Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Unafananisha wakati huu na miaka ya 90 na 2000 mwanzoni....iraq waliwaonea Sana kwa wakati ule ila sio kwa iran ya sasa
nabado hata hao IRAQ walipelekeshwa na IRAN pia miaka nane tena nabado walipewa msaada mbali mbali toka sehem mbali mbali.....
 
Brain Trauma usiwe unaongelea kishabiki, Trauma inaweza kuwa ni permanent brain damage ikapelekea coma and next ni kifo, i think you know nothin about it kama huongelei kishabiki, kasome madhara ya brain trauma, usiwe unaongea kishabiki.
Huyo jamaa anajifanya mjuaji tokea kumbe ni kiazi
 
Asije akalingamisha nchi yyote katika Middle East na Iran kwenye technologia sio tuu ya silaa bali ya kila kitu....Science ni moja ya fundamental za Mapinduzi Y Kiislam ya 1979......Irak aijawai hata kuunda baruti ...lkn Iran leo hii ina mfumo wa kulinda Anga lake wenye uwezo zaidi ya S300 na Patriotic......Hivi akuskia Ile Dtone iliyoangushwa nini?
Mkuu huwa hawataki kuskia hizo habari
 
Marekani wana mstress Iran ili atengeneze na kununua silaha hii inaifanya nchi nyingine za kiarabu zipate wasiwasi na kuitegemea Marekani moja kwa moja na kununua silaha kwao na kuomba ulinzi hence they return income to USA, what an economy.
Stress Kubwa ni ya soko lake mwenyewe Mmarekani kupotea middle East,Mapinduzi ya Iran pengine ndio mapinduzi bora zaidi kuwai kutokea duniani yana mikakati ambayo Marekani kamwe hangependa kuona yakiwepo....wana sayansi wa Iran wamekuwa ni tishio kubwa kwa soko la marekani...kwa mfano Marekani imewekeza mtambo wa kulinda anga la Saudi Arabia ujulikanao km Patriotic lkn Jeshi la watu wa Yemen kwa kutumia tecnologia ya Iran waliweza kulipua visima vya mafuta Vya Saudi...mtambo ule wa US haukueweza ku Intercept...wakat huo huo Ndege isiokua na Rubani Iliangushwa na Iran kwa kutumia mtambo wake yenyewe(home made)..for the future km Marekani ikishaacha kuwagawa wana Middle East Iran itakua na soko kubwa la Military Hardware kwa majirani Zake.
 
Iran ina Safari ndefu kufikia modern ballistic missiles.Ni vigumu kuwalinganisha na Israel na USA.Lakini Kwa darajani la Nchi zilimzunguka na Middle East Iran Ipo juu Sana. Ni vigumu Marekani na washirika kuwashambulia Kwa sababu Kuna sababu kuu ya ki biashara
Mkuu hebu pekua kitu Kousar project ..na Shahab 3.........achilia mbali ile satellite iliorushwa juzi na imefanikiwa...
 
hahahahaha hakika huu uzi waweza usoma mpaka ukaogopaa
nahisi hata Bwana Trump angeufikia huu uzi angeshangaa
watu wanayajua majeshi ya ughaibuni hususan America nje ndani
mpaka mbinu zao za kivita,zana zooote
za kivita pamoja na mipango yao ya baadae ya kivita
aiseeee kwa hili hongereni
Kama wewe ni msomaji na mfuatiliaji mzuri wa habari za kijeshi,kiteknolojia au ugunduzi ni rahisi kufahamu haya.
 
Ni sawa hata Trump alisema wana Headache tu, ni kawaida katika vita kutoa takwimu za uongo, but uhalisia unajulikana.
Trump hakusema "wana Headaches tu". Tuweke taarifa sahihi. Tusipotoshe!

Trump alizungumza kitu hiki, nanukuu;

"I heard that they had headaches, and a couple of other things, but I would say, and I can report, it's not very serious,"

Hizo ni taarifa alizopewa kisha naye kuziwasilisha katika vyombo vya habari. Unahitaji nikutafsirie kwa Kiswahili?

Kuthibitisha kauli ya Trump kuwa "it's not very serious", wengi wa wanajeshi hao wapatao 110 wameripotiwa kurejea katika majukumu yao ya kawaida baada ya matibabu.

Kama hizo takwimu ni za uongo je, za ukweli ni zipi?

Kama Idara ya Ulinzi ya Marekani yenye dhamana ya kuzisimamia taasisi zote zinazohusu masuala ya kijeshi na kiulinzi nchini Marekani imekuwa ikitoa takwimu za uongo, je, takwimu za kweli ni zipi? Ziko wapi hizo takwimu?

Ushahidi wa kitafiti juu ya uongo wa takwimu hizo uko wapi? Ukweli ni upi? Usiishie tu kusema "ni kawaida kutoa takwimu za uongo".

No research, no right to speak....!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sasa MKUU wewe sindio unaesema kama IRAN kilaleo anashambuliwa huko SYRIA na ISRAEL ama ninani ?!.....
Nimekwambia hivyo kwa kuwa umeshadadia shambulizi la Iran nchini Syria. Au na hapa bado hujui unachoongea.
 
Trump hakusema "wana Headaches tu". Tuweke taarifa sahihi. Tusipotoshe!

Trump alizungumza kitu hiki, nanukuu;

"I heard that they had headaches, and a couple of other things, but I would say, and I can report, it's not very serious,"

Hizo ni taarifa alizopewa kisha naye kuziwasilisha katika vyombo vya habari. Unahitaji nikutafsirie kwa Kiswahili?

Kuthibitisha kauli ya Trump kuwa "it's not very serious", wengi wa wanajeshi hao wapatao 110 wameripotiwa kurejea katika majukumu yao ya kawaida baada ya matibabu.

Kama hizo takwimu ni za uongo je, za ukweli ni zipi?

Kama Idara ya Ulinzi ya Marekani yenye dhamana ya kuzisimamia taasisi zote zinazohusu masuala ya kijeshi na kiulinzi nchini Marekani imekuwa ikitoa takwimu za uongo, je, takwimu za kweli ni zipi? Ziko wapi hizo takwimu?

Ushahidi wa kitafiti juu ya uongo wa takwimu hizo uko wapi? Ukweli ni upi? Usiishie tu kusema "ni kawaida kutoa takwimu za uongo".

No research, no right to speak....!!
Hawa majamaa wanakurupuka hivyo. Wanasema kila wanachojisikia, mara Israel inataka kuifuta Iran mara US akiipiga Iran Wairan watashambulia Russia. Yani tabu tupu.
 
Saa ngapi nimesema Stinger inapiga b-2 mkuu?
Hizo boat zina capability za kupiga rockets, sasa unajua rockets zinasafiri 2km kama hizo laser za kwenye warship za US?
Apart from that Iran wana warships pia, but hizo tunawahurumia kwanza sio size yenu, kama mnadunguliwa stealth fighter na s-125 are you serious? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Laser ziko kwenye testing na hazitotumika kuwapiga nyie. Kuna Tomahawk na makombora kibao madogo ya size ya Iran yatarushwa na subs ambazo hata kuzidetect hamuwezi. US hawezi kumpiga nuke Iran, ni matumizi mabaya ya nguvu.
Hizo boti zenu ndo zitapiga subs na kupiga missile destroyers zikiwa hundreds of km away? Eti Iran ana meli, na kazi ya kina Harpoon ni nini?
 
Iran majeshi yake yanapigwa daily pale Syria, visingizio mnaleta.
images%20-%202020-06-05T124550.368.jpg
images%20-%202020-06-05T124521.691.jpg
images%20-%202020-06-05T124452.643.jpg
images%20-%202020-06-05T124427.993.jpg
images%20-%202020-06-05T124353.486.jpg
images%20-%202020-06-05T124300.040.jpg
images%20-%202020-06-05T124255.031.jpg
images%20-%202020-06-05T124242.636.jpg
Screenshot_2020-06-05-12-39-05-88.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2020-06-05-12-40-50-87.jpg
    Screenshot_2020-06-05-12-40-50-87.jpg
    72.5 KB · Views: 1
Trump hakusema "wana Headaches tu". Tuweke taarifa sahihi. Tusipotoshe!

Trump alizungumza kitu hiki, nanukuu;

"I heard that they had headaches, and a couple of other things, but I would say, and I can report, it's not very serious,"

Hizo ni taarifa alizopewa kisha naye kuziwasilisha katika vyombo vya habari. Unahitaji nikutafsirie kwa Kiswahili?

Kuthibitisha kauli ya Trump kuwa "it's not very serious", wengi wa wanajeshi hao wapatao 110 wameripotiwa kurejea katika majukumu yao ya kawaida baada ya matibabu.

Kama hizo takwimu ni za uongo je, za ukweli ni zipi?

Kama Idara ya Ulinzi ya Marekani yenye dhamana ya kuzisimamia taasisi zote zinazohusu masuala ya kijeshi na kiulinzi nchini Marekani imekuwa ikitoa takwimu za uongo, je, takwimu za kweli ni zipi? Ziko wapi hizo takwimu?

Ushahidi wa kitafiti juu ya uongo wa takwimu hizo uko wapi? Ukweli ni upi? Usiishie tu kusema "ni kawaida kutoa takwimu za uongo".

No research, no right to speak....!!
Nikawaida sana kutoa taarifa zauongo kwani wizara gani ilio iaminisha DUNIA yakwamba IRAQ kuna silaha zasumu kama sio hao PENTAGON halafu sasa hv wanasemaje ?!
 
ISRAEL anawashambulia SYRIA hilo halipingiki alipokuwa akiwashambulia IRAN kwanjia yamoja kwamoja nipale alipokua anawauwa wanasayansi wake wa nyuklia pale nikweli kabisa aliwashambulia japo awalo alikataa

Kuuwawa wanasayansi wanyuklia wa IRAN kulikua kunafanywa ndani ya Ardhi ya IRAN na Majasusi wakiyahudi ndio tunataka hata hayo makombora yake yapige pale ndio tutasema kama ISRAEL anaishambulia IRAN huko kwengine anapiga wanamgambo tu wanaoungwa mkono na IRAN

IRAN haipo SYRIA hio ilioshambuliwa niardhi ya SYRIA kama anaweza kushambulia SYRIA akashambulie na IRAN kama anaweza kama anavyoweza hapo SYRIA mashambulizi ya ISRAEL dhidi yawanamgambo wanaungwa mkono na IRAN pale SYRIA mbona yanafanywa sana MKUU nasidhanii kama kuna anaebisha kwahili

Mbona hata pale YEMEN patriotic za US zilipitwa nawanamgambo wanaungwa mkono na IRAN ila hutasikia kama ni IRAN ndio walofanya vile ?!.....
 
Laser ziko kwenye testing na hazitotumika kuwapiga nyie. Kuna Tomahawk na makombora kibao madogo ya size ya Iran yatarushwa na subs ambazo hata kuzidetect hamuwezi. US hawezi kumpiga nuke Iran, ni matumizi mabaya ya nguvu.
Hizo boti zenu ndo zitapiga subs na kupiga missile destroyers zikiwa hundreds of km away? Eti Iran ana meli, na kazi ya kina Harpoon ni nini?
Hata zile drones mlokua mnazipeleka zikapepeleze IRAN mlisema ningumu kua detectes ila sasa hivi kilichobakia historia tu

IRAN toka mwaka 1979 haijaweza kupigwa ndio muiweze sasa ?!

Wakijaribu huo upuuzi hawatakaa wasahau maana asubuhi yasiku yapili wataikimbia mashariki yakati kwaghadhabu kabisa

Kama wanaweza wajaribu tu.
 
ISRAEL anawashambulia SYRIA hilo halipingiki alipokuwa akiwashambulia IRAN kwanjia yamoja kwamoja nipale alipokua anawauwa wanasayansi wake wa nyuklia pale nikweli kabisa aliwashambulia japo awalo alikataa

Kuuwawa wanasayansi wanyuklia wa IRAN kulikua kunafanywa ndani ya Ardhi ya IRAN na Majasusi wakiyahudi ndio tunataka hata hayo makombora yake yapige pale ndio tutasema kama ISRAEL anaishambulia IRAN huko kwengine anapiga wanamgambo tu wanaoungwa mkono na IRAN

IRAN haipo SYRIA hio ilioshambuliwa niardhi ya SYRIA kama anaweza kushambulia SYRIA akashambulie na IRAN kama anaweza kama anavyoweza hapo SYRIA mashambulizi ya ISRAEL dhidi yawanamgambo wanaungwa mkono na IRAN pale SYRIA mbona yanafanywa sana MKUU nasidhanii kama kuna anaebisha kwahili

Mbona hata pale YEMEN patriotic za US zilipitwa nawanamgambo wanaungwa mkono na IRAN ila hutasikia kama ni IRAN ndio walofanya vile ?!.....
Tutaelewana tu ngoja tuoneshane makali.
Nawe nioneshe popote ambapo pua ya Iran ishawahi kuwashambulia wanajeshi wa Israel, ukitumia Hezbollah hiyo sio Iran. Na hata hivyo Hezbollah inatandikwa kila wakilazimisha kuleta ujinga. Eti anashambulia Syria, sasa kelele za Iran kushambulia kambi za US mlikuwa mnatoa za nini.
IMG_20200606_203600.jpg
IMG_20200606_203535.jpg
IMG_20200606_203514.jpg
 
Back
Top Bottom