Jeshi la Kenya lililopelekwa nchini Congo linatia aibu

Jeshi la Kenya lililopelekwa nchini Congo linatia aibu

Tusiwalaumu lakini hua nafikiri pengine hayo majeshi ya kulinda amani hua Wana maelekezo maalum, kwa sababu haiwezekani m23 waendelee kusonga mbele na wakati jeshi la kulinda amani Lina silaha bora kuliko wao

Kuna shida moja ya kupambana na waasi ambayo watu wengi hawajui kuendesha vita kuna sheria zake za kimataifa unavyo pigana inakulazimu kufuata sheria hizi sheria majeshi yote rasmi ya nchi hutakiwa kuzifuata lakini waasi na makundi ya kigaidi hayafuati sheria sasa kupigana na mtu asie fuata sheria papo hapo kuna raia wa kawaida ndani yake ni ngumu kumdhibiti kwa mfano huruhusiwi kupiga raia lakini waasi kuna wakati wakitingwa wanavua nguo za kijeshi wanajichanganya na raia hutakiwi kutumia nguvu kupita kias kuna haki za binadamu ni ngumu mno
 
Najiuliza kijinga jinga tu, kwanini Raisi wa Kongo hasiongee na Samia wachukue sehemu ya jeshi la Tanzania waende kwenye lile eneo misituni humo wasafishe lakini wasiondoke wapewe mamlaka kamili ya kutawala lile eneo angalau kwa miaka 5 kuhakikisha hakuna vimelea vya waasi vimebaki. Kwa kipindi hicho jeshi la Kongo liwe linajenga kambi kubwa kubwa misituni na mashambani kwa ajili ya kulinda Mipaka ya nchi yao. Hali ya Usalama ikitengemaa mamlaka wanawaachia Jeshi la Kongo, kuliko kuendelea kudeal na makundi aya ambayo baadhi yanamilikiwa na Magenerali wa Jeshi la Kongo.

Nchi ili iwe imara na Rais awe imara na nguvu kwenye uendeshaji na uongozi wa nchi ni lazima kuwe na vitengo vya ujasusi vilivyo imara na vinautii nidhamu uaminifu mkubwa na siri kwa Rais sasa Congo wanashida kwenye vitengo vya usalama huwezi panga jambo na wasaliti ukafanikiwa maana Rais hawez fanya kila
 
Najiuliza kijinga jinga tu, kwanini Raisi wa Kongo hasiongee na Samia wachukue sehemu ya jeshi la Tanzania waende kwenye lile eneo misituni humo wasafishe lakini wasiondoke wapewe mamlaka kamili ya kutawala lile eneo angalau kwa miaka 5 kuhakikisha hakuna vimelea vya waasi vimebaki. Kwa kipindi hicho jeshi la Kongo liwe linajenga kambi kubwa kubwa misituni na mashambani kwa ajili ya kulinda Mipaka ya nchi yao. Hali ya Usalama ikitengemaa mamlaka wanawaachia Jeshi la Kongo, kuliko kuendelea kudeal na makundi aya ambayo baadhi yanamilikiwa na Magenerali wa Jeshi la Kongo.
Hapo kwenye point yako... makundi yanayomilikiwa na magenerali wa kondo.... hapo ndipo kwenye tatizo. Unakumbuka tulipowafanyizia m23 mpaka Kagame akammaindi Kikwete? Kilichofuata tulipoteza baadhi ya vijana wetu, na kinachofanyika ni kwamba kuna watu waliopamoja nao wanauza mchongo ili wapigwe. Kwa hiyo vibaraka wa hao makamanda ndo tatizo ukifanya kweli lazima wakuuze kwa waasi. Ila ukiwa kama KDF hamna shida
 
Hapo kwenye point yako... makundi yanayomilikiwa na magenerali wa kondo.... hapo ndipo kwenye tatizo. Unakumbuka tulipowafanyizia m23 mpaka Kagame akammaindi Kikwete? Kilichofuata tulipoteza baadhi ya vijana wetu, na kinachofanyika ni kwamba kuna watu waliopamoja nao wanauza mchongo ili wapigwe. Kwa hiyo vibaraka wa hao makamanda ndo tatizo ukifanya kweli lazima wakuuze kwa waasi. Ila ukiwa kama KDF hamna shida

Asee! Sikujua kama vita ya kagame na kikwete chanzo ni hiki!
 
Kwema wakuu,

Wengi tulijua tu kwamba jeshi la Kenya halitaweza hata kurusha jiwe kwa kundi hilo la waasi wa M23, kutokana na jeshi hilo kuliogopa vibaya kundi hilo. Sasa hali inazidi kuwa mbaya na kundi hilo linazidi kuteka maeneo mbele ya macho ya jeshi la Kenya huku Wakenya wakiangalia tu.

View attachment 2497625

Waasi wa M23 wanadai kuuteka mji wa Kitshanga/Kitchanga katika eneo la Masisi nchini DR Congo baada ua siku tatu za mapigano makali.

Mashirika ya Kiraia na Majeshi ya Umoja wa Mataifa nchini DRC yamelaani mashambulizi ya kijeshi ya M23, ambayo sasayamesukuma zaidi ya raia laki nne kuyakimbia makazi yao.

Redio ya Okapi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti kuanguka kwa Kitshanga kwa waasi.
M23 wakiwashiwa moto kichanga na kdf na kupigwa utasikia wanajidai wameamua kukabidhi mji huo na kutaka kuandaa makabidhiano.
M23 wanacheza na akili za watu na wanajifanya wajanja sana. Ukweli wao ni jeshi la rwanda ya kagame anayejidai na watutsi wenzake wao hawashindwi kitu.
Dawa yao hawa ni kuwapiga. Shida hakuna wa kuwapiga maana jeshi la congo fardc ni mdebwede. Nina hakika kdf wakiamua kuwapiga hao watutsi wa m23 watakimbilia rwanda.
 
Kuna shida moja ya kupambana na waasi ambayo watu wengi hawajui kuendesha vita kuna sheria zake za kimataifa unavyo pigana inakulazimu kufuata sheria hizi sheria majeshi yote rasmi ya nchi hutakiwa kuzifuata lakini waasi na makundi ya kigaidi hayafuati sheria sasa kupigana na mtu asie fuata sheria papo hapo kuna raia wa kawaida ndani yake ni ngumu kumdhibiti kwa mfano huruhusiwi kupiga raia lakini waasi kuna wakati wakitingwa wanavua nguo za kijeshi wanajichanganya na raia hutakiwi kutumia nguvu kupita kias kuna haki za binadamu ni ngumu mno
Exactly...

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania toka mwanzo hatujataka kujihusisha na mambo ya Msumbiji ndomaana unaona magaidi ya Msumbiji yanatamba kivile. Ikumbukwe kwamba magaidi hao wa Msumbiji walianzia oparation zao Tanzania huko mkuranga na kibiti mkoani Pwani.

Hata hivyo Tanzania kupitia jeshi letu lenye uweledi mkubwa, tulifanikiwa kuwaangamiza magaidi wale hadi wengine wakapata upenyo wa kukimbilia Msumbiji kuanzisha uasi mungine kule katika nchi ambayo haina ulinzi wa kutosha kuwatokomeza.

Sasa kifupi sisi tuko vizuri ndio maana unaona mpaka leo magaidi wale wamebakia huko huko Msumbiji, hakuna panya hata mmoja mwenye mawazo ya kurudi kuanzisha tena uasi katika ardhi yetu.

By the way jeshi la Tanzania lipo vizuri kivita, na hii ni kwa sababu ya ueledi mkubwa uliopo ndani jeshi letu. Hatujawahi kushindwa vita kuanzia zile za ukombozi wa waafrika wenzetu huko Zimbabwe, Msumbiji, Namibia nk.
Lakini pia hata hivi vita vya sasa huwa tunaacha alama kubwa isiyosahaulika. Tulichokifanya huko Congo mwaka 2013 dhidi ya M23 hakitasahaulika katika vichwa vya M23 wengi, hapo sijazungumzia ukombozi wa kisiwa cha Comoro nk.

Kenya, Uganda, Rwanda na nchi zingine za EAC hawana historia inayofanana na yetu hata 1. Mwenye historia yoyote kuhusu nchi moja yapo kwa upande wa jeshi atuletee tupimanishe na historia ya Tanzania.

Sio mtu aje na historia ya kipuuzi sijui jeshi la Kenya liliwashinda magaidi pale wast gate nk.

Karibu sana tujadili.
Enzi za nyerere mlipigwa migufuli midomoni congo hapo vipi.
 
hawa wazungu Jaribu kuharibu amani ktk nchi zao, dakika kadhaa tu tayari wamerekebisha amani jeshi zito linashushwa kwenye eneo la tukio. ila wakija Africa yan wanafanya utani tu, ivi unapiganaga na mtu wa misituni miaka nenda rudi, mtu silaha zenyewe duni, nyinyi wazungu mnakila aina ya silaha lakin mnashindwa kuwadhibiti
 
Kwema wakuu,

Wengi tulijua tu kwamba jeshi la Kenya halitaweza hata kurusha jiwe kwa kundi hilo la waasi wa M23, kutokana na jeshi hilo kuliogopa vibaya kundi hilo. Sasa hali inazidi kuwa mbaya na kundi hilo linazidi kuteka maeneo mbele ya macho ya jeshi la Kenya huku Wakenya wakiangalia tu.

View attachment 2497625

Waasi wa M23 wanadai kuuteka mji wa Kitshanga/Kitchanga katika eneo la Masisi nchini DR Congo baada ua siku tatu za mapigano makali.

Mashirika ya Kiraia na Majeshi ya Umoja wa Mataifa nchini DRC yamelaani mashambulizi ya kijeshi ya M23, ambayo sasayamesukuma zaidi ya raia laki nne kuyakimbia makazi yao.

Redio ya Okapi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti kuanguka kwa Kitshanga kwa waasi.
Halafu wakirudi home wanapewa medali daaa!
 
Back
Top Bottom