Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lakataa vijana 8 kutokana na kujihusisha na vitendo vya Ushoga

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lakataa vijana 8 kutokana na kujihusisha na vitendo vya Ushoga

Halafu hata huko jeshini kuna mapunga kibao tu mimi nawajua.

Huyu afande anatafuta namna ya kuficha udhaifu wa uwezo wa jeshi katika uokoaji.

Juzi wameamrishwa kuzima moto Kilimanjaro wakabaki wanazunguka na mabuti tu hakuna wanalofanya.

Sasa kapata chaka la ushoga la kujifichamo. Kwamba na yeye ni rijali.

Afande afanye kazi. Aache kujificha kwenye ushoga na visingizio.
Juan Manuel & Furushi la Chanjo mmejaa sana upepo, inaonekana ni mapunga na wote ni ID ya Mtu mmoja.

Poleni sana, hii ndiyo dunia.
 
Ushoga umekuponza jkt umekataliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikafanye nini JKT sasa?

Mimi nawatetea nyie mabwabwa ili msionewe onewe hovyo.

Unapaswa kunishukuru hapa.
 
Ndio maana idadi kwenye sensa ilikuja pungufu
 
Juan Manuel & Furushi la Chanjo mmejaa sana upepo, inaonekana ni mapunga na wote ni ID ya Mtu mmoj.

Poleni sana, hii ndiyo dunia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi nawatetea nyie mabwabwa.

Unapaswa kusema asante.
 
Mkuu wa wilaya ya Iramba Selemani Mwenda amesema vijana hao nane kati ya thelathini waliyokosa sifa ya kujiunga na mafunzo ya JKT ni kutokana na vipimo kubaini kwamba wanajihusisha na vitendo vya ushoga...
Angesema tu hawana sifa kusema wanajihusisha na vitendo vya ushoga si busara.
 
Sasa me na ww nani shoga!!??
Me nataka nikupe msaada usiendelee kuingiliwa kinyume na maumbile, maana hali kwako imekuwa mbaya mpaka unajidhihilisha hadharani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Najidhalilishaje sasa?

Kuwatetea nyie mapunga ni jambo la heri. Sijuti wala sio aibu yoyote.

Natimiza wajibu wangu wa kuhakikisha watu wote wanalindiwa utu wao bila kujali ni mapunga au marijali.
 
Kazi yetu sisi ni kuwatetea nyie mabwabwa ili msionewe na watu wajinga wajinga wanaotaka kuchukua ujiko na kuficha udhaifu wao kwa kuwadhihaki wengine.

Na hapa ishu sio tu kuwatetea nyie mabwabwa, lakini ishu ya msingi ni kusimamia kanuni za utu kwa watu wote bila kujali kama ni mabwabwa au wafiraji.

Kumuita mtu shoga kwa sababu tu mwili wake ni dhaifu si sawa na haitakiwi. Hiyo ni kanuni ya utu.

Kama unaona hana vigezo vya jeshi, aondolewe kwa staha — usimtusi au kumuingizia vidole mkunduni eti "unampima ushoga". Huo ni ukichaa.
[emoji1784]
JamiiForums212693510.jpg
 
Sitetei ushoga ila hii nchi ina watu wenye imani za hovyohovyo sana.
Mwanasiasa anajiona na yeye ni daktari.
Kuna wengine masikini wana matatizo ya bawasiri, ikitokea kwenye ukaguzi kama huo iwe ni jeshini au jela na yeye moja kwa moja anaingizwa kwenye hilo fungu la mashoga.
Umeelewa uzi lakini? Acha kutetea ushenzi
 
Wamepimwa kitaalamu na ikathibitika kuwa ni mashoga kwahyo wamejidhalilisha wenyew mana jeshini hakuna huo ufirauni

Kama unaona wameonewa watafute ukawatee kwa mkuu wa majeshi ndo ntajua kweli mnazijua hizo haki za binadamu

Kwanza hao walitakiwa wapigwe risasi kabisa sio tu kuwarudisha kwao wanaenda kuharibu wengine
[emoji28]
JamiiForums46325611.gif
 
Gay are born just like leaders not made, kweli mtu mla papuchi ataenda tu akainamishwe ? ,Mwanaume kamili akifika age ya 15+ anaanza kuwa busy na papuchi
P2 wanazotumia Ke wa siku hizi zimewekewa vichocheo vya hormones imbalances kwa Ke ikiwa wataacha tu kutumia, wakishika ujauzito tayari watoto wa kiume wataowazaa watakuwa na vinasaba vya ushoga.

Hili nalo likatazamwe ili tunusuru kizazi chetu cha Taifa la kesho.
 
Mkuu wa wilaya ya Iramba Selemani Mwenda amesema vijana hao nane kati ya thelathini waliyokosa sifa ya kujiunga na mafunzo ya JKT ni kutokana na vipimo kubaini kwamba wanajihusisha na vitendo vya ushoga.

Kijana mmoja alioneka akikimbia kwa kukata viuno na jinsi alivyokuwa akiweka mikono na vidole vyake ikaweka hali ya kutiliwa mashaka kuwa huenda anajihusisha na vitendo vya ushoga, alisema Kamanda Kanali wa JKT.

View attachment 2410072
Uvccm hao so ndio wanapeana ajira kwenye majeshi yetu mtamsingizia nani sasa
 
Nchi ya mataahira hii , sasa hii nayo ni mada na wapumbavu wanapoteza muda huku kujadili huu ujinga eti ,aisee
Tz ina vitu vya muhimu ambavyo vinaweza kujadiliwa kwa mustakabali wa nchi ,si kukaa mnajadili makalio na njia za haja kubwa ,au na nyie mnataka mshikishwe ukuta ? Maana inaonekana mnawaonea wivu hao mashoga
 
Nchi ya mataahira hii , sasa hii nayo ni mada na wapumbavu wanapoteza muda huku kujadili huu ujinga eti ,aisee
Tz ina vitu vya muhimu ambavyo vinaweza kujadiliwa kwa mustakabali wa nchi ,si kukaa mnajadili makalio na njia za haja kubwa ,au na nyie mnataka mshikishwe ukuta ? Maana inaonekana mnawaonea wivu hao mashoga
Na hapa wanasiasa huwa wanachukua credit za kutosha.

Wanawarushia mifupa mnabaki kubamizana kwa malumbano ya ajabu ajabu, huku wao wanazidi kutafuna minofu ya nchi.

Sijaona uhaba wa maji ukizua mjadala mpana wa watu kuonesha hawajaridhishwa au kukasirishwa.

Wako bize wanashangilia mipira na ujinga ujinga.

Na ukitaka uwakoge zaidi, wawekee mada za ushoga na kunyanduana. Hapo watakesha wanajadili na kutoa hisia zao za dhati.

Spinning is efficient. Unawarushia fupa majibwa yanaanza kuumana tu huku unapeta.
 
Na hapa wanasiasa huwa wanachukua credit za kutosha.

Wanawarushia mifupa mnabaki kubamizana kwa malumbano ya ajabu ajabu, huku wao wanazidi kutafuna minofu ya nchi.

Sijaona uhaba wa maji ukizua mjadala mpana wa watu kuonesha hawajaridhishwa au kukasirishwa.

Wako bize wanashangilia mipira na ujinga ujinga.

Na ukitaka uwakoge zaidi, wawekee mada za ushoga na kunyanduana. Hapo watakesha wanajadili na kutoa hisia zao za dhati.

Spinning is efficient. Unawarushia fupa majibwa yanaanza kuumana tu huku unapeta.
Ndio maana huwa namuamini aliyesema Tz asilimia 80 watu wana mtindio wa ubongo , idiots and retards kabisa.
Yaani kutawala taifa lenye mazumbukuku kama hili ni rahisi sana yaani majitu yameshasahau kila matatizo yanayosababishwa na serikali hii miaka 60 mpaka sasa ,yako yanahadili ujinga tu
Na hao wajinga serikalini walishajua jinsi ya kumanipulate thinking ya mijitu mipumbav ya nchi hii , ni kuibua vimbwanga vya kijinga kama hivyo
 
Back
Top Bottom