Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hamas bana wanajua kudili na mazayuni
Yaani kundi zaidi ya moja unashangaa wanapambanaje pambanaje hawa watu
Sidhanii kama wana mawasiliano kama mazayuni
Ila kwa upande wao mpaka sasa sijawahi sikia masuala sijui ya friendly faya wala nini
Mazayuni wanatakiwa kusagwa sagwa haswaaaa...
Mazayuni hayana akili wana mpaka majeshi mashoga [emoji52][emoji52][emoji52]tofauti ya Hamas na Israel ni kwamba Hamas wao hawaogopi kufa kwani kufa kishujaa kwao ni bora kuliko manyanyaso na mateso wanayopitishwa na Israel.
Israel wao wanaogopa kifo balaa yani ni askari lakini hawapendi kufa hapo wameuliwa tu kidogo tayari wanakimbia..tehhh
siku wakiuliwa kwa wingi kama wao walivyoua Palestina basi wata resign kabisa na huo uanajeshi wataacha
Kwa tafsiri nyingine hao jamaa wanato jeshi lote kama utatoa wanajeshi maana unawaexpose watakao kuwepo kwenye hatari zaidiNa ndio ukweli wenyewe na huo ndio mwanzo wa kuikimbia ghaza
Wanajifanya wajanja ila tushajua kama wanaikimbia ghaza wameshindwa kuikalia kama walivyokua wanataka
Maana vifo kwao vimekua vingi sana kinyume na matarajio yao
Vilema wamekua wakutosha kinyume na matarajio yao
Tatizo lako unafikiri wazayuni wanakutambua wewe golo halafu mkristo?Jifarijini tu, Gaza na wapalestina wanauawa kila siku, mwisho wa siku mtaona Gaza haipo, kwa suala la mateka Israel ameshasema liwalo na liwe, lakini tunaifuta Gaza, mimi nawahurumia wapalestina, tutakuja kushtuka watu 100000 wamekufa.
Bungo linatemwa kitaalamu sana awamu hii, wenzao Hamas washapata moto wao ndiyo kwanza wameanza kurudi nyuma.Hao vita ya uso kwa uso wameshindwa.
Wanaondowa majeshi yao ili waanze kutumia silaha za maangamizi kwa ndege. Nayo hawatashinda.
Hakuna aliyewahi kushinda vita kwa remote.
Hadi kufikia juziMazayuni walitangaza malengo (objectives) tatu na kwa miezi mitatu sasa, zote wameshindwa kuytimiza.
1) Kuwaondowa Wapalestina wote Ghaza - eameshindwa. Walichoweza ni kuuwa watoto, wanawake, wazee na wagonjwa kwa wingi.
2) Kuwamaliza Hamas wote , hii nayo wameshindwa, tunawaona Hamas bado wanawachapa mazayuni kila kukicha.
3) Kuikalia (occupy) Ghaza, hili nalo wameshindwa. Tunawaona wakihenyeshwa na wakiondoa majeshi yao kimya kimya vichwa chini kwa aibu.
Na miguvu ya na mali zao na majeshi yao na ya mabwana zao, na maaskari wakukodi, na midege ya kivita na vifari advanced duniani.
Na yote hayo wameshndwa, hawa Hamas wana nguvu kiasi gani? Hapo ndiyo tunapata jibu, dua za mwenye kudhulumiwa zinajibiwa papo kwa papo.