Jeshi la israel kuiavamia Lebanon

Hali ni mbaya uko lebanon
Ritz
Webabu
Adiosamigo
Kosugi
Nendeni mka changie damu ndugu zenu wana lipuka lipuka ovyo mitaani uko


View: https://x.com/MyLordBebo/status/1836037955653124349?t=Gntklu42F5AM3xf8laeYlw&s=19
Mbona milipuko yenyewe midogo!?
Na kama Israel ndio kahusika hii inaonesha Israel ni dhaifu sana.
Huwezi ukatumia vilipuzi kwa raia wa kawaida.
Hapa ndio uone kuwa Israel dhaifu,kupigana na jeshi kama jeshi hawezi sasa ana install fear kupitia raia.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Huo ni uanamke.
Ngojea wanaume Hizbollah wapate info kamili halafu walipize.
 
Ukitumia mbinu ya kusaidiwa kwa misaada mingi wewe tayari ushaonesha ni dhaifu.
Kwasababu ikitokea wanaokusaidia wakakata msaada basi utakuja kudhoofika vibaya sana.
 
We umeona nilio mjibu alidai Israel anapigana peke sijui na nchi kazitaja wakati ni uwongo mtupu, yeye ndiye anaye saidiwa. Sa we umegeuza point.
 
Wameamua kwanza kuondoa mfumo wao wa mawasiliano kisha wawafanye bibaha
 
Hali ni mbaya uko lebanon
Ritz
Webabu
Adiosamigo
Kosugi
Nendeni mka changie damu ndugu zenu wana lipuka lipuka ovyo mitaani uko


View: https://x.com/MyLordBebo/status/1836037955653124349?t=Gntklu42F5AM3xf8laeYlw&s=19
Hao wameishiwa vita vimewashinda sa wana tumia The cyber attack wameweza kuhack hizo devices, hapo mimi naona huo ni ujinga wa Israel atasababisha kwanza watu dunia nzima wanze kuzikimbia hizo devices ambazo US na Israel wanapenya vile. Hio ni good news kwa China, Russia, Iran na South Korea wajtaaribu kuepukana na smartphone that runs on the Android operating system (OS)
 
Mungu ni mwema siku zote hapo wajanja washasanuka ni kurudi zama za mawe tu mpaka watakapo pata mfumo thabiti wa kwao wenyewe
 
ISRAEL INAPOSHAMBULIA HIVI INANIPA RAHA🀣🀣🀣🀣🀣🀣πŸ₯°πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…