Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,731
- 3,628
kutathmni usalama wa abiriaKaz ya gari ni kukimbia , kazi ya dereva ni kulikimbiza , je kaz ya traffic ni kulifanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kutathmni usalama wa abiriaKaz ya gari ni kukimbia , kazi ya dereva ni kulikimbiza , je kaz ya traffic ni kulifanyaje?
Hapa hapahusiki?! Basi JF ifungwe,haihusiki Na Kila kituAnatolea sehemu husika? Ana ushahidi au kuchafua tu biashara ya watu?
Kasema utendaji wao ufuatiliweMambo ya wiki iliyopita unayaleta leo ulitakiwa kureport on spot
Sasa wakisema umetumwa kuharibu biashara za watu una utetezi?
Wiki iliyopita nimepanda basi hili nikitokea Arusha kuelekea Kahama. Aisee hili basi linakimbia saana.
Nina wasiwasi kama limefungwa speed governor manake mwendo wake ni zaidi ya speed 100km/h hasa likiwa kwenye bara bara zisizokuwa na traffic wengi.
Kazi kwenu jeshi la polisi kabla halijachinja chinja.