddam Hussein alitumia Scud missiles kushambulia bases around Iraq lakini alishindwa, basi tuamini Iran atashambulia bases zote sijui ziko 12 zilizoko Middle East azimalize. Akitoka hapo Iran atatumia mini kwenda kushambulia New York au Miami? Hapo ndo anapokea kichapo cha mbwa koko.

Hiyo nimetoa simplified scenario. Kuna silaha za Iran hazijulikani, lakini kuna inter US anazikusanya. Jiulize Trump alipata wapi picha iliyo clear kabisa pale rocket raunch ya Iran ilivyofeli? Ni kwakuwa wanaifatilia kwa satellite za kijeshi zenye uwezo mkali, Trump alivyo mjinga anatweet tu hata siri. Zipo silaha nyingi za US hazijulikani, Iran kwamba ataambiwa na Russia, haitomsaidia sana.
Holi wudi ....
 
Unatakiwa ujue kabla US akija kukushambulia anafanya aerial denial kwanza. Zile B-2 na B-1B Lancer hazipo kwa ajili ya kutalii angani.
1. Anashambulia kwa B-2 ambazo ni stealth anaua air defence batteries za Iran.
2. B-1B zinakuja kushambulia bases na vituo muhimu vya jeshi.
3. B-52 ndo zinakuja na tani za mabomu ya kutosha kuharibu factories za silaha na vituo vya umeme.
Hizo ndege zote hapo zina uwezo wa kutokea nyumbani kwenye airbases kibao kama Andersen na Guam.
Kuhusu b2 mkuu nina mashaka hata nikiangalia mission zake, b2 imekwenda Afghanistan, Libya kupiga Isis 2011 na pia Serbia kwenye kosovo war 1999, sijaona cha ajabu hapo kwenda kupiga watu wana RPG na AK-47.
Kumbuka rq-170 ilikuwa stealth na USA walijidanganya hivyo hivyo kwamba isingeonekana, they were wrong, hawakuipiga hata missile, wali intercept mawasiliano wakakiteremsha chini kama cha kwao, ilikuwa ni aibu kubwa mnoo kwa USA.
Hapo unajua hao jamaa sio tu kwenye radar systems wapo vizuri bali hata electronic warfare wapo far away.yaani ili kuwa detected halafu ikawa hacked, shikamoo Iran.

Shangaa rq 170 ilivyo shushwa na ilikuwa stealth right?
kitendo cha USA kurusha stealth drone kama ile nchini Iran ilikuwa wana jiamini asilimia zote hakitoonekana right?
kumbuka hio rq 170 ilisha tumiwa afghanistan na pia Pakistan kwenye ile mission ya kumsaka Osama, USA walifanya pia jamming kwenye radar za Pakistan na Pakistan hawakujua nini kinaendelea.
Hio b2 inakwenda altitude ya 50000 feet kama ilivyo rq 170 pia ni 50000 feet, kwa kuwa waliona imefanikiwa hio aircraft kuingia sehemu mbali mbali kwenda kupiga picha za kishu shu shu, wakaona sasa ni wakati murua wa kuingiza Iran, guess what? nakumbuka tu USA ilisema hio ndege ilikuwa operated na CIA na sio USAF 😂 😂 😂 .
Sasa na hio b2 tusubiri tu ifike na yenyewe kwenye anga la Iran ushuhudie mwenyewe, Iran sio Serbia,Iraq au Libya.Tegemea kukutana na challenge nzito sana ikiwemo kuipoteza hio b2 wakati zipo 21 tu kama sikosei.
So its not easy tukizungumzia kwa mifano hai.

intxt%202.jpg

rq 170


b2_6.jpg

b2 bomber

Kwa hio wazo lako la kutuma b2 Iran hata USA hawaliwazii plus kumbuka stealth aircraft haina maana haionekani bali hata radar za bongo zinaweza kuona b2, ipo hivi.
Radar ina uwezo hadi wa ku detect drops za maji, yaani mvua ikiwa inanyesha radar inaona vizuri tu zile drops na vitu vingine kama ndege wa angani ila vinakuwa vidogooo mno, ndio maana utasikia kuna radar za hali ya hewa.

Kwa kesi ya stealth bomber kama b2 zimetengenezwa ku absorb radar waves au pengine kuzi direct pengine, tazama vizuri b2 muundo wake, hivyo kwa kufanya hivyo waves zinarudi kidogo kwenye radar, radar inaona ni kadude kadogo tuseme ndege wa angani na ina ignore, kwa maana ukisema utazame kila kitu kwenye radar utaanza kuona kama zile tv za visogo zinapokosa channel sisi tulikuwa tunasema inaonyesha mchele.

Ili kuleta maana wataalamu wana seti aina fulani za waves tu ziweze kuonekana kwenye radar na hapo ndipo stealth aircraft ina ichanganya radar kwa kuwa inarudisha waves sawa na mwewe anapaa angani, hivyo wana ignore, lakini b2 hata radar ya bongo inaona vizuri tu, hakuna stealth ya kui confuse radar 100%, beleive it or not.

Kuna bomber ilikuwa inaitwa f-117 ilipigwa huko serbia ikashuka ilikuwa ni stealth kama hio b2 ilikuwa ni mwaka 1999 na kipindi hicho f-117A ilikuwa ni mtambo hasa na USA alikuwa ana bomber ambayo ni stealth na advanced sana, but guess what? ilipigwa na s-125 missile😂😂😂.Yugoslavia hao waliiteremsha vizuri mno.
F-117.jpg

f-117a

Sasa USA hakutegemea s-125 ingepiga f-117a right? so tegemea b2 kupigwa hata na s-300.

Akimaliza anakuja majini.
1. Analeta aircraft carriers maeneo ya ghuba ya Aden na Mediterranean sea.
2. Akitoka hapo anatoa ndege zake kina E-2D kwa ajili ya early warning kulinda carrier group. Ndege zinatrack kila missile, boat, warship, na takataka yoyote iliyo umbali wa kutosha around carrier group.
Iran ina speed boats zenye kubeba cruise missiles, submarines ambazo ni stealth zinabeba torpedoes, pia kwenye radar technology usiwapimie, wana boats zinakimbia sana kuliko hizo ships na boats za US navy hapo nazungumzia boat zinaitwa seraj ambazo zinashikilia record kwa kasi.

USA wamekuwa wakijaribu sana kutengeneza silaha ya kuzikabili hizo boats lakini gharama inakuwa kubwa sana kuweka hizo laser weapon kwenye kila meli na mpaka sasa wanayo 1 tu.

Range ya hio laser ni 2km wakati missile za kwenye speed boats za Iran ni cruise missile, hivyo zitatumwa boats za kutosha hapo na missile ambazo hazina idadi zitaanza kumiminwa kuelekea kwenye hilo li carrier kwa mbali kabisa, pia hizo warships zitaweza kukabili mashambulizi toka speed boats kwa kuzishambulia au kulinda hilo li carrier?
Hapo unaona warships zitazidiwa kabisa, hazitoweza hilo battle.

Iran wana anti ship missile kama vile noor, halafu mmevamia Iran kwenye eneo lake bado USA ana kibarua.
Ukizingatia Iran ita target military za base ya USA hapo middle east kwa missile za ballistic

3. Wakati huo ndege kama Poseidon na Sentry zipo angani karibu na Iran kucheki usalama, zina powerful sensors na systems za kutrack submarines na viboti vyao hivyo. Usinambie air defence systems zitazidondosha, zina range ya mbali ambako ground to air missiles hazifiki.
Hizo ndege ni za kawaida sana sijui unatumia kigezo gani kusema haziezi dondoshwa, ipo hivi.
Hio Poseidon ni imetokana na boeing 737 na hio Sentry ni boeing 707, uwezo wao wa kuruka juu ni wa kawaida kama ndege za kawaida tu, 12km above au 40000 feet, kumbuka bomber huwa zinakwenda mpaka 50000 feet na bado zinatandikwa tu, niseme hakuna tofauti na ile boeing 747 ya raisi wa USA, ikiwa imeongezewa mifumo ya ulinzi na mengineyo, lakini hizo ni boeing 737 na nyingine ni boeing 707, sasa how comes SAM itashindwa kufika?😂😂



Hizo ndege za Poseidon zinatoa taarifa kwa carrier group kwamba kuna base flani inarusha ndege angani, carrier group inatoa air fighter kina F-16 na F-15, Iran ana ndege gani za kupambana na hizi?
Wakati huo E-2D Advanced Hawkeye inatoa taarifa kwa missiles zinazoifata carrier group, pale kwenye group lazima destroyers kama Arleigh Burke ziwepo. Kazi yake ndo hiyo, kazi ya Arrow 3 ni kutungua anti-ship missiles hizo. Ikishindwa kuna clone-in weapon system (CIWS) kazi yake ni ya mwisho kabisa. Hapa sijazungumzia kabisa masuala ya electronic warfare, F-16 na E-2D ndo kazi yake. Katika ndege zote tuachane na F-22 na F-35, hizi zitawaliza sana maana ni stealth.
Unadhani hata hapo watafika? sidhani!! Hizo Poseidon zipata nafasi gani kufanya surveillance angani? how?
Hapo Iran kaishasambaza base zote middle east, hilo li carrier limepiigwa na speed boats na war ships zimezamishwa, hizo f16 na f15 zinatokea wapi? kumbuka narudia tena mmeivamia Iran.

Kiu halisia ingekuwa simple hivyo USA kutaka kuikabili Iran sio leo, Iran imepiga mkono miaka 8 akiwa na wanaompatia misaada ni Syria na Libya can you imagine?
Iraq iliyokuwa ina pigana na Iran ilikuwa na msaada toka USA, USSR, Saudia, Kuwait, European countries n.k, kumbuka Iran ilikuwa katika kipindi kigumu cha vikwazo katika manunuzi ya silaha n.k, so wale wa Persia waone vile tu, USA inawajua vizuri, in short Iran ilichangiwa na licha ya Iraq kupewa modern tools zote, haikufua dafu. Respect to Iran


Hata troops hawatoingia Iran, plus Iran ni kubwa 3x ya Iraq, so usichukulie ita ile ya Iraq uje ufananishe na vita ya Iran.
 
Back
Top Bottom