Jeshi la Kenya lililopelekwa nchini Congo linatia aibu

Jeshi la Kenya lililopelekwa nchini Congo linatia aibu

Tanzania toka mwanzo hatujataka kujihusisha na mambo ya Msumbiji ndomaana unaona magaidi ya Msumbiji yanatamba kivile. Ikumbukwe kwamba magaidi hao wa Msumbiji walianzia oparation zao Tanzania huko mkuranga na kibiti mkoani Pwani.

Hata hivyo Tanzania kupitia jeshi letu lenye uweledi mkubwa, tulifanikiwa kuwaangamiza magaidi wale hadi wengine wakapata upenyo wa kukimbilia Msumbiji kuanzisha uasi mungine kule katika nchi ambayo haina ulinzi wa kutosha kuwatokomeza.

Sasa kifupi sisi tuko vizuri ndio maana unaona mpaka leo magaidi wale wamebakia huko huko Msumbiji, hakuna panya hata mmoja mwenye mawazo ya kurudi kuanzisha tena uasi katika ardhi yetu.

By the way jeshi la Tanzania lipo vizuri kivita, na hii ni kwa sababu ya ueledi mkubwa uliopo ndani jeshi letu. Hatujawahi kushindwa vita kuanzia zile za ukombozi wa waafrika wenzetu huko Zimbabwe, Msumbiji, Namibia nk.
Lakini pia hata hivi vita vya sasa huwa tunaacha alama kubwa isiyosahaulika. Tulichokifanya huko Congo mwaka 2013 dhidi ya M23 hakitasahaulika katika vichwa vya M23 wengi, hapo sijazungumzia ukombozi wa kisiwa cha Comoro nk.

Kenya, Uganda, Rwanda na nchi zingine za EAC hawana historia inayofanana na yetu hata 1. Mwenye historia yoyote kuhusu nchi moja yapo kwa upande wa jeshi atuletee tupimanishe na historia ya Tanzania.

Sio mtu aje na historia ya kipuuzi sijui jeshi la Kenya liliwashinda magaidi pale wast gate nk.

Karibu sana tujadili.

Asante kwa somo!!
 
Hiki ulichoandika hapa nahisi kina ukweli ndani yake.

Jamaa wakati wanafika fika Congo kuna clip ilioneshwa jeshi la Congo likiwaoneesha Wakenya mahali zilipo ngome za M23. Wakawaelekeza na njia za kupita kufika huko katika ngome zao.

Cha kushangaza hadi leo ni mwezi wa nne sasa Wakenya hawajarudi tena katika yale maeneo waliyooneshwa.

Ila kila unapokwenda kwenye gest au hotel utawakuta wanajeshi wawili au watatu wanatoka ndan ya gest. Sasa utajiuliza hawa wamekwenda vitani au kufanya mapenzi na warembo wa kinyamulenge?

Hatari sana
 
Najiuliza kijinga jinga tu, kwanini Raisi wa Kongo hasiongee na Samia wachukue sehemu ya jeshi la Tanzania waende kwenye lile eneo misituni humo wasafishe lakini wasiondoke wapewe mamlaka kamili ya kutawala lile eneo angalau kwa miaka 5 kuhakikisha hakuna vimelea vya waasi vimebaki. Kwa kipindi hicho jeshi la Kongo liwe linajenga kambi kubwa kubwa misituni na mashambani kwa ajili ya kulinda Mipaka ya nchi yao. Hali ya Usalama ikitengemaa mamlaka wanawaachia Jeshi la Kongo, kuliko kuendelea kudeal na makundi aya ambayo baadhi yanamilikiwa na Magenerali wa Jeshi la Kongo.

Tanzania imeangalia vizuri hii vita ndiyo maana imekaa pemben!
 
Wakenya lile tukio la West gate tu lilionyesha udhaifu wao,Jeshi lilienda mpaka na Vifaru na Alshabaab wakatoroka via mabomba ya maji machafu
Kule somalia makamanda wao wamebaki ku deal na biashara za mikaa ya magendo tu ,hawa jamaa jeshi lao vifaa wanavyo shida hakuna discipline wana njaa sana,,,,,west gate kuna askari wao walivyoingia ndani wakawa wanakimbilia kubeba mikate
 
Najiuliza kijinga jinga tu, kwanini Raisi wa Kongo hasiongee na Samia wachukue sehemu ya jeshi la Tanzania waende kwenye lile eneo misituni humo wasafishe lakini wasiondoke wapewe mamlaka kamili ya kutawala lile eneo angalau kwa miaka 5 kuhakikisha hakuna vimelea vya waasi vimebaki. Kwa kipindi hicho jeshi la Kongo liwe linajenga kambi kubwa kubwa misituni na mashambani kwa ajili ya kulinda Mipaka ya nchi yao. Hali ya Usalama ikitengemaa mamlaka wanawaachia Jeshi la Kongo, kuliko kuendelea kudeal na makundi aya ambayo baadhi yanamilikiwa na Magenerali wa Jeshi la Kongo.
Congo watu hawataki vita iishe, mpaka mavuno yaishe, nasikia baada ya Tanzania kuwaangamiza M23, walipewa vikwazo vingi, na kulazimishwa kurudisha silaha ng'oa ng'oa Tanzania.

Hivyo hivi sasa hata JWTZ halima meno ya kupigana na M23, wamenyang'anywa silaha zenye uwezo. tusiwalaumu Wakenya wanafuata maelekezo.
 
Congo watu hawataki vita iishe, mpaka mavuno yaishe, nasikia baada ya Tanzania kuwaangamiza M23, walipewa vikwazo vingi, na kulazimishwa kurudisha silaha ng'oa ng'oa Tanzania.

Hivyo hivi sasa hata JWTZ halima meno ya kupigana na M23, wamenyang'anywa silaha zenye uwezo. tusiwalaumu Wakenya wanafuata maelekezo.

Siamini
 
Hiki ulichoandika hapa nahisi kina ukweli ndani yake.

Jamaa wakati wanafika fika Congo kuna clip ilioneshwa jeshi la Congo likiwaoneesha Wakenya mahali zilipo ngome za M23. Wakawaelekeza na njia za kupita kufika huko katika ngome zao.

Cha kushangaza hadi leo ni mwezi wa nne sasa Wakenya hawajarudi tena katika yale maeneo waliyooneshwa.

Ila kila unapokwenda kwenye gest au hotel utawakuta wanajeshi wawili au watatu wanatoka ndan ya gest. Sasa utajiuliza hawa wamekwenda vitani au kufanya mapenzi na warembo wa kinyamulenge?
Wameenda kutafuna mbususu!! Hata hiyo nayo ni vita,hamjui tu
 
Najiuliza kijinga jinga tu, kwanini Raisi wa Kongo hasiongee na Samia wachukue sehemu ya jeshi la Tanzania waende kwenye lile eneo misituni humo wasafishe lakini wasiondoke wapewe mamlaka kamili ya kutawala lile eneo angalau kwa miaka 5 kuhakikisha hakuna vimelea vya waasi vimebaki. Kwa kipindi hicho jeshi la Kongo liwe linajenga kambi kubwa kubwa misituni na mashambani kwa ajili ya kulinda Mipaka ya nchi yao. Hali ya Usalama ikitengemaa mamlaka wanawaachia Jeshi la Kongo, kuliko kuendelea kudeal na makundi aya ambayo baadhi yanamilikiwa na Magenerali wa Jeshi la Kongo.
Samia asiungie huu mtego,asubiri marais wanaume waje,sasa hiv adeal na watakaotuletea chokochoko ndani kwetu,
 
Kwasababu wakenya wengi ni wajanjajanja,hawa watakuwa wameenda kuchukua madini hakuna kingine

Majeshi ya msaada karibu yote yana interest zao binafsi na sio kuwasaidia wana nchi!
Nchi yetu Tanzania [emoji1241] tu ndio tulikuwa waungwana na tulisaidia nchi karibu tano na Jeshi lenyewe mpaka walipata uhuru wao nasi tukaondoka bila kuchukua kitu chochote kutoka hizo nchi!
Ndio maana nwaomba jeshi la waombaji walio hapa JF lazima tumkbushe Mwenye Enzi Mungu kwa damu za ndugu zetu zilizo mwagika kwa ajili ya Africa nzima iwe huru, atutetee nchi yetu hii aondoe manyanyaso ya mafisadi na mijizi ya Taifa letu, tumkumbushe ili awalinde watoto, vijana na kina mama wanao nyanyasika!
Atupe akili, hekima, afya, ufahamu na utajiri!
Waombaji tuendelee kumkumbusha Mwenye Enzi Mungu![emoji1241][emoji2972]
 
Back
Top Bottom