Sasa kipi kizito zaidi:
1.Kupiga kambi wakati wa vita wakati wakijua utashambulia tu maana mko vitani, na bado ukaua wanajeshi wa adui (Iraq,1991).
2. Kupiga kambi wakati wa amani wakati wanacheza draft na hujaua hata mmoja, umeleta madhara ya Idris Sultan (Iran,2020).
Kama silaha za Iraq ni reverse, hata hizo silaha za Iran zote mlizoweka tangu uzi unaanza sijaona ya kwake, zote kareverse kama unabisha nitajie silaha yoyote mliyoweka kwenye uzi huu niwape origin version yake. Acha kusumbua watu na hoja za chekechea.