Jeshi la Israel linaongozwa na watu wasiojitambua

Jeshi la Israel linaongozwa na watu wasiojitambua

Ndio maana nikakwambia lazima kuwe na proportionality!Hapa tunazungumzia int law!
The principle of proportionality (Article 51(5) (b) API) states that even if there is a clear military target it is not possible to attack it if the expected harm to civilians, or civilian property, is excessive in relation to the expected military advantage.
Sheria zipo lakini kunapotokea vita mara nyingi sheria hizo zinavunjwa.

Rejea Iraq War, Ukraine war, Gaza war.
 
Wenzako wanajificha kwenye mahema huko Israeli wewe unapiga domo huko tandika.
Wanalinda raia wao! Sio kama Hamas wanaanzisha vita halafu wanakimbilia kujificha nyuma ya wanawake na watoto. Bure kabisa haya magaidi
 

Attachments

  • IMG_3778.jpeg
    IMG_3778.jpeg
    360.6 KB · Views: 1
Hili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.

Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?

Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?

Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.

Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.

Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.

Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Tatizo ni Bwana Manyau na Mjukuu wake Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy ... hawa watu waanataka kuingizi Dunia kwenye Vita visivyotuhusu... Mkombozi hapa ni Trump tu...hizi Vita zitaisha baada ya Marekani kuacha kulipia gharama za kuendesha hizi vita.
 
Sheria zipo lakini kunapotokea vita mara nyingi sheria hizo zinavunjwa.

Rejea Iraq War, Ukraine war, Gaza war.
Kwa hii vita ya Gaza imezidi kipimo,imevunja record nyingi za vita combined!Ndio maana hata ICJ wameona kuna viashiria vya Genocide!Hii vita kinachofanyika ni collective punishment!
Kauli hizo zilisema mwanzo kabisa na viongozi wa Israel kabla ya vita kuanza!Walisema "we are fighting human animals so no food,no water,no energy,nothing"!Ndicho kimechotokea!
Baadhi ya record hii vita iliyovunja ni kama hizi
*Kuua watoto wengi zaidi kwa muda mfupi kuliko vita nne za hivi karibuni combined!
*Kuua AID workers wengi zaidi kuliko vita yeyote ile!
*Kuua wauguzi wengi zaidi
*Kushambulia hospital nyingi zaidi
*Kushambulia vituo vingi zaidi vya UN
 
Wamechanganyikiwa walijua Hamas ni wiki 1 tu watakua wamewamaliza wanashangaa wanaume bado wanawashughulikia . Kwa hasira wanaua raia , watoto na watoa missada.
Kama putin eeh kobaz wanafiki sana kwa hiyo hadi sasa putin kashindwa kisa vita havijaisha?
 
Acha kuchekesha watu,yaani chanzo chako cha habari ni Iran observer,hakuna habari hapo,hizo propaganda za ayatollah na chawa wake lakini Israel (taifa teule) hali ni shwari kabisa na magaidi yanazidi kupelekewa moto maana ndio lugha yanaelewa.
Unaruhusiwa kujifariji hali ni mbaya sana hapo Israeli kwasasa
 
Unajua unachokiongea au...Hitler na Wajapan walijisemeshaga hivyo hivyo kilichowakuta kila mtu anajua, Zionism ideology sijui inahitaji kuifanya nn dunia wakimalizana na waarabu watakuja kusema Afrika ni yao sijui utakubali...
Fresh tu mbona nyie udugu wenu hauna mipaka(dunia nzima) hata awe jambazi ni ndugu katika imani na tunaona mnavyoteteana katika conditions zote ,hayo ndio madhara ya mtume wenu kuwahi kuwa mshika jambia,mnapenda sana shari.
 
Kwa hii vita ya Gaza imezidi kipimo,imevunja record nyingi za vita combined!Ndio maana hata ICJ wameona kuna viashiria vya Genocide!Hii vita kinachofanyika ni collective punishment!
Kauli hizo zilisema mwanzo kabisa na viongozi wa Israel kabla ya vita kuanza!Walisema "we are fighting human animals so no food,no water,no energy,nothing"!Ndicho kimechotokea!
Baadhi ya record hii vita iliyovunja ni kama hizi
*Kuua watoto wengi zaidi kwa muda mfupi kuliko vita nne za hivi karibuni combined!
*Kuua AID workers wengi zaidi kuliko vita yeyote ile!
*Kuua wauguzi wengi zaidi
*Kushambulia hospital nyingi zaidi
*Kushambulia vituo vingi zaidi vya UN
Kwa vita ya Gaza sikatai.
 
Israel ni kama genge la wahuni, vibaka na watu wasiowatakia mema wananchi wao.

Hata US mwenyewe licha ya kuwa na misilaha, uchumi wa hali ya juu na nguvu za kijeshi hajawahi kufanya huo ujinga kushambulia makamanda wa North Korea licha ya NK kutest makombora kila siku.
Israel haifahamu vita ikoje wanaume waliopigana WWII wanafahamu vita ipo vipi, achana na huyo kichaa anajisifu na six days war na operation Entebbe.

Watu wanetwangana vita karibu miaka 7, Iran imepigana miaka 8 chini ya vikwazo akiwepo Sadam akisaidiwa na USSR, Europe ,US Saudia , Qatar n.k Iran ni kama ilikuwa inapigana na dunia lakini wanaume akuna mpuuzi alipiga hatua hata km 1 kwenye mipaka yake. Hilo battle Israel haiwezi miaka 100.

Wanaoifahamu vita wanapenda amani.

Israel kushambulia balozi ya Iran ni kucheza mind game na kuionyesha dunia kwamba bado ina nguvu na haitetereshwi na kikundi kidogo kama Hamas lakini deeply inside jamaa wapo hoi na nafikiri hadi hivi sasa wanajutia walichofanya.


Unaweza kutambua kwamba Israel ipo hoi kutokana na Iran hatua iliyoichukua hajawahi kutokea, intelligence ya Iran imegundua jamaa ni mdebwedo na wamefanya calculation zao wameona Israel ni paka tu. Middle East intelligence ya Iran ipo juu sana wale sio walevi kukurupuka.

Wanaoifahamu vita ni wapenda amani lakini ni mashetani wanyonya damu endapo wakiamua kuingia vitani.
Hata US hakujibu Iran ilipopiga kambi zake pale Iraq kwa sababu wanaifahamu vita itakuaje.
 
Wangekua wanajua kulinda raia wao wale 1400 wa tarehe 7 oktoba wangekua hai mpaka leo
Kwa taarifa yako Kuna vitu hizi serikali huviacha vitokee for the great cause

Egypt ali share Intel kwa MOSSAD kuhusu uwezekano wa shambulio before October 7 Lakini Ndio kwanza Israel ikalegeza ulinzi mpakani so kuna Mambo ambayo wakubwa hupanga yatokee ili kupata justification ya kuvamia

Wote tunajua Israel ilikua Haina uwezo wa kuingia directly Gaza strip bila sababu yenye mashiko and out of Blue mburura Hamas akajua Ndio muda wa kujipigia kuna huu mfano mmoja "Ni Kama Kuna mbwa kila siku anavizia kuku zako anakula anakimbia siku Moja unaamua kumfungulia Banda aingie ale kuku vizuri harafu uite majirani mumuue"

Amini Hamas wanajuta Kwa kuvamia Israel Kwa wanayo pitia mama zao watoto wao na dada zao
Screenshot_20240403-084628_022442.png
Screenshot_20240403-084706_022508.png
 
Israel ni kama genge la wahuni, vibaka na watu wasiowatakia mema wananchi wao.

Hata US mwenyewe licha ya kuwa na misilaha, uchumi wa hali ya juu na nguvu za kijeshi hajawahi kufanya huo ujinga kushambulia makamanda wa North Korea licha ya NK kutest makombora kila siku.
Israel haifahamu vita ikoje wanaume waliopigana WWII wanafahamu vita ipo vipi, achana na huyo kichaa anajisifu na six days war na operation Entebbe.

Watu wanetwangana vita karibu miaka 7, Iran imepigana miaka 8 chini ya vikwazo akiwepo Sadam akisaidiwa na USSR, Europe ,US Saudia , Qatar n.k Iran ni kama ilikuwa inapigana na dunia lakini wanaume akuna mpuuzi alipiga hatua hata km 1 kwenye mipaka yake. Hilo battle Israel haiwezi miaka 100.

Wanaoifahamu vita wanapenda amani.

Israel kushambulia balozi ya Iran ni kucheza mind game na kuionyesha dunia kwamba bado ina nguvu na haitetereshwi na kikundi kidogo kama Hamas lakini deeply inside jamaa wapo hoi na nafikiri hadi hivi sasa wanajutia walichofanya.


Unaweza kutambua kwamba Israel ipo hoi kutokana na Iran hatua iliyoichukua hajawahi kutokea, intelligence ya Iran imegundua jamaa ni mdebwedo na wamefanya calculation zao wameona Israel ni paka tu. Middle East intelligence ya Iran ipo juu sana wale sio walevi kukurupuka.

Wanaoifahamu vita ni wapenda amani lakini ni mashetani wanyonya damu endapo wakiamua kuingia vitani.
Hata US hakujibu Iran ilipopiga kambi zake pale Iraq kwa sababu wanaifahamu vita itakuaje.
Mkuu umekunywa wanzuki?

mbona Iran yupo Kwenye quarrel na Israel muda mrefu chokochoko nyingi wamesha fanyiana na na Israel

Israel kuua wanasayansi kuharibu Vinu vya nuclear Uku Iran iki wa fund proxies wake anawatumia kushambulia Israel na Ndio kiongozi anae provide Intel strategy & tactics pamoja na siraha

Kitu inasubiliwa apa ni hiyo retaliation tuone atapiga direct ardhi ya Israel au atashambulia MOSSAD warehouse (blacksite) nje ya mipaka ya Israel yaani uko iraq au nchi nyingine au ndio ataendeleza uoga wake atumie chawa wake (proxies) kina Hezbollah kushambulia
 
Back
Top Bottom