Hii dhihaka mmh[emoji848][emoji2827] kuna kesho...!!!Sjawah tumia takataka infinix
Kuna uongo hapo kakaHii dhihaka mmh[emoji848][emoji2827] kuna kesho...!!!
Hyo ni email tu ninazo nyingiIla wanafunzi mna taabu, sasa unajifanya unajificha huku umetumwagia kila kitu hapa bi Abiola Abdulππππ
Mwambie akazanie masomo Kwanza. Ahakikishe anafaulu ili atimize ndoto yakuwa lekchaIla wanafunzi mna taabu, sasa unajifanya unajificha huku umetumwagia kila kitu hapa bi Abiola Abdul[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hapana sijazungumzia uongo au ukweli mdogo wanguKuna uongo hapo kaka
Huyo dada kaniandamaMwambie akazanie masomo Kwanza. Ahakikishe anafaulu ili atimize ndoto yakuwa lekcha
Sent using Jamii Forums mobile app
Fyucha tichaπ€£π€£π€£π€£Mwambie akazanie masomo Kwanza. Ahakikishe anafaulu ili atimize ndoto yakuwa lekcha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nmekupata nguvu mojaHapana sijazungumzia uongo au ukweli mdogo wangu
Kvp mpaka kaz iwepoFyucha tichaπ€£π€£π€£π€£
Kazi ipoππππ
Si ukubaliane tu na jinsia yako!! Unachokitafuta utakipata.Hyo ni email tu ninazo nyingi
Toa hiyo screen records kuna details kuna taarifa zako nyingi sana.. mfano email na namba ya simu.Sjawah tumia takataka infinix
[emoji3][emoji3][emoji3]Sawa nmekupata nguvu moja
Leo sabaaa
Na namba ya simu unazo nyingi?Hyo ni email tu ninazo nyingi
M n mwanaume kwelkwel nina mtoto mmoja nmezaa na bek 3 kutoka sumbawanga ( bahat mbaya alijilengesha seburen muda wa ottoman)Si ukubaliane tu na jinsia yako!! Unachokitafuta utakipata.
Watu wambea πππππNa namba ya simu unazo nyingi?
View attachment 2602826
Huoni kama mtu anapata details zako kirahisi hivi mzee?
Hii ID ilianza kwa Kunishambulia ikiitwa annabelleztz47 ila baada ya kuona Moto wa GENTAMYCINE hauna Mpinzani hapa JamiiForums na Kushindwa Vita aliyoianzisha haraka sana ikabadilishwa na sasa inaitwa Munch wa annabelletz47Jamani watu wa humu jf naomba kuwaambia kuwa kuna kakikundi cha watu kameamua kunichafua kisa tu nmeweka id fake, nachojiuliza kwan ni lazma au muhimu kias gani kujmaliza hapa jamii forum kujaza full details zangu na tunajua humu ndani wakuda wengi na wazee wa kitengo wengi. SWALI JE KAMA NIKIHARIBU HUMU NDANI NAWAZEE WA KITENGO WAKINIDAKA MTAKUJA KUNITETEA AU NDO NYINYI MTAANZISHA NYUZI KUSEMA NILIKUA NAJIFANYA MJUAJI NA KUNIPA POLE NYINGI ZA KINAFIKI
Msimamo wangu ni kwamba ongeen chchte tu mkatacho ila usalama wangu muhimu kuliko kuwafurahisha nyinyi watu wachache
Nb: Sijawahi post nyuzi au comment yeyote ile inayooshiria mm ni mwanamke au nmeleft group sku zote nipo kama wanaume wengine humu jf na wambea tu ndo ufatilia personal details za watu
Unahangaika na nini?M n mwanaume kwelkwel nina mtoto mmoja nmezaa na bek 3 kutoka sumbawanga ( bahat mbaya alijilengesha seburen muda wa ottoman)
Kwani kuna mahali tumetofautiana? Maana hata mdogo wako hasomeki[emoji7][emoji7][emoji7]
Shem kama shem!