Jeshi la Israel linaongozwa na watu wasiojitambua

Kwa ufahamu wangu kuna taifa linatafutwa kuingia vitani kwa lazma lakini chanzo cha hiyo vita kimeanzia mbaali sana, i mean kimefichwafichwa.
Inawezekana kabisa Hamas walioshambulia Israel ni Israel yenyewe.
Mtoto anapigwa vibaya mtaani ili mzazi atokee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…