Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mwache abwabwaje hajui kuwa bwana wao anavutiwa pangoni, soon anapakwa mafuta hahahaHapo kuna mtu anatafutwa...
Si wajinga hao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache abwabwaje hajui kuwa bwana wao anavutiwa pangoni, soon anapakwa mafuta hahahaHapo kuna mtu anatafutwa...
Si wajinga hao!
Akili yako ndogo kama ya kondooSheria zihifadhi kwenye bukta yako.
Jiandae kama walivyojiandaa wana wa israeli maana haijulikani siku wala saa mwana waajemi atakapofika.Ametuangusha sana. Hivi 24 hrs bado tu.
Israeli anapiga makazi ya raia , waleta misaada hata wao kwa wao wanapigana risasi huko siyo kuchanganyikiwa?Unataka kufananisha vita vya mapanga kwamba mkivamia nyumba wahifadhini wanawake na watoto na vita ya sasa ya makombora. Kwamba kombora kabla ya kulipuka liwaondoe wasio na hatia kwanza?.
Iran si amesema ndani ya masaa 48 atalipa kisasa mbona hayo masaa yameisha hajafanya chochote?Hili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.
Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?
Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?
Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.
Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.
Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.
Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Kwa hiyo hamas inaongozwa na wanaojitambua kwenda kuteka raia wa israel na kujificha mapangoniHili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.
Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?
Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?
Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.
Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.
Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.
Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Wale n kama mbweha tuuu wanajificha migongon mwa raiaKwa hiyo hamas inaongozwa na wanaojitambua kwenda kuteka raia wa israel na kujificha mapangoni
Jinsi ulivyoipima ndivyo unaonesha kiwango chako cha kutafsiri taarifa.Akili yako ndogo kama ya kondoo
Huyo kamanda alikuwa ameenda Syria kufanya nini? Kama Iran alishatangaza vita dhidi ya Israel kupitia Hezibollar, Houth na Hamas ilitegemea Israel afanyeje?Kushambulia balozi za taifa lengine zina thibitisha kuwa jeshi lina ongozwa na vichaa sio watu wenye akili timamu
Wewe ndio huna akili, Iran alishatangaza vita na Israel, Iran alishasema anataka kuifuta Israel kwenye raman ya dunia, nchi inayotaka kukufuta huwezi kuichekeaUnafananisha ubalozi na Airport wewe akili zimo kweli ?
Kweli kuna watoto na watu wajinga sana wengi humu
Jidanganyeni tu nyinyi islamistsHili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.
Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?
Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?
Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.
Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.
Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.
Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Namaanisha shambulizi la kushtukiza, hata hivyo they handled it well[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo ulitaka wasishambuliwe ghafla?
Hujawaelewa, MI (military Intelligence) yao ipo juu sana, kule wanashambulia vyanzo hatarishi na vyenye mchango kwenye vita mamaHili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.
Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?
Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?
Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.
Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.
Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.
Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Zaidi ya 75%Kwahiyo Hamas kafanikiwa?
Biden anacheka tu moyonihizo ni siasa tu
Bomu likitua sehemu linasafisha kila kitu kitakachokuwepo sehemu husika mpaka sisimizi
Vita haina macho wala sheria
Upo vizuri sana kwenye ubongoIsrael hajashambulia ubarozi kwa bahati mbaya kafanya makusudi kwa sababu nyuma ya vikindi vyote vinavyo mshambulia yupo Iran akipigana vita na Israel kutumia proxies Sasa hili Israel ka m Provoke Iran direct ili aingie kwenye battlefield yeye na sio kutumia proxies ( chawa) Wake hapa inatafutwa justification ya kupigana direct sio kutumia vikundi
Remember October 7 Hamas walisheherekea kuipa adabu Israel Lakini bahati mbaya hawakujua ni Kama waliwapa justification WA Israel kuipiga Gaza mfano mmoja "ni Kama Kuna mbwa kila siku anavizia kuku zako anakula anakimbia siku Moja unaamua kumfungulia Banda aingie ale vizuri harafu uite majirani mumuue"
Huu ndio mtego Iran kila siku anauruka tunasubili this time tuone ataingia vitani au nae atajibu kwa kushambulia MOSSAD warehouse ( blacksite )uko iraq au nchi nyingine na si Israel au atatumia proxies wake kushambulia ardhi ya Israel
Muwe mnaelewa kwanza historia.Hili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.
Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?
Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?
Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.
Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.
Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.
Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Ndiyo maana ya vita mkuu.Israeli anapiga makazi ya raia , waleta misaada hata wao kwa wao wanapigana risasi huko siyo kuchanganyikiwa?
kuwepo sio shida najua kwamba huwa zipoKuna sheria za vita mkuu usidanganye wasiojua.