Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #21
Nini ?Kwahiyo Hamas kafanikiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini ?Kwahiyo Hamas kafanikiwa?
Wajerumani na wajapan nao walikuwa hivyo hivyo sasa wametuliaHilo hilo ndio linabutua waarabu woote ukanda woote wa Middle East.....endelea kubwabwaja
Hizo sheria zinaruhusu adui kujificha nyuma ya kinamama na watoto?! Au inaruhusu kurusha maroketi toka mashuleni, hospital, vyuoni, makazi ya watu, ofisi za jumuiya ya kimataifa?Vita ina sheria zake wewe hii ipo tangu enzi za mitume.
Namna unavyoandika ni kama mtu aliyevaa miwani ya mbao asione kabisa,yaani akili yako haiko tayari kupokea tofauti na kile ulichokariri/karirishwa!Hizo sheria zinaruhusu adui kujificha nyuma ya kinamama na watoto?! Au inaruhusu kurusha maroketi toka mashuleni, hospital, vyuoni, makazi ya watu, ofisi za jumuiya ya kimataifa?
Hajielewi huo mkuu.hizo ni siasa tu
Bomu likitua sehemu linasafisha kila kitu kitakachokuwepo sehemu husika mpaka sisimizi
Vita haina macho wala sheria
Kumbuka hajauliwa barozi kauliwa kamanda wa IRGC brigadier general Mohammed Reza Zahedi ambae yupo Syria kimkakati kuongoza vikundi vinavyo mshambulia Israel ni MTU ambae alikua ana provide Intel , strategy na siraha kwa adui hili shambulio sio la bahati mbaya ni wameifanya MakusudiKushambulia balozi za taifa lengine zina thibitisha kuwa jeshi lina ongozwa na vichaa sio watu wenye akili timamu
Hujaandika ine details, field manuals zao zikoje, rules of engagement, tacticts. In details elezea wapi wanakosea na wafanye nini?Hili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.
Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?
Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?
Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.
Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.
Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.
Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.
Toka lini jeshi linaongozwa na wafua chupi? . Vita ikishaanza lolote linaweza kutokea. Israel wakati anaingia kupiga gaza hayo unavyosema yote wameyajadili kwa upana wake na uzito unaostahiki ndiyo maana hata nani apige pale naye atapigwa pia. Hilo ni taifa la Vita na visasi.Kushambulia balozi za taifa lengine zina thibitisha kuwa jeshi lina ongozwa na vichaa sio watu wenye akili timamu
Siyo mara ya kwanza kwa Israel kufuata maadui kokote walipo, walishafanya Uganda tena wakishambulia Entebe airport. Huyo kamanda wa jeshi la Iran alikuwa anafanya nini huko Syria? Pia Iran alishasema anatafuta namna ya kuifuta Israel,kwa mantiki hiyo Iran alishatangaza vita.Kushambulia balozi za taifa lengine zina thibitisha kuwa jeshi lina ongozwa na vichaa sio watu wenye akili timamu
Hayo magaidi mbona hayafuati hizo Sheria?hapo ni kutwanga tu na ndio lugha magaidi wanaielewa.Vita ina sheria zake wewe hii ipo tangu enzi za mitume.
Naunga mkono hojaSiyo mara ya kwanza kwa Israel kufuata maadui kokote walipo, walishafanya Uganda tena wakishambulia Entebe airport. Huyo kamanda wa jeshi la Iran alikuwa anafanya nini huko Syria? Pia Iran alishasema anatafuta namna ya kuifuta Israel,kwa mantiki hiyo Iran alishatangaza vita.
Kwa nini Urusi haipigi mabomu ikulu ya Kyiv aisambaratishe ?Kumbuka hajauliwa barozi kauliwa kamanda wa IRGC brigadier general Mohammed Reza Zahedi ambae yupo Syria kimkakati kuongoza vikundi vinavyo mshambulia Israel ni MTU ambae alikua ana provide Intel , strategy na siraha kwa adui hili shambulio sio la bahati mbaya ni wameifanya Makusudi
Wewe makosa yao huyaoni mpaka sasa ?Hujaandika ine details, field manuals zao zikoje, rules of engagement, tacticts. In details elezea wapi wanakosea na wafanye nini?
Unafananisha ubalozi na Airport wewe akili zimo kweli ?Siyo mara ya kwanza kwa Israel kufuata maadui kokote walipo, walishafanya Uganda tena wakishambulia Entebe airport. Huyo kamanda wa jeshi la Iran alikuwa anafanya nini huko Syria? Pia Iran alishasema anatafuta namna ya kuifuta Israel,kwa mantiki hiyo Iran alishatangaza vita.
Umekosa cha kuandika ukaamua uandike hiki ?Lipizeni ndani ya Israel kama mnaweza maana yanaenda masaa 72 sasa
Wenzako wanajificha kwenye mahema huko Israeli wewe unapiga domo huko tandika.Hayo magaidi mbona hayafuati hizo Sheria?hapo ni kutwanga tu na ndio lugha magaidi wanaielewa.
Una point, ila siamini kuwa eti Israel kakurupuka hiyo ni calculated move....Israel siyo wajinga....muda utaongea....Hili jeshi la Israel lina tilia shaka kubwa sana kama ni professional army au genge la wahalifu lililo kusanywa tu hovyo hovyo na kuanza kupigana na waarabu hapo mashariki ya kati.
Ukitazama namna ambavyo hata vita vyao vya Gaza wanavyo viendesha ni kama wendawazimu walio changanyikiwa sijui nini kinawasibu au overconfidence ya kuwa wana backup kubwa ya mataifa ya magharibi ?
Unajiuliza taifa lako lipo kwenye vita ambayo hata hamjaimaliza wala malengo yenu kutimia bado hapo hapo unashambulia balozi za taifa hasimu lako hawa watu wapo timamu ?
Hivi hata washauri wenye hekima kwenye jeshi lao wapo ? Au kwao kila kitu nguvu akili kisoda. Unaweza vipi kushambulia ubalozi wa taifa lengine kama kweli wewe ni nchi unayo jitambua.
Huyu Israel hapo mashariki ya kati hana tofauti na Japan wakati ule wa miaka ya vita vya dunia kule Asia.
Japan alikuwa kama amechanganyikiwa yeye kila jirani yake ni kuanzisha ugomvi pale anapoa jisikia bila kujali madhara ila baada kutulizwa katulia tuli hadi leo sawa tu na ujerumani.
Nae huyu Israel anaelekea kulekule kwenye kutulizwa.