Jeshi la Israel lafanya mashambulizi makubwa huko nchini Yemen na kusambaratisha kinu cha kuzalisha umeme na bandari


Si ajabu kwani Si mnatuambia walimuuwa mungu wenu au vipi?
 
Ilishatoka wakati ana mzaa Yesu
We nenda kasaidie kobazi wenzako wanakufa kama kuku wenye kideri
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
Subiri muda mchache tu, utamsikia ?omba uhai tu
 
Mzee hua una type ukiwa Chooni???
 
Yani ukizaliwa Israel mpaka unazeeka unakufa haupoi ni vita tu.
Ni muda sasa Tanzania kupeleka JWTZ huko Yemeni, Lebanon na Gaza kulinda amani, pengine hawa wanaweza wakaleta amani😃
 
Hii ni ngoma ya bibi yake babu wa baba mkwe alafu mkwe sasa wa shangazi yake babu
 
Muislam yeyote yule anayekufa akitetea mali yake ni shahidi, anayekufa akitetea maisha yake ni shahidi, anayekufa akitetea imani yake ni shahidi, na anayekufa akitetea familia yake ni shahidi." — (Sahih Muslim, Hadith 141)
Namkubali sana Putin. Alisema kazi yake ni kuwawahisha magaid kwa Mungu.
 
Muislam yeyote yule anayekufa akitetea mali yake ni shahidi, anayekufa akitetea maisha yake ni shahidi, anayekufa akitetea imani yake ni shahidi, na anayekufa akitetea familia yake ni shahidi." — (Sahih Muslim, Hadith 141)
Ushahidi una zawadi gani?
 
Wajinga ndio waliwao. Hizo ni hadithi tu (Mythology) kama za Sungura na Fisi. Ngoja waarabu wawadanganye tu wajinga nyie.
 

Huyu nae ndio kiongozi wa kutegemewa kwa akili hizi !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…