Jeshi la Israel (IDF) lakanusha kuhusika na Shambulio la hospitali huko Gaza

True... Uwenda Hamas wali-misfire au kuna propaganda... Lakini HAMAS wamekaa kimya juu ya hili tukio
Wewe uko wapi, Islamic jihad walishasema Hawa usiki toka Jana usiku
 
Hawana hizo rockets wangekuwa nazo. Kati ya zile 5000 zilizopigwa tarehe 7 wangemwaga za kutosha. Maana wao hasira ya ni kwa Hao wazayuni
 
Wap tulisema?
Acheni kutetea ujinga acha dunia ione jinsi Israel ilivyo na jeshi la hovyo.
Wahovyo ni wewe unayepinga ukweli uliowazi kabisa. Kila taifa la middle east wanaelewa kombora lilorushwa na hamas limemiss target.
Hii huitwa shimo walilochimba wametumbukia wenyewe
 
Takbirrrr πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜¬, hamas wavivyobaka na kuchoma vitoto Allah alifurahi sana sio.Israel na wabarikiwe na Yehova. Hakika upanga wa Goliath bado upo juu ya Wafilisti.
 
I firmly STAND with Israel
Ni Punguani pekee anayeweza kusimama na wapigania Allah kwa kuua, kuchinja na kubaka watu kwenye festival πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜. Sema Takbirrrr
 
Wavaa pedo waongo sana
 
I firmly STAND with Israel
Mimi siwezi kusimama na upande wowote unaotoa uhai wa binaadamu mwenzangu hata kuwe na sababu ya aina gani, acha hizi waisrael na wapalestina wa kitanzania wanazoshangilia. Sisi tuhangaike na vyoo vya shimo badala ya kushinda huku na kuchukua pande za watu ambao hawana hata mpango nasi waafrika maskini.
 
Unatoa Ushuhuda huu ukiwa hapo Tel Aviv au hapo Kashwagara - Karagwe??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo anaua bila sababu bwana Hakimu? are you stupid by birth or are you taking drugs? mijinga kama aljazeera na miarabs mengine yaani michokozi then ikipigwa inalia kuwa inaonewa... this time nilijua waliposhangilia sana walipokuwa wanatimiza nguzo za Kiislam za kuchinja wayahudi Saturday then kill Christian on Sunday
 
watoto ni watu pia pia hata wanaume na sisi tunahaki ya kuishi pasipo kubaguliwa.
Tuombe wapate mwafaka ili watu waish kama wana wa adamu na si kama wanyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…