Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

@Bwana Utam njoo hapa uone ndege yako ya Saeqeh aliyotaja mkuu hapa. Ndege hizi ziko tisa (9) tu, sasa katika dunia hii unamiliki flying coffin tisa ili umtishe nani[emoji23]?
Hiyo ndege ni copy ya F-5 Phamton ndege ya Marekani iliyotengenezwa mwaka 1959. Eti Iran ampige US na ndege za 1959. Na wakati huo ulikataa kuwa Iraq hakutengeneza zile al-Hussein missiles, vipi hapa Iran alipewa na US hizi ndege zake tisa?
Picha zenye blue na njano-hivi ndo za Iran, hizo nyingine ni F-5 Phantom ambazo kwa sasa Marekani anaweza amua kufugia vyura humo.View attachment 1466816View attachment 1466817View attachment 1466818View attachment 1466819
Kasome operation Mount hope 3 uone kwa nini waliiba dege la kirusi kule libya(Ml-24 Hind) wakalipakia kwenye Chinook kwa usiri mkubwa na kwenda ku copy na ku paste technology yake, pia kufundishia askari wake weakness za helicopter hio.
Israel pia soma operation Diamond uone kwa nini waliiba Mig-21 ya Russia?
Kama walikuwa hawaibi technology walikuwa wanafanya nini?

Kama wenyewe ni wakali kwa nini waliiba technology?
Kuiba technology ni ujanja sio ujinga, hio ipo duniani kote, kitendo cha Iran kuwa na F-5 na kuiendeleza kuwa advanced nawasifu, japo sijazungumzia wala kujivunia uwezo wa Saeqeh kwamba ni deadly, ila nimesema wamejitahidi sana tokana na vikwazo walivyo wekewa still bado wanatengeneza fighter jets zao, its amazing.
Hata Israel na USA still wanazitumia F-15 na F-16 wakati ni za miaka 1970's, sio kigezo.

Endelea kusema hivyo.
 
Uko sahihi kabisa. Lakini msibadili mada kwenda kuwa Iran vs Iraq pale nilitoa mfano tu, kwa hali hii nikitoa mfano wa North Korea mtaanza kuzungumzia vita ya 1950's.
Katika vita yoyote lazima kuna silaha zitapotezwa as friendly fire, accident au enemy attack, hilo hata mgambo anajua. Tunachotazama ni ushindi, Barcelona ikishiriki UEFA haiendi na wendawazimu wa kucheza mechi zote bila kufungwa goli hata moja, inaenda kuchukua kombe tu.
Hizo Nighthawks zilikuwa ni early stealth fighters na radar absorbion yake ni kubwa kabisa. Ilikuwa ni somehow stealth.

Sasa mkuu unaamini kupigwa kwa B-2 kumi au hata zote Marekani atakimbia? Unajua ni ndege ngapi alizopoteza Marekani kwenye WW2? Ni maelfu, unajua ni meli ngapi alipoteza? Ni maelfu, je aliacha au alishindwa vita?
Huyo Iran ana silaha gani za kushambulia Marekani maeneo kama Michigan, Ohio, Washington, New Jersey? Ana silaha gani mbona hamsemi?

Hakuna vita utapigana vya defensive ushinde, ukiwa defensive unaamuliwa na adui ni lini atashambulia ndo mapigano yawepo, kwahiyo US akiretreat kujaza mafuta na kupumzika na Iran anabaki anategeshea lini adui arudi. Vita ni kushambulia ukajibu, Iran atajibu kwa zile boti ambazo nazizidi urefu pale bandari ya New York[emoji23][emoji23]?
Nikuambie kitu kimoja kimoja, USA hayupo tayari kupoteza silaha na pesa kiasi hicho alichopoteza WW2 labda kama amechoka kuwa katika nafasi iliyopo, Mkuu ile ni vita ya dunia, kama unataka ashinde vita hata akipoteza uchumi wake ni sawa haina shida, muache China awe super power, ww2 nchi zote ulaya zilikuwa hoi taabani, USA at least kwa sababu hakuwa kwenye ugomvi toka mwanzoni alikuwa yupo vizuri kuliko wenzie, na hapo akawa super power mpaka leo, alipoteza askari, silaha, pesa na muda, kama unataka afanye hivyo dhidi ya Iran ndio wanataka sasa, North Korea wanataka, China wanataka, Russia wanataka, Syria wanataka, Cuba wanataka ,Germany wanataka e.t.c, kwa nini asiweke mkia kati kati ya miguu?

Endelea kusema tu siku wakiamua, labda wakiamua ugomvi.
 
Ambacho hujui ni kwamba aircraft carrier hazijatengenezwa kwa ajili ya ku launch ballistic missiles, hizo tunasema ni air base iliyoko majini, zimetengenezwa kwa lengo kuwa mahala popote duniani wakihitaji kufika hilo dude liki tulia, hio ni sawa na base ya ndege.
Mfano wakitaka kutumaliza Tanzania wanakuja nalo hadi bahari ya hindi, then ndege vita kama f22 zinakuwa zinakuja dar hapo mnanyewa moto halafu zinakwenda ku load mzigo na mafuta mpaka uombe msamaha.

Carrier zikiwa na missile au silaha za mashambulizi, haziwezi kuwa kama hizo warships, au usifikiri itaweza battle kwa muda mrefu.

Ndio maana hizi meli zinakuwa na escort ya warships, hizi warships ndio zinakabiliana na adui, hata carrier ikiwa na missiles za kujilinda lazima itabidi wabane space kwa ajili ya missiles, kumbuka missiles zinachukua space, ndege zinahitaji fuel na silaha.
Ndege hio ni kama tanker ya mafuta, airport, ghala la silaha na pia sehemu ya maintanace, sasa uongeze na kitengo cha mashambulizi? you cant be serious.

Ku launch missile ni process, ikitokea wakirusha missile toka kwenye carrier, basi ndege itabidi zisimame zisiruke, imagine hicho kipindi mna andaa missile then adui ana wakuta, mnakuwa mmekwisha.

Boat za Iran ni kwa ajili ya kuongeza eneo la ulinzi na roots fupi za kwenye maji kwa ajili ya ulinzi, ila endapo hio carrier ikiwa ni threat usifikiri itapambana na boats, itapambana na missile za kutosha kama zile zilizotua kule Iraq, pia hadi kutumia hilo dude USA atakuwa karibu na maji ya Iran, na Iran atakuwa nyumbani, hapo USA carrier itaangamizwa.

Kumbuka hilo li carrier ni base tu kama ile iliyopigwa kule Iraq ila katika ulinzi linategemea warships.
Umeongea vizuri,Ila US na UK wana base yao hapo mbele tu ya Zanzibar ni kisiwani walinunua long time na wakazi wakahamishiwa Seychelles na wengine UK.
Hao raia waliohamishwa ni wabantu wenzetu kabisa.
Base iko hapo kubwa tu na wana vyombo vyote na ndio kambi yao ya mafunzo ya kivita.
Kakisiwa hako kanaitwa jina la ajabu tu sasa huko wakitaka kuangusha zohari hapa yaani hawahitaji chochote toka mbali huko wako kamili.na mission kibao international wanaondokea pale wanapiga kazi na kurudi
 
sasa anakua target na anauwawa akiwa Nje ya IRAN [emoji23][emoji23]

akiwa ndani ya IRAN anakua malaika ?!

Kwanini wasinge mfata huko huko IRAN wakamtwanga ?!

Mpaka wamvizie huko uhamishoni !?

Wanatofauti gani na Alshabab wanaouwa kwakuvizia wakat wanajua mtu anakaa wapi na anapatikanika wapi[emoji23]

Baada ya hilo tukio walichokipata wanakikumbuka vyema sana.....
Embu tukumbushe,walikipata nini pia kwani hapo Iraq au middle East yote hakuna General wa Marekani nao Iran walipe kisasi kwa kuvizia?
 
Mkuu unachopaswa kufahamu silaha haipimwi uwezo wake kwa kuangalia ukubwa, nimekuambia hizo boats za Iran zinateka hilo li carrier ambapo nimekuambia hio ni air base iliyoko majini, hizo boats zipo very very fast na uwezo wake unatisha.

Labda nikuambie kitu kimoja, kuna silaha moja inaitwa Stinger mfano FIM-92 Stinger hio ni Portable air defense system ya kimarekani, hio ni portable na inawekwa begani tu but inapiga airbus 380 na hakuna abiria anabaki kama ndege imebeba abiria 300 ujue wameisha. hio hio stinger ya kubeba begani inapiga hata yale madege ya kirusi ya kivita kama Kamov Ka vizuri tu bila shida.
Taiwan_will_take_delivery_of_250_Stinger_MANPADS_missiles_later_this_year_925_001.jpg

stinger

Unaifahamu Javelin? hio ni portable pia, ni ya kuweka begani tu, but ni anti tanker mzee, inatungua kifaru huwezi kuamini, minyororo inakaa kulia, engine kushoto, sasa endele kudharau silaha kisa unaizidi urefu, ndio silaha utaizidi urefu, utaizidi uzito, utaibeba but inapotumiwa itakuzidi kila kitu [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
javelinmp_h15.jpg

javelin


Hizo boats zina piga rockets, zina vifaa vya kisasa na radar, pia zina uwezo mkubwa wa kuhimili bahari iliyo chafuka, sasa endelea kujidanganya, wanazo boats zaidi ya 1500, thats why unaona USA ina tengeneza laser weapon kuangamiza boats hizo but range ya laser ni fupi (2km) wakati hizo boats zina rocket launcher na heavy machine gun, so what do you expect mzee? Endelea kusema unazizidi urefu.
_600.jpg

Seraj-1.
Teh teh teh yaani Ngalawa iteke Manowari?
 
Swali ni moja tu, IRAN ATATUMIA SILAHA GANI KWENDA MAREKANI KUSHAMBULIA?
Jibu na fafanua, konakona za nini? Si mseme tu hizo silaha Iran hakuna?
Iran hana silaha ya au missile inayojulikana mpaka sasa ya kufika USA, but missile kufika USA sio ndio kumnkomesha USA.

Unapaswa kujiuliza kwa nini USA hataki kutoka middle East?
Kwa sababu ya economic interests.
Kwa sababu ya kuweza kuendesha uzalishaji na usambazaji wa mafuta duniani kwa kutumia dollar ili iwe yenye thamani(strongest) zaidi duniani.
Kuzifanya nchi za kiarabu ziwe weak ili Israel iwe king mashariki ya kati na ku dominate nchi zingine, remember Israel ipo chini ya USA.

Kumbuka hata Sadam alipigwa kwa sababu alitaka kuanza kufanya biashara ya mafuta kwa pesa zinginena sio dollar, USA wakaona huyu jamaa anatumaliza, wakammaliza.🙂.

Sasa baada ya kujua kwa nini USA hatoki middle east tuangalie. je Iran kuikomesha USA ikome kabisa anahitaji kurusha missile kwenda kupiga New-York? au Washington DC?
Jibu ni Hapana, Iran atampiga USA pigo ambalo hata angeomba apigwe intercontinental ballistic missile angeona ni ahueni kuliko kumfukuza middle east.

Huo ndio ukweli, Iran wapo vizuri mno tena saaana, kwa kweli accuracy ya zile missile kutua kwenye zile kambi za USA ni ya kustahajabisha katika historia, hata USA wenyewe hawakutegemea, guess what? ilikuwa ni warning, kwamba tuna uwezo wa kupiga kambi zote za USA middle East within minutes if not seconds with highest accuracy.

Kumbuka Iran haitaki USA awe pale, siku USA akibugi atajua apambane na Iran uchumi wake udorore au akubali kutoka middle east uchumi wake pia udorore😂😂, ndio maana alipigwa missiles kwenye zile kambi na kuharibu vifaa vyenye thamani ya 2 billion dolars, ila alitulia tu, kama mgonjwa anayepimwa tezi dume.

Iran wapo smart sana wale jamaa, wana uwezo na walisema wana uwezo wa kunda kombora la kufika USA but wanaweka range within middle east, na ninajua kambi zote za USA zipo targeted muda wote yaani ni ku push button tu.
Kwa maana majibu walijibu haraka sana,sasa jiulize wali test hio accuracy wapi?

Ripoti inamnukuu mkuu wa Mlinzi mwenye nguvu ya Mapinduzi ya Iran, Jenerali Mohammad Ali Jafari, akisema: "Tuna uwezo wa kisayansi kuongeza umbali wa kusafiri wa kombora zetu , lakini sio sera yetu ya sasa."

Mwa Jafari aliongezea maadui wengi wa Irani tayari wako ndani ya eneo la kilomita 2,000 (1,240-mile).

Mnamo mwaka wa 2017, Kiongozi Mkuu wa Irani Ayatollah Ali Khamenei aliamuru mipaka juu ya mpango wa kombora la shambulio la nchi hiyo kwa kilomita 2000.


Iran haihitaji Intercontinental Ballistic Missile ambazo kutakuwa na uwezekano mdogo wa kufika USA kwa sababu mpaka hapa NATO wana ushirikiano katika Ballistic Missile Defense System, ambapo nchi zote za NATO wana shirikiana na kusaidiana juu ya shambulio lolote lile la missile.
Wana infra red satellite zitakuwa zina track missile tokana na joto inalotoa, Then taarifa zinatumwa kwenye ground stations zote zilizopo kwenye nchi zote za NATO, then wanakuwa wanajadili kwenye NATO headquarters kufahamu kama ni missile,
wakiona ni missile wanatuma taarifa sasa kwenye command centres zote na weapons systems pia radars kama ile ya USA an/tpy-2 , pia kuna kuwa na sea based radars, zote hizo zinaangalia missile moja na kuifuatilia, jinsi radar zinavyofuatilia missile ndivyo accuracy inaongezeka at the same time kuna kuwa na mawasiliano na systems zoote, then wanaweza ku intercept missile nje ya atmosphere,
Kumbuka wana ushirikiano, missile ikionwa na satellite nchi zooote zinakuwa alerted,

So Iran sio wajinga, tunawatandika tu hapo hapo middle east mpaka mkimbie. 😂 😂

ICBM zenyewe USA kazitumia kwenye vita ipi zikamsaidia? tusiwe tunatajiana tu ooooh ina range ya 15000km za kwenye mdomo.
USA kupigana na Iran hana budi kusogea middle East kuweka kambi, usifikiri wanawaza kama wewe eti wakae nyumbani wawe wanatuma hayo ma ICBM, binafsi i beleive kwenye hizi medium range kwa sababu naona kazi zinazofanya,mfano mzuri zilizotua Iraq.
 
Russia hana akili maandazi kama Iran, Russia au USA hawajawahi kutishiana kupigana maana wanajuana watahangaisha dunia.
Iran ambao walipigana na Iraq miaka 8 yote eti ndio wapigane na US?
US hajawa na sababu za kuipiga Iran, huyu Iran ndo unasema mchokozi unawajua wachokozi wewe?
Saddam kabla hajapigwa ashavamia Kuwait na kataka kuivamia Saudi Arabia, alisharusha makombora Israel yeye mwenyewe wala sio kuwapa waasi na bado alivumiliwa.
Alivyoota mapembe alipigwa kiwepesi, ndo uje ututishie na Iran. Iran hajavuka red line, katoa taarifa za kufyatua makombora ili asiue mtu.
Na Gaddafi alifanya nini akavuka red line?
Syria Je?
Afghanistan je?
Vietnam?
Kosovo?
Nambie hizo vita hapo juu, walivuka red line zipi USA akaingia vitani?
 
Wanajeshi gani hao waliopata huo "mtindio wa ubongo"?

Ni wa namna gani huo "mtindio wa ubongo"?

Hebu tujadili intellectually kuhusu huo "mtindio wa ubongo". Karibu!
Kaka ni kweli wanajeshi walipata brain-trauma, walianza kama 11 kuwa na matatuzo ya kichwa wakafika 34 mara 50 baadae kama several weeks wakazidi 100, hawakutosha wote kwenye handaki, wengine walijificha mahala pengine.

Ni ugonjwa mbaya sana kwa mujibu wa doctors, kwani inaweza kupelekea wengine wakajiua, pia doctors walisema kuna ambao watachelewa kupata tatizo lakini pia kuna ambao inawezekana likawa tatizo sugu.

Kuna ambao pia walipata shida ya moyo kwenda mbio sana nawengine kukosa usingizi.
In short askari waliathirika pakubwa sana, just imagine 11 missiles zinatua kambini hapo inakuaje?
Ukitaka source nakupa tena za bbc, cnn, reuters, timeofisrael,nytimes e.t.c

Japo ipo wazi siku zote nchi huwa zinaficha matokeo ya vita kama ni mabaya so ukiona mpaka USA wanasema hivyo, ujue its serious.
 
Kuteka balozi ndo silaha? Kwahiyo US akiwa anapiga Iran, Iran itakuwa inaenda nchi kadhaa kuteka mabalozi wa US. Iran hana silaha za kushambulia mbali, anazo za kuwa hangaisha majirani na kambi sa karibu. Umtoe Iran umpitishe bahari ya Atlantic kwa kutumia hiyo mitumbwi?

Sasa unaipigaje US wakati hata uwezo wa kufika kwake huna. Kuteka mabalozi hata nyinyi si mnaweza kumteka wa hapa Tanzania kama mmejipanga. Wa US in Libya aliuwawa, kipi cha ajabu kilifanyika?
Wa Russia nchini Turkey aliuwawa kipi cha ajabu kilitokea?
USA alisha wahi kutumia ICBM gani katika vita yake yote aliyopigana?
Una uhakika hio ICBM itaruka kwenda kupiga Iran?

Mkuu nguvu ya USA ipo pale pale middle east, USA uwezo wake utakuwa mdogo mno kwenye kutumia hayo ma ICBM, hakuna vita USA katumia ICBM tusidanganyane hapa.



Haya ndio yale masuala ya stealth fighter ya USA ikapigwa na s-125 ambayo haina hata uwezo wa ku detect stealth.
 
Kaka ni kweli wanajeshi walipata brain-trauma, walianza kama 11 kuwa na matatuzo ya kichwa wakafika 34 mara 50 baadae kama several weeks wakazidi 100, hawakutosha wote kwenye handaki, wengine walijificha mahala pengine.

Ni ugonjwa mbaya sana kwa mujibu wa doctors, kwani inaweza kupelekea wengine wakajiua, pia doctors walisema kuna ambao watachelewa kupata tatizo lakini pia kuna ambao inawezekana likawa tatizo sugu.

Kuna ambao pia walipata shida ya moyo kwenda mbio sana nawengine kukosa usingizi.
In short askari waliathirika pakubwa sana, just imagine 11 missiles zinatua kambini hapo inakuaje?
Ukitaka source nakupa tena za bbc, cnn, reuters, timeofisrael,nytimes e.t.c

Japo ipo wazi siku zote nchi huwa zinaficha matokeo ya vita kama ni mabaya so ukiona mpaka USA wanasema hivyo, ujue its serious.
Traumatic Brain Injury na "mtindio wa ubongo" ni vitu viwili tofauti.

Kimjadala, niko katika huo "mtindio wa ubongo" uliotajwa katika bandiko nililokuwa nikilijibu.

Wanajeshi gani hao waliopata huo "mtindio wa ubongo"?

Ni wa namna gani huo "mtindio wa ubongo"?

Kwa case ya Traumatic Brain Injury, hilo linafahamika. Ni majeraha ya kawaida katika masuala ya kijeshi hususani kutokana na milipuko mikubwa ya vilipuzi hasa mabomu n.k.

Ukifuatilia operesheni mbalimbali za kijeshi za Marekani hususani za kigeni, kumekuwa na cases nyingi kama hizo. Si jambo geni na wala si mara ya kwanza.

Kwa tukio la hivi karibuni katika kambi ya Al-Asad, kulikuwa na cases za TBI kwa wanajeshi wapatao 110 kulingana na vyanzo vilivyopo na mara ya mwisho, wengi wao waliripotiwa kurejea katika majukumu yao ya kawaida. Lakini pia, ni wanajeshi 29 tu ndiyo waliopatiwa nishani za utambulisho wa majeruhi (Purple Hearts) kama majeruhi katika tukio hilo.
 
Traumatic Brain Injury na "mtindio wa ubongo" ni vitu viwili tofauti.

Kimjadala, niko katika huo "mtindio wa ubongo" uliotajwa katika bandiko nililokuwa nikilijibu.

Wanajeshi gani hao waliopata huo "mtindio wa ubongo"?

Ni wa namna gani huo "mtindio wa ubongo"?

Kwa case ya Traumatic Brain Injury, hilo linafahamika. Ni majeraha ya kawaida katika masuala ya kijeshi hususani kutokana na milipuko mikubwa ya vilipuzi hasa mabomu n.k.

Ukifuatilia operesheni mbalimbali za kijeshi za Marekani hususani za kigeni, kumekuwa na cases nyingi kama hizo. Si jambo geni na wala si mara ya kwanza.

Kwa tukio la hivi karibuni katika kambi ya Al-Asad, kulikuwa na cases za TBI kwa wanajeshi wapatao 110 kulingana na vyanzo vilivyopo na mara ya mwisho, wengi wao waliripotiwa kurejea katika majukumu yao ya kawaida. Lakini pia, ni wanajeshi 29 tu ndiyo waliopatiwa nishani za utambulisho wa majeruhi (Purple Hearts) kama majeruhi katika tukio hilo.
Sawa ila kwa unavyoona wewe tukio la IRAN halikua ku Cross Red Line Dhidi ya US !?
 
Mkuu unachopaswa kufahamu silaha haipimwi uwezo wake kwa kuangalia ukubwa, nimekuambia hizo boats za Iran zinateka hilo li carrier ambapo nimekuambia hio ni air base iliyoko majini, hizo boats zipo very very fast na uwezo wake unatisha.
Duh!..🙄🙄🙄... Unasema hizo speed boats zina uwezo wa kuteka carrier?

Carrier hizi hizi zinazoambatana na warships karibia tatu (3)?

Ina maana hizo carrier haziwezi kujilinda zenyewe (kushambulia) mpaka zivamiwe mpaka ifikie kutekwa?
 
Kuiba technology ni ujanja sio ujinga, hio ipo duniani kote, kitendo cha Iran kuwa na F-5 na kuiendeleza kuwa advanced nawasifu, japo sijazungumzia wala kujivunia uwezo wa Saeqeh kwamba ni deadly, ila nimesema wamejitahidi sana tokana na vikwazo walivyo wekewa still bado wanatengeneza fighter jets zao, its amazing.
Hata Israel na USA still wanazitumia F-15 na F-16 wakati ni za miaka 1970's, sio kigezo.

Endelea kusema hivyo.
Mkuu hizo F-5 na Saeqeh kwa dunia ya sasa si kama majeneza yanayopaa?

Unadhani zinaweza kuhimili 'dog fight' na ndege kama F-22 au tolea jipya la F-15 na F-16 zinazotumiwa sasa na Israel na Marekani?
 
Traumatic Brain Injury na "mtindio wa ubongo" ni vitu viwili tofauti.

Kimjadala, niko katika huo "mtindio wa ubongo" uliotajwa katika bandiko nililokuwa nikilijibu.

Wanajeshi gani hao waliopata huo "mtindio wa ubongo"?

Ni wa namna gani huo "mtindio wa ubongo"?

Kwa case ya Traumatic Brain Injury, hilo linafahamika. Ni majeraha ya kawaida katika masuala ya kijeshi hususani kutokana na milipuko mikubwa ya vilipuzi hasa mabomu n.k.

Ukifuatilia operesheni mbalimbali za kijeshi za Marekani hususani za kigeni, kumekuwa na cases nyingi kama hizo. Si jambo geni na wala si mara ya kwanza.

Kwa tukio la hivi karibuni katika kambi ya Al-Asad, kulikuwa na cases za TBI kwa wanajeshi wapatao 110 kulingana na vyanzo vilivyopo na mara ya mwisho, wengi wao waliripotiwa kurejea katika majukumu yao ya kawaida. Lakini pia, ni wanajeshi 29 tu ndiyo waliopatiwa nishani za utambulisho wa majeruhi (Purple Hearts) kama majeruhi katika tukio hilo.
Brain Trauma usiwe unaongelea kishabiki, Trauma inaweza kuwa ni permanent brain damage ikapelekea coma and next ni kifo, i think you know nothin about it kama huongelei kishabiki, kasome madhara ya brain trauma, usiwe unaongea kishabiki.
 
Duh!..🙄🙄🙄... Unasema hizo speed boats zina uwezo wa kuteka carrier?

Carrier hizi hizi zinazoambatana na warships karibia tatu (3)?

Ina maana hizo carrier haziwezi kujilinda zenyewe (kushambulia) mpaka zivamiwe mpaka ifikie kutekwa?
Carrier inajilinda vipi kwa mfano? kwa nini inaambatana na warship, ile ni airport tu inayojongea, niambie inawezaje kujilinda?
 
Mkuu hizo F-5 na Saeqeh kwa dunia ya sasa si kama majeneza yanayopaa?

Unadhani zinaweza kuhimili 'dog fight' na ndege kama F-22 au tolea jipya la F-15 na F-16 zinazotumiwa sasa na Israel na Marekani?
Saeqeh pia ni modern F-5 usikomae tu moden f-15 na f-16 hata saeqeh ni modern

Dog fight mambo ya kizamani, unawazia dog fight, wakati kuna SAM missile zinakimbiza Jet
 
Back
Top Bottom