Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutaelewana tu ngoja tuoneshane makali.
Nawe nioneshe popote ambapo pua ya Iran ishawahi kuwashambulia wanajeshi wa Israel, ukitumia Hezbollah hiyo sio Iran. Na hata hivyo Hezbollah inatandikwa kila wakilazimisha kuleta ujinga. Eti anashambulia Syria, sasa kelele za Iran kushambulia kambi za US mlikuwa mnatoa za nini.View attachment 1470351View attachment 1470352View attachment 1470353
Akapambane na HIZBULLAH kwanza anauwezo wakumpiga MUAJEMI huyu[emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akapambane na HIZBULLAH kwanza anauwezo wakumpiga MUAJEMI huyu[emoji3][emoji3]
Kama anavyowapiga namna hii.
images%20-%202020-06-07T110323.183.jpg
images%20-%202020-06-07T110011.265.jpg
images%20-%202020-06-07T110021.465.jpg
 
Hv unaamini alishinda ?!
Kama Israel angekua ameshindwa ile vita unafikiri angeendelea kubaki kama 'military giant' wa hilo eneo?

Huenda hata sehemu ya ardhi yake ingeshikiliwa na hao wanamgambo mamluki wa Iran.
 
Kama Israel angekua ameshindwa ile vita unafikiri angeendelea kubaki kama 'military giant' wa hilo eneo?

Kama angekuwa alishindwa huenda hata sehemu ya ardhi yake ingekua imekaliwa na hao wanamgambo mamluki wa Iran.
Mkuu kila vita hua inapiganwa kwamalengo fulani

Wanamgambo walianzisha vita kwamalengo yakutafuta njia yakuwakomboa watu wao ambao walishindikana kupatikana kwanjia ya diplomasia nandio ilikua sababu KUU ya Wanamgambo kuanzisha vita kukamata wanajeshi wa ISRAEL nawalifanikiwa maana waliwakamata wawili kama sijakosea

Baada yasiku kadhaa zamapambano je ISRAEL alifanikiwa kuwakomboa wanajeshi wake walokua wametekwa licha yakwamba kweli alisababisha hasara sana sana sana kama hakufanikiwa utasemaje alishinda ?!

Je baada yavita kufanikiwa wanamgambo waliokua wanashikiliwa na ISRAEL ambao ilikua ndio chachu yakuanzisha vita walibakia kwa ISRAEL waliachiliwa huru ?!

Ukumbuke jamaa niwanamgambo na wale wengine nijeshi kamili

Ukumbuke alieanzisha vita ni Wanamgambo lakini waliimaliza vita ni UN

Unapata wapi ujasisi wakusema jamaa hawakupigwa ISRAEL ?!

ISRAEL anamuongoza nani hapo mido ist kwanguvu zakijeshi labda hamasm
 
Mkuu kila vita hua inapiganwa kwamalengo fulani

Wanamgambo walianzisha vita kwamalengo yakutafuta njia yakuwakomboa watu wao ambao walishindikana kupatikana kwanjia ya diplomasia nandio ilikua sababu KUU ya Wanamgambo kuanzisha vita kukamata wanajeshi wa ISRAEL nawalifanikiwa maana waliwakamata wawili kama sijakosea

Baada yasiku kadhaa zamapambano je ISRAEL alifanikiwa kuwakomboa wanajeshi wake walokua wametekwa licha yakwamba kweli alisababisha hasara sana sana sana kama hakufanikiwa utasemaje alishinda ?!

Je baada yavita kufanikiwa wanamgambo waliokua wanashikiliwa na ISRAEL ambao ilikua ndio chachu yakuanzisha vita walibakia kwa ISRAEL waliachiliwa huru ?!

Ukumbuke jamaa niwanamgambo na wale wengine nijeshi kamili

Ukumbuke alieanzisha vita ni Wanamgambo lakini waliimaliza vita ni UN

Unapata wapi ujasisi wakusema jamaa hawakupigwa ISRAEL ?!

ISRAEL anamuongoza nani hapo mido ist kwanguvu zakijeshi labda hamasm
Hizbullah walianzisha vita kwa kutaka wanamgambo wao wachache waachiliwe lakini mpaka Vita inamalizika walipoteza maelfu ya wapiganaji wao na raia wa kawaida wa Lebanon takribani 2000 walikufa kwenye hiyo vita, sasa kwa hali hiyo utasema walitimiza malengo au walileta maafa kwa nchi yao?
 
Back
Top Bottom