goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Ataeleza vzr tu kwa heavyweight kichapoNadhani kidole cha Dr. kiliteleza tu pale kwenye marinda.... imagine baba ndio unaletewa taarifa kwamba mtoto wako kakataliwa na jeshi kwa kisa hiki daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataeleza vzr tu kwa heavyweight kichapoNadhani kidole cha Dr. kiliteleza tu pale kwenye marinda.... imagine baba ndio unaletewa taarifa kwamba mtoto wako kakataliwa na jeshi kwa kisa hiki daah
hahaha hizi hesabu nimekubali,Kwenye zile data za sensa tutoe 27% ya mashoga ndio tupate idada ya wanaume Tanzania
Nikidhani kwenye vipimo kabla hawajajiunga kuna test ya kuhesabu idadi ya marinda yaliyosaliaMkuu wa wilaya ya Iramba Selemani Mwenda amesema vijana hao nane kati ya thelathini waliyokosa sifa ya kujiunga na mafunzo ya JKT ni kutokana na vipimo kubaini kwamba wanajihusisha na vitendo vya ushoga.
Kijana mmoja alioneka akikimbia kwa kukata viuno na jinsi alivyokuwa akiweka mikono na vidole vyake ikaweka hali ya kutiliwa mashaka kuwa huenda anajihusisha na vitendo vya ushoga, alisema Kamanda Kanali wa JKT.
View attachment 2410072
Kwani nimekosea wapi mkuu, maana na Mimi nimefanya hesabu ya hao hao 30 waliofeli wakiwepo hao 8 waliokimbia kundi la uanammeWatu 8 kati ya 30 waliofeli ndio walikuwa mashoga. Ungesikiliza vizuri hapo mkuu wa wilaya aliposema. Hakuna mafunzo ya JKT yanayochukua watu 30 tu
Acha uongo wewe..Vijana 8 kati ya 30 inamaana karibia 27% ikimaanisha kwenye wanaume 100, 27 ni mashoga. Tuombe sana isee Hali ni mbaya .
Kwenye zile data za sensa tutoe 27% ya mashoga ndio tupate idada ya wanaume Tanzania.
Ndio kwenye Hilo kundi la vijana 30 waliorudishwa asilimia 27% walirudishwa kwa sababu za ushoga.Acha uongo wewe..
Ni 8 kati ya 30 ya waliorudishwa..i.e nane mashoga then hao 22 wanashida nyingine
Ana mbio kinoma yule mwamba hawezi kuwa shoga MkuuUkiambiaji tu au? Maana Raheem Sterling nae ana ukimbiaji wake amaizing sana.
Bawasiri inahusikaje hapa mkuu? Au ukipata bawasiri unabadili matendo na muonekano unakua wa kidadaSitetei ushoga ila hii nchi ina watu wenye imani za hovyohovyo sana.
Mwanasiasa anajiona na yeye ni daktari.
Kuna wengine masikini wana matatizo ya bawasiri, ikitokea kwenye ukaguzi kama huo iwe ni jeshini au jela na yeye moja kwa moja anaingizwa kwenye hilo fungu la mashoga.
Inama halafu kohoa "Kohoooo"
Pakitanuka tu dogo Rudi kwenu jeshi linataka marijali wakakamavu.
Nadhani kidole cha Dr. kiliteleza tu pale kwenye marinda.... imagine baba ndio unaletewa taarifa kwamba mtoto wako kakataliwa na jeshi kwa kisa hiki daah
Wali wapima wakagundua hawako salamaUkiambiaji tu au? Maana Raheem Sterling nae ana ukimbiaji wake amaizing sana.
Nenda kaseme haya maneno pale lugalo afu utajua kama hili jeshi ni la kihuni au ww ndo muhuniNa mfiraji naye unamkagua vipi?
Unaangalia kama mboro ina mavi?
Jeshi la wahuni hili. Mambo gani haya ya kupekuana mikundu!
Kila kitu kina taratibu zake, utaratibu uliopo sasahivi, Ushoga hauruhusiwi jeshini, labda hizo taratibu zifanyiwe marejebisho.Km mazoezi wanayamudu wangewaacha maana sidhani km kuna Shoga angeweza yamudu mazoezi au isikute wameharibikia hapo kwenye kambi