B47 GN9
Member
- Feb 4, 2022
- 75
- 133
Tusiwalaumu lakini hua nafikiri pengine hayo majeshi ya kulinda amani hua Wana maelekezo maalum, kwa sababu haiwezekani m23 waendelee kusonga mbele na wakati jeshi la kulinda amani Lina silaha bora kuliko wao
Kuna shida moja ya kupambana na waasi ambayo watu wengi hawajui kuendesha vita kuna sheria zake za kimataifa unavyo pigana inakulazimu kufuata sheria hizi sheria majeshi yote rasmi ya nchi hutakiwa kuzifuata lakini waasi na makundi ya kigaidi hayafuati sheria sasa kupigana na mtu asie fuata sheria papo hapo kuna raia wa kawaida ndani yake ni ngumu kumdhibiti kwa mfano huruhusiwi kupiga raia lakini waasi kuna wakati wakitingwa wanavua nguo za kijeshi wanajichanganya na raia hutakiwi kutumia nguvu kupita kias kuna haki za binadamu ni ngumu mno