The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Naam nakubaliana na wewe.Gari inaweza uzwa srepa
Gari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.Wanatupa taarifa ambayo haijakamilika ili iweje ?kamilisha uchunguzi ili utupe jibu sahihi.Gari huwezi kuuza siku Moja tu na kukamilisha Kila kitu labda polis wamemteka kama walivyomteka mzee kibao mchana kweupe
of course yes,... swallowing with will worsen his madness,...Even the mad man can’t swallow this ………..😂😂😂😂😂😂😂😂
Unauza tu mjini hakishindikani kituGari aliuzaje wakati Hana Kadi halisi , mashahidi hawakuepo haya alipokua na Kadi si walioenda TRA kubadilisha jina na umiliki vipi aliyenunua hiyo gari Yuko wapi au gari ilikua chassis?
Masawe mwenyewe anainekana janjajanjaGari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.
Wewe unakataa gari halikuuzwa kivipi?
Bahati mbaya sana jeshi letu la polisi limechafuka sana na haliaminiki tenaJeshi la Polisi limetoa ushahidi wa awali kuhusu kupitea Kwa bwana harasi mara baada ya kumaliza harusi.
Polisi wanadai ushahidi wa awali unaonesha bwana Masawe aliyepotea Aliuza gari aliyokodi Ili Kulipa Madeni na kwamba Polisi wanaendelea kukusanya taarifa Ili Kubaini kama bwana Masawe alijipoteza au ikoje.
Polisi wanadai taarifa zaidi zitatolewa.👇👇
Ni utata, ndivyo unavyoweza kueleza kuhusu taarifa za kupotea bwana harusi, Peter Masawe ambaye Jeshi la Polisi linaeleza uchunguzi wa awali umebaini alikuwa na madeni na ameuza mali za watu.
Mbali ya taarifa ya Polisi, baadhi ya marafiki wa Masawe anayejulikana zaidi kwa jina la Vincent, wanaeleza wakionyesha wasiwasi kutokana na mzunguko waliotumia walipomtafuta tangu alipopotea.
Victor Mawalla, akizungumza na Mwananchi leo Desemba 15, 2024 amesema alipigiwa simu na Vincent ambaye ni rafiki yake akamweleza alikuwa Mbezi na kuna magari mawili yanamfuatilia, moja alilitaja ni Toyota Land Cruiser (Hardtop).
Amesema alimpatia ushauri aingie kituo cha polisi kwa ajili ya kutoa taarifa.
"Nilivyomwambia hivyo alikubali akinitajia namba za gari lililokuwa likimfuatilia lakini baada ya kufuatilia ikabainika gari alilolitaja limepaki eneo la Ilala," amesema Mawalla.
Amesema baada ya kufuatilia Jeshi la Polisi lilikamata gari na mmiliki ambaye alifika Dar es Salaam akitokea Kahama mkoani Shinyanga kwa ajili ya manunuzi ya vifaa vya magari ambaye alikuwa hafahamu chochote kuhusu kinachoendelea.
Kutokana na taarifa iliyokuwa imetolewa kwenye mitandao juu ya kupotea kwa bwana harusi Jeshi la polisi limetolea taarifa
na taarifa inathibitisha kuwa bwana harusi huyo aliuza gari alilokodi kwa ajili ya harusi huku akimtumia mkewe pesa nyingine apunguze madeni .
My Take
Polisi tunaomba Haki itendeke Kwa matukio yote Ili kuondoa hofu na mashaka kwenye jamii.
Mambo ya kutekana hayafai.
View attachment 3177369
Kazi kweli kweliYaani unamkodisha mtu gari na documents zote!
Kataka kumfurahisha mwanamke na wakwehIi ndo kupenda sifa za kijinga,huna uwezo unatengeneza sherehe ya gharama tena huenda kwa kushawishiwa na mwanamke ambae hatoi hata mimi
Jiji la dar limeshindikana kwa watu kupenda sifa na kufanya mambo wasiyokuwa na uwezo nayo,
we unadhani gar linauzwa kama viazi hio taarifa watameza wajinga kama ilivyoGari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.
Wewe unakataa gari halikuuzwa kivipi?