Jeshi la Marekani Hamna kitu zimebaki sifa tuu in short US military is overrated

Fuatilia technolojia China waliipatia kutoka wapi?
Ukisema hivi utakosea.
Marekani nae katoa elimu ya sayansi Ulaya, Egypt na Asia.
Kwani Algebra zimetokea wapi kama siyo Ghuba ya Uajemi?
Utatengeneza mitambo mingi au vifaa vya kielektroniki bila kutumia hesabu za Algebra?
 
Tumia akili,sio unapayuka payuka tu kufurahisha genge!
Unadhani USA Yuko tayari Kwa kupigana vita ya nuclear?Ukilijua Hilo basi utajua kuwa ulichoandika ni pumba!
 
Sijui umeshiba maharage ya wap ww unaropoka tu.. anyway lakin wanaongoza Dunia.tuishie hapo!!!
hakuna utawala wa kibinadamu usiokuwa na mwisho ....utawala wa muumba ndio wa milele...full stop kaa kwa kutulia ........
us mwisho wake umefika..
 
Tumia akili,sio unapayuka payuka tu kufurahisha genge!
Unadhani USA Yuko tayari Kwa kupigana vita ya nuclear?Ukilijua Hilo basi utajua kuwa ulichoandika ni pumba!
Kama mtu anakupa pesa na silaha hiyo si proxy war? Akili gani unazungumzia Mkuu?
 
Kama mtu anakupa pesa na silaha hiyo si proxy war? Akili gani unazungumzia Mkuu?
Hizo proxy war baina ya US na Russia zimetokea kwenye migogoro mingi tu!Wala sio jambo geni na kinachofanyika Ukraine!
Labda utueleze,unamaanisha Nini kusema US anasubiri Russia adhoofu aje ammalizie?Au unamaanisha US ataingia front kumpiga Russia?Je,US Yuko tayari kupigana vita ya nuclear for the sake of Ukraine?
Tafakari kabla ya kuandika unless unafurahisha genge tu!
 
Proxy war ni nini?
 
Ukisema hivi utakosea.
Marekani nae katoa elimu ya sayansi Ulaya, Egypt na Asia.
Kwani Algebra zimetokea wapi kama siyo Ghuba ya Uajemi?
Utatengeneza mitambo mingi au vifaa vya kielektroniki bila kutumia hesabu za Algebra?
Sasa elimu ya sayansi imetoka Asia kwanini Asia wanaitegemea US? Zanzibar wanazalisha mashada ya karafuu unataka kunambia hawanunui products za karafuu zilizosarifiwa toka nje, kwanini hawasarifu wenyewe??
 
hakuna utawala wa kibinadamu usiokuwa na mwisho ....utawala wa muumba ndio wa milele...full stop kaa kwa kutulia ........
us mwisho wake umefika..
ni kweli Kila utawala una mwisho wake but utawala wa marekani mwisho wake ni Yesu atakaporudi..hvo bado wapo wapo sana!!
 
Unaliwa tigo wewe dogo
 
Naomba connection ya anayekuuzia mibangi
 
Sasa elimu ya sayansi imetoka Asia kwanini Asia wanaitegemea US? Zanzibar wanazalisha mashada ya karafuu unataka kunambia hawanunui products za karafuu zilizosarifiwa toka nje, kwanini hawasarifu wenyewe??
Zanzibar kama yalivyo mataifa mengine duniani, ni wahanga wa uwezo mdogo wa kufikiri.
 
Zanzibar kama yalivyo mataifa mengine duniani, ni wahanga wa uwezo mdogo wa kufikiri.
Ndivyo yalivyo mataifa kama hao China na Asia wataalamu walitoka US kwenda China kuwafanyia mapinduzi ya kiuchumi, uchumi wa viwanda, silaha na kila kitu, Taiwan kote huko wamepewa technologia na mnyama hata Urusi uchumi wao walisaidiwa na Western countries ndio akawa na kiburi ndio mana sasa mirija ya kiuchumi wameikata Urusi inaenda kuanguka gesi yake ataenda kuuza Uganda na India
 
Sijui umeshiba maharage ya wap ww unaropoka tu.. anyway lakin wanaongoza Dunia.tuishie hapo!!!
Il
Sijui umeshiba maharage ya wap ww unaropoka tu.. anyway lakin wanaongoza Dunia.tuishie hapo!!!
Dunia ipi mkuu wale wataongoza bahari na anga ila nchi kavu sahau.
US wapo desperate sana kama mnyama aliye jeruhiwa wana poteza infuence kila siku
Naomba connection ya anayekuuzia mibangi
Wewe agent tuu asset
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…