Jeshi la Polisi: Aliyedaiwa Kutekwa aliuza gari alilokodi Ili kulipa madeni ya harusi.Uchunguzi unaendelea kubaini Alikopotelea

Jeshi la Polisi: Aliyedaiwa Kutekwa aliuza gari alilokodi Ili kulipa madeni ya harusi.Uchunguzi unaendelea kubaini Alikopotelea

Watu tunapenda sifa sana, sasa unaingia kwenye madeni kisa fahari tu ya sherehe na saiv tayari upo kwenye head lines.
Kumbe hizi sherehe mjini hapa zina mambo mengi nyuma ya pazia..

Kule kenya nako mke na mme baada ya sherehe wakafanya tathmini wakagundua wamevuna hela ndogo na waliingia gharama kubwa, wote wakafariki tukaambiwa walijinyonga
 
Wanatupa taarifa ambayo haijakamilika ili iweje ?kamilisha uchunguzi ili utupe jibu sahihi.Gari huwezi kuuza siku Moja tu na kukamilisha Kila kitu labda polis wamemteka kama walivyomteka mzee kibao mchana kweupe
 
Wanatupa taarifa ambayo haijakamilika ili iweje ?kamilisha uchunguzi ili utupe jibu sahihi.Gari huwezi kuuza siku Moja tu na kukamilisha Kila kitu labda polis wamemteka kama walivyomteka mzee kibao mchana kweupe
Gari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.

Wewe unakataa gari halikuuzwa kivipi?
 
Gari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.

Wewe unakataa gari halikuuzwa kivipi?
Masawe mwenyewe anainekana janjajanja
Madalali wa magari wengi wezi wezi waongo waongo

Ova
 
Jeshi la Polisi limetoa ushahidi wa awali kuhusu kupitea Kwa bwana harasi mara baada ya kumaliza harusi.

Polisi wanadai ushahidi wa awali unaonesha bwana Masawe aliyepotea Aliuza gari aliyokodi Ili Kulipa Madeni na kwamba Polisi wanaendelea kukusanya taarifa Ili Kubaini kama bwana Masawe alijipoteza au ikoje.

Polisi wanadai taarifa zaidi zitatolewa.👇👇

Ni utata, ndivyo unavyoweza kueleza kuhusu taarifa za kupotea bwana harusi, Peter Masawe ambaye Jeshi la Polisi linaeleza uchunguzi wa awali umebaini alikuwa na madeni na ameuza mali za watu.

Mbali ya taarifa ya Polisi, baadhi ya marafiki wa Masawe anayejulikana zaidi kwa jina la Vincent, wanaeleza wakionyesha wasiwasi kutokana na mzunguko waliotumia walipomtafuta tangu alipopotea.

Victor Mawalla, akizungumza na Mwananchi leo Desemba 15, 2024 amesema alipigiwa simu na Vincent ambaye ni rafiki yake akamweleza alikuwa Mbezi na kuna magari mawili yanamfuatilia, moja alilitaja ni Toyota Land Cruiser (Hardtop).

Amesema alimpatia ushauri aingie kituo cha polisi kwa ajili ya kutoa taarifa.

"Nilivyomwambia hivyo alikubali akinitajia namba za gari lililokuwa likimfuatilia lakini baada ya kufuatilia ikabainika gari alilolitaja limepaki eneo la Ilala," amesema Mawalla.

Amesema baada ya kufuatilia Jeshi la Polisi lilikamata gari na mmiliki ambaye alifika Dar es Salaam akitokea Kahama mkoani Shinyanga kwa ajili ya manunuzi ya vifaa vya magari ambaye alikuwa hafahamu chochote kuhusu kinachoendelea.

Kutokana na taarifa iliyokuwa imetolewa kwenye mitandao juu ya kupotea kwa bwana harusi Jeshi la polisi limetolea taarifa

na taarifa inathibitisha kuwa bwana harusi huyo aliuza gari alilokodi kwa ajili ya harusi huku akimtumia mkewe pesa nyingine apunguze madeni .

My Take
Polisi tunaomba Haki itendeke Kwa matukio yote Ili kuondoa hofu na mashaka kwenye jamii.

Mambo ya kutekana hayafai.
View attachment 3177369
Bahati mbaya sana jeshi letu la polisi limechafuka sana na haliaminiki tena
 
Siku zote fanya mambo kutokana na uwezo wako,ona sasa aibu ya mwaka hii,kuna wanandoa fulani nao baada ya ndoa wakajikuta wana deni la milioni 30,,yote kutaka sifa tu

Kuhusu gari kuuzwa hiyo mbona ipo sana tu,watu wanacheza na vijana ambao sio waaminifu wa TRA,kuna tukio kama hilo lilitokea mtu akauziwa gari yake kwa michezo hiyo hiyo,lkn alikomaa mpaka vijana kadhaa wa TRA wakapoteza kazi
 
Gari kakutwa nayo mtu anadai aliuziwa na huyo massawe na alimpa milioni nane ili akimalizia milioni moja amkabidhi gari Mimi ni jirani na huyo massawe na mpaka polisi wanakuja kuchukua mkewe nilikuwepo.

Wewe unakataa gari halikuuzwa kivipi?
we unadhani gar linauzwa kama viazi hio taarifa watameza wajinga kama ilivyo
 
Back
Top Bottom